Mafuta yameshuka kwa mujibu wa EWURA, huku nauli zinapanda tena keshokutwa.
Poleni Watanganyika, Rais wenu yupo bize kuzurura huko Dubai tu. Toka ameanza kuzurura amefanya lipi la maana?
Mwenzie Kikwete alizurura lakini kila jambo lilienda sawia ingawa kulikua na changamoto za hapa na pale.
Mama yenu amejaribu kumuiga Kikwete lakini wapi! The more anavyozurura the more wananchi wanavyozidi kuumia.
Haya mafuta wanasema yameshuka mbona nauli hazishuki? Huyu mtu andolewe tu 2025 aidha kwa kura za maoni huko kijani au kwa sanduku la kura tu maana uwepo wake tunazidi kupata hasara tu.