Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

Unapoint ila wawe makini tu wasije ongeza tatizo kabisa.
 
shida maharage na Makamba
 
Maharage alikuwa na akili za kuuza madish ya DSTV na sio kuongoza dude kama Tanesco!
Ndio maana watu wanasema Rais Samia kwenye hizi teuzi anachomekewa!
 
Eti unanunua software bilioni 70, jangili kabisa lile
 
Mbona jpm aliiweza tanesco

Hawa sasa vp

Ova
 
Rais anateuwa watendaji, unataka Rais awe fundi wako wa umeme?
Kwanini asisimamie? ingekuwa TANESCO inafanya vizuri ungesikia mama anaupiga mwingi, Makamba kaenda kununua software bilioni 70 na siyo mtambo software. shame on us
 
Hakuna kunyooka wala kupinda. Hatuna uwezo wa kuendesha vishirika vidogo vya umma kama mwendokasi tu, tutaweza jishirika kubwa namna hiyo?
Wakati wa jpm!ulikutana na mgawo

Mlikuwa mnatereza tu

Ova
 
Dada mkubwa FaizaFoxy umeleta uzi usiokuwa na logic kabisa. Swali tu dogo kipindi anafariki Dkt Magufuli umeme ulikuwa unakatika?????? Jibu umeme haukuwa unakatika. Na je baada ya Dkt Magufuli kufariki na tukawa na Dkt Samia na wizara ikawa chini ya Dkt Kalemani je umeme ulikatia???? Jibu hapana chini ya Dkt Kalemani umeme haukuwa unakatika. Tatizo la umeme kukatika lilianza mara tu ya jizi January na Jizi Maharage walipopewa wizara, waliingia na mkakati wenye maelekezo ya wazungu na maadui zetu kuhakikisha umeme unapatikana kwa shida ili nchi washindani waweze kuendelee kutunyonya, hivyo tatizo la Umeme ni la Dkt Samia 100%, na yeye ndiye mhusika 100% aliyesimamia nchi iingie gizani. Na wamamuweka Dotto hapo wizarani lengo ni kumsafisha January kwa sababu wanajua fika walivyoharibu miundo mbinu ya umeme na kuhakikisha watu wao wa kuhakikisha umeme haupatikani wapo basi hata akija nani umeme uwe shida ili January aonekane hana shida.
 
Mbona jpm aliiweza tanesco

Hawa sasa vp

Ova

Soma post yangu hiyo kwenye mada nyingine
 
umetoa wazo zuri sana
 
Niliisoma na nilijibu huko.
 
Kuna watu ukisoma mada zao unatakiwa ujue na historia za uandishi wao. Yaani una muacha waziri ambaye tangu ameingia ni shida tu wizarani tena akidanganya mara kadhaa publicly hakafu unamfuata mtu wa reforms unamuacha mtu aliye haribu shirika.
 
Hamna kitu humo.

Blanket zito la dini alilojifunika limemuondolea ufahamu wote.
Udini unamsumbua, huko apewe mapande yake stahili na wachangiaji wa mada husika.

Lakini hii ni mada ya kuitenganisha TANESCO kimikoa. Mjadala na hoja sio dini unless you want to make matters personal.
 
Wakati mgao umepamba moto mwezi July na wewe ulipokuwa busy na udalali wa kuuza bandari.

Kuna mdau mmoja alilalamika makali ya mgao yanavyomuumiza ukamjibu kuwa anunue solar panels au generator.

Wakati ule waziri alikua ni Makamba sasa hujiulizi damage kubwa ya shirika nani alipaswa alipe kabla ya kubadili waziri.

Yes hao uliowataja ni mizigo ila waziri aliyepita ndio alikua mzigo mkubwa na kwa nchi zilizo na watu wenye kujitambua hakupaswa kuhamishwa shirika bali kuwepo gerezani.

Pole sana najua kupazia sauti mgao lazima umeguswa sehemu fulani na ndio tabia yenu wanaccm ya unafiki matatizo yakitokea mnajitoa hadi yawaguse ndio akili zinarudi.
 
Kuna watu ukisoma mada zao unatakiwa ujue na historia za uandishi wao. Yaani una muacha waziri ambaye tangu ameingia ni shida tu wizarani tena akidanganya mara kadhaa publicly hakafu unamfuata mtu wa reforms unamuacha mtu aliye haribu shirika.
Umegusa nilipo kwepa kusema[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…