LATRA yavunja rekodi ongezeko la nauli, wananchi wataharuki, patashika kwenye madaladala, Viongozi wakaa kimya

LATRA yavunja rekodi ongezeko la nauli, wananchi wataharuki, patashika kwenye madaladala, Viongozi wakaa kimya

Mkuu weka "figures" ili tuone nauli zimepanda kwa kiasi gani ili tuweze kufanya tathimini kupitia ongezeko la bei ya mafuta. Tukumbuke kuwa ijapokuwa wananchi wanaumia lakini wamiliki wa mabasi nao pia ni wawekezaji, na hutaka kuendesha biashara zao kwa faida.

Kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuweka ruzuku ili pande zote zisiweze kuumia. Lakini wanachi wanayo silaha moja kubwa ya kuitumia, nayo si nyingine bali kutumia turufu ya kura zao na kuzilinda kwa hali na mali ili kutoa fundisho, endapo wanaona serikali yao inawachukulia kimchezo mchezo.
Wanajuwa kwenye kupiga kura hamuwawezi [emoji41]

Ova
 
Shinda yenu Watanganyika mnajua sana kulalama ila kuchukua hatua ndio kimbembe. Ata viongozi wenu wameisha wajua na ndio maana wanawageuza wanavyo taka wao na wako kimya tu. Maana wanajua mtapinga nduru tu kisha mtasahau na maisha yataendelea.

Amkeni nyie mazombi ipiganieni haki yenu, haki yenu haiwezi patika kwenye foleni ya masanduku.
Wangegoma kupanda mabasi
Angalau kwa siku 5 tu

Ova
 
Leo nilipanda daladala ya Tandika _kariakoo ,kazi yangu ilikuwa moja tu kupandisha sauti kuwaelimisha watu mchawi wenu ni CCM ,nimewaambia ilitakiwa nauli iwe 5000 ili vijana Kwa wazee tutoke barabarani Kwa lazima ili mchawi ajulikane ,nikawaambia nyinyi kila siku Simba na yanga Kwa hiyo nauli hizo zinatakiwa ziongezeke ,akina mama nikawaambia muwaulize maswali hao viongozi wa ccm Kwa nini Hali hii!!! Mwisho nikashuka kwenye gari lakini ujumbe uliwakolea sana
Jana nilifanya the same kutoka Tegeta kuja Mbezi. Kuna mama alisema yeye Huwa hapigi kura nikamwambia aache kulalamika sasa
 
Nilichoshangazwa na LATRA, hali ilikuwa imetulia na wametoka kupandisha nauli mwaka jana.. kwanini wakakaa na kuleta sintofahamu ambayo haikuwepo! Gharama gani za uendeshaji zilizoongezeka ambazo mwaka jana hawakuziweka kwenye consideration wakati wanapandisha nauli mara ya kwanza.

Wafanyabiashara wanataka faida kubwa kuelekea wasafiri wa mwisho wa mwaka wakalobby Latra..
Nilimsikia Mwamba wa Zamani aliyekuwa akisimamia masuala ya usafiri hapa Dar David Mwaibula alipohojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 alisema kwamba Duniani kote nauli ya mabasi ya abiria mijini huwa haipandi kwa sababu ya Logic moja tu kwamba mabasi ya mjini hupakia na kushusha vituoni na kila kituo hadi kituo bei ni ile ile na mabasi hujaza mpaka abiria wengine husimama ndani ya Basi !!

Inafikirisha Kwakweli !!
 
kumbe LATRA vichwa maji kiasi hiki..nilikuwa siamini..nilikuwa nasubiri nione ianze kutumika. Yaani kumshirikisha mwananchi kuhusu bei haiwezi kuwa sababu ya muhimu ya wao kuutetea ujinga huo wa kupandisha bei kwa kiwango kikubwa hivyo... Naamini kweli waafrika bado sana viongozi wana shida kubwa kuliko wananchi wenyewe
 
Tatizo waandishi watanzania na wenyewe wamekua magoigoi hii nchi maskini ametelekezwa tangu magu amekufa mchwa wako Kila mahali mama hata Hana habari kabisa
Mfuate Magufuli we mbwa. Lile lilikuwa jizi km majizi mengine ila aliweza kupumbaza mazuzu yasioelewa km wewe
 
Kupanda kwa nauli kwa mabasi ya masafa marefu na daladala katika miji mbalimbali kumeibua hoja mseto kwa wananchi mbalimbali huku serikali ikikaa kimya bila kutoa tamko lolote lile.

LATRA mmetukosea sana kusema kuwa kupanda kwa nauli hizi mlitushirikisha wadau ikiwa sisi wananchi .. Naomba nikaatae kwa herufi kubwa "LATRA HAMJATUSHIRIKISHA NA HAMJAWAHI KUWA UPANDE WA WANANCHI WA KAWAIDA HATA SIKU MOJA ".

Kwahiyo mpo ofisini kwa ajili ya kupandisha nauli tuu..... miundombinu imeboreshwa kwa kiwango cha lami mabasi yamekuwa mengi sana kwanini nauli zisishuke?

Na nauli mlizopandisha zimekubwa kubwa mno tofauti na hali ya kipato cha wananchi wa kawaida.....Unapandishaje nauli ya elfu 10 nzima kwa mabasi gani tuliyonayo..............?

Dodoma - Songea kutoka elfu 40-48?,What the shame is?

Huko mnatupeleka kwenye HYPER INFLATION hivi hamna hata wachumi huko mliko? ....... Mnachotaka nyinyi watu wasitoke pale WALIOPO....

Hebu WAZIRI WA UCHUKUZI TOA NENO, CHAKUA TOENI NENO, HATA MH. RAIS HEBU NAWE INGILIA KATI HILI SUALA!!

Halii hii ni mbaya sana na hatari kwa uchumi wetu au mnapenda mpaka tutakapoanza kubeba pesa kwenye mabasi kulipia safari moja ndo mtoe neno???

FB_IMG_1702206428330.jpg
 
Hawa ndio waTZ wenzangu ninaowajua sasa 😂, siku mbili au tatu tu fyeee 🤐
 
Viongozi hawawezi kujali maisha ya watu wa chini Mkuu.

ACHA WANANCHI WAPITIE MAGUMU ILI NEXT TIME WAJUE CHA KUFANYA KWENYE MASANDUKU YA KURA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Una matumaini na mabariliko kupitia masanduku ya kura kweli?
 
25 muwe makini kwenye kuchagua sasa huyu ni accidentally tu!
 
Sasa bibi kumbe hana akili?

Anashauriwa vibaya alafu kakaa kimya tu huku mambo yakimuendea vibaya?

Wagalatia hamjaanza Leo tabia ya kushauri vibaya viongozi na kuwaibia,toka enz za Nyerere nyinyi mmekuwa makonki wa tabia hiyo,no wonder hii nchi imeendelea kuwa stagnant towards development because vision and mission yenu ni kuiba tuh.
 
25 muwe makini kwenye kuchagua sasa huyu ni accidentally tu!
Too bad,she's here to lead till 2030 Inshallah, Guess what I hope between these years tutaandaa mpango kabambe wa kuwaghulikia majizi yoote ya kanisa ambao yako specialized kwenye wizi na ufisadi.
 
Back
Top Bottom