Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Labda nchi za dunia ya tatu, kwa nchi nyingi usafiri wa umma ni kama bure sababu ya serikali zao wanawapa ruzuku.Tukiweka siasa pembeni nauli ya daladala ilikuwa ndogo, wanaishi nchi mbalimbali wanaweza kutowa ushuhuda wa hili.
Ukiangalia mwendokasi wao hawana foleni, wana miundombinu ya peke yao, wanapiga tripu nyingi kwa siku lakini nauli yao ni kubwa kuliko daladala.
Daladala tumewanyonya kwa muda mrefu sana.
Ana mimba huyokafanyaje lakini wakati yeye hayupo
Nayeye akazikwe pembeni ya mama yake
Hapo SahauMafuta yakishuka bei watashusha?
Aliharibu uchumi wa nchi.kafanyaje lakini wakati yeye hayupo
Mimba inahusikaje na ufisadi, uuaji na uongo wa Jiwe? Hujui jinsia yangu lakini bado unasema nina mimba, au umekosa hoja?Ana mimba huyo
Ukitoka gerezani hadi magomeni unalipa bei gani?Labda nchi za dunia ya tatu, kwa nchi nyingi usafiri wa umma ni kama bure sababu ya serikali zao wanawapa ruzuku.
Mwendokasi wana gharama nafuu labda sijui unapimaje.
Kutoka gerezani hadi kimara ni 650. Kapande daladala uone utatumia kiasi gani
Ngoja njibie, nauli ni 650 /Ukitoka gerezani hadi magomeni unalipa bei gani?
Siku hizi si hadi madunya huwa mnabeba tu mimbaMimba inahusikaje na ufisadi, uuaji na uongo wa Jiwe? Hujui jinsia yangu lakini bado unasema nina mimba, au umekosa hoja?
Ni 650, kwa kuwa wasingeweza kudhibiti wanaoshukia njiani ndio maana imekua mwanzo wa kituo hadi mwisho wa kituo.Ukitoka gerezani hadi magomeni unalipa bei gani?
We mimba gani hiyo mwaka mzima unahangaika nayo? Mimba mwisho miezi 9Aliharibu uchumi wa nchi.
Unajuwa ni kwanini watu wanapanda mwendo kasi?Ni 650, kwa kuwa wasingeweza kudhibiti wanaoshukia njiani ndio maana imekua mwanzo wa kituo hadi mwisho wa kituo.
Sasa ww unakwenda magomeni kutokea gerezani unapanda mwendokasi kwa 650, wakati Kuna daladala za mabibo, makumbusho zinapita hapo tena hadi kwa 300. Utakua juha
Weka link tuone mikeka mingineMkeka huo hapoView attachment 2206032
Wanapenda kutoka gerezani kwenda magomeni? Wapandaji wa mwendokasi wengi ni wa ubungo terminal na kimaraUnajuwa ni kwanini watu wanapanda mwendo kasi?
Hili jina limetumika sehemu nyingi na maana yake hutegemea na jamii..Mkuu “Kigli” jina lako lina maana gani? Nataka nimpe mwanangu mtarajiwa(samahani naomba maelezo kama hutajali) QUIGLEY
Aisee, haya tufanye umeshinda tu. Ukimfukuza kichaa ukiwa uchi kisa tu kaiba nguo zako nadhani jibu unalijuaSiku hizi si hadi madunya huwa mnabeba tu mimba