Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Alichomaanisha huyo Waziri na lugha iliyotumika hukuielewa. Hiyo vita Ukraine ni chambo.Kwamba? 🤣🤣
Kwanini umshambulie mleta taarifa na sio wale walimcheka Ravrov alipoongea huo upumbavu kwenye huo mkutano?.Mtoa mada wewe utakuwa umechangsnyikiwa fata huduma za kisaikolojia
Walimcheka kwakuwa ndivyo walivyo panga na siyo kwamba walimcheka kwa kusema hivyo (kumsojodoa).Kwanini umshambulie mleta taarifa na sio wale walimcheka Ravrov alipoongea huo upumbavu kwenye huo mkutano?.
Alichomaanisha huyo Waziri na lugha iliyotumika hukuielewa. Hiyo vita Ukraine ni chambo.
Nikurudishe nyuma kidooogo tu, kipindi DT anaingia madarakani pale US, democratic walilalamika kuwa Urus kaingilia mfumo wao na kumuwezesha DT kushinda.
DT na Republic yake wakadai Joseph B anakishinikiza chama chake kusema hivyo kwakuwa tu kijana wake anafanya biashara nchini Ukraine hivyo anahisi huenda Urus ikawa kikwazo kwa kijana wake kuendelea na biashara yake.
Hapo nimekurudisha nyuma kidoooooogo sana.
Km utakuwa na nia ya kuelewa elewa,km una mgomo wa kuelewa nami sina nia ya kukulazimisha.
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Pole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.
Mtoa mada wewe utakuwa umechangsnyikiwa fata huduma za kisaikolojia
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Warusi wa Buza wanatoa tafsiri zao, sijui hawaoni matini halisi!!? 😁
Jamiiforums Imeviwa
Mtoa mada Uwezo wake Unaishia kwenye Mada Za Dadapoa Huku Achana Nako
Hawa wanaoshawishiwa na wamarekani na wachumba zake kuichukia urusi ikosiku watashawishiwa kuwa mashoooo...
Marekani ni wapuuzi na wanapaswa kukutana na visiki kama Putin ndowajue si kila upuuzi wao utapokelewa na dunia.
Hiroshima inafaa irudishwe Nyuyoku nadhani seputemba ileveni haikufundisha vyema. Tuikaripie minchi chokozi inayotaka kutawaka dunia
vita nimbaya lakini kutawaliwa nikubaya zaidi
Km nimeandika kwa lugha nyepesi hivyo umeshindwa kunielewa ndo kilichoandikwa kwa ki-Malikia tena kwa lugha ya picha utakielewa kweli?Habari inasema" Ravrov amechekwa baada ya kusema Ukraine ilivamia Urusi" kauli hiyo ikafanya wajumbe wa mkutano wacheke.. Sasa wewe habari za chombo mara DT zimetoka wapi na unataka kujaribu kueleza nini hasa?. 🤣
Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.Walimcheka kwakuwa ndivyo walivyo panga na siyo kwamba walimcheka kwa kusema hivyo (kumsojodoa).
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Kwa akili yako kubwa umegundua kuwa mimi naongelea kipi kati ya mada na alichokisema (alichoongeza mtoa mada?)Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.
Kama, kama, kama nini? Unataka kuashumu nini?.Km nimeandika kwa lugha nyepesi hivyo umeshindwa kunielewa ndo kilichoandikwa kwa ki-Malikia tena kwa lugha ya picha utakielewa kweli?
Ninakuuliza tena, unataka kujaribu kusema nini?. Kwamba unaongelea jambo jingine kabisa na mada hii iliyopo hapa kwasasa?. Unataka kusema umeanzisha uzi ndani ya uzi? Na mwenye uzi anajua kuwa umeanzisha nyingine mada ndani ya mada yake ikiwa kweli unaongelea jambo jingine na alilolifungulia uzi?.Kwa akili yako kubwa umegundua kuwa mimi naongelea kipi kati ya mada na alichokisema (alichoongeza mtoa mada?)
Wajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.
Nimegundua pia kuwa unadhani kuwa kwakuwa ni wajumbe wa G20 basi hawana hila dhidi mWajumbe wa G20 wamecheka baada ya kusikia huo upumbavu wa Ravrov ila wewe muuza kangara wa ikwiriri umeumia, umekuja na tafsiri yako nje na iliyofanya wajumbe wacheke😂😂. Tabu kweli kweli.
Ingekuwa anahitaji mada pekee ndiyo izungumzwe asingeongeza maneno yake.Ninakuuliza tena, unataka kujaribu kusema nini?. Kwamba unaongelea jambo jingine kabisa na mada hii iliyopo hapa kwasasa?. Unataka kusema umeanzisha uzi ndani ya uzi? Na mwenye uzi anajua kuwa umeanzisha nyingine mada ndani ya mada yake ikiwa kweli unaongelea jambo jingine na alilolifungulia uzi?.
Kuwa siriaz bhasi😕
Habari imeishia tu hapo?Kama, kama, kama nini? Unataka kuashumu nini?.
Acha assumptions.. Ngoja nikukumbushe habari. Ravrov kachekwa baada ya kusema Ukraine iliivamia Urusi.basi we ilete hii habari kwa kilatino ili iwe na maana nyingine. Naona unataka kutumia kichaka cha lugha kukwepa hoja.
Bhodogo bhwa ngosha.
Una fuatilia kinacho endelea Taiwan ?Chanzo cha hiyo habari kinajulikana mrengo wake, ni vigumu kuaminika.
Kwanini huyo Marekani asiidhoofishe kwanza China ambaye ni mpinzani wake mkubwa kwa sasa na tajiri kuliko Urusi ?
Kuna watoto wengi sana humu japo siyo kiumri hawayajui haya mambo.Uelewa wako ni kiduchu sana aisee. Urusi alianzisha hii operesheni kuwahi maandalizi ya vita dhidi yake. Yaani kama Urusi asingeipiga Ukraine yeye ndo angevamiwa kivita na mashoga ya Ulaya na Marekani
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Mzozo wa China na Taiwan una sura tofauti kabisa na huo wa Urusi na Ukraine.Una fuatilia kinacho endelea Taiwan ?