Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

Zz nation

Mgawo oyeee

Tanesco tunaangaza maisha yako

[emoji1]

Ova
 
Kwa mfano nani?
 
Hapo ni Kwa wazee wa vetting + kujuana , tunaishia kushauri juu juu tu , isije onekana anasagiwa mtu kunguni na kufagiliwa mwingine.
Failed

Man suggestions alfu hewa

But when asked for options mnamangamanga
 
Mbona wakati wa Magufuri haya madhira hayakuwepo,Tatizo haliko Tanesco,matatizo yako kwa viongozi wa juu wa serikali
 
Biteko tutamuonea bure, hana zaidi ya kwenda ku trouble shoot na kufanya mapendekezo.

Wenye dhamana ya mashirikaya umaa ni Mkumbo na Mchechu. Tusihau hilo. Waziri wa Nishtati hana ujanja kwenye mashirika ya umma.
Kwamba waziri wa Nishati hapaswi kulaumiwa kwa hili?
 
Failed

Man suggestions alfu hewa

But when asked for options mnamangamanga
Yupi wa kufanyia kazi mawazo ya jf? Amini ya kwamba smart people wapo na hata mle ndani ya shirika kuna baadhi ya vichwa si vya kawaida katika utendaji mfano take Kwa Meneja wa Tanesco KAGERA.
 
Yupi wa kufanyia kazi mawazo ya jf? Amini ya kwamba smart people wapo na hata mle ndani ya shirika kuna baadhi ya vichwa si vya kawaida katika utendaji mfano take Kwa Meneja wa Tanesco KAGERA.
Thanks at least umetoa mfano

How is kagera performing?
 
Tatizo la umeme nchi hii lilianza siku yule darling twitter alipoteuliwa kuwa waziri wa nishati hao wengine mnawabebesha lawama bure
 
Bila kumumunya maneno [emoji4]

Watailaumu Tanesco lakini Tanesco ni kama mkwezi tu wakati nazi imeliwa na mwezi.
Chadema akiingia tu shida zitakwisha

Au sio? Khehekhekheheheee
 
Makusanyo ya nchi yapo centralised, mikoa inunue umeme..funny but not funny!!
 
Makusanyo ya nchi yapo centralised, mikoa inunue umeme..funny but not funny!!
Wanaweza devolve

But key Issue here ni overall strategy ya nishati yetu Muhimu

Hatujawahi kutekeleza one strategy consistently kwa ten years
 
Chadema akiingia tu shida zitakwisha

Au sio? Khehekhekheheheee



Wewe wasema.

Inategemea,

Mabadiliko yatakayopelekea uboreshwaji wa utendaji na maendeleo ya wananchi sio lazima yaletwe na chadema,

Inaweza kufanyika vinginevyo kabisa.

Kwani wakati wakati wa kudai Uhuru matharani kulikuwa na chadema ?

Je Uhuru ulipatikana haukupatikana?
 
Mbona wakati wa Magufuri haya madhira hayakuwepo,Tatizo haliko Tanesco,matatizo yako kwa viongozi wa juu wa serikali
Alikuta mitambo mipya kabisa ya Gas iliyowekwa na Kikwete, Kinyerezi l, ll, lll na lV, umesahau?
 
Hata uongozi ushushwe na buibui hakuna Mtanzania mwenye ujanja wa kuendesha mashirika makubwa kwa sasa.

Niambie nani anaeweza kuongoza shirika kubwa bila ujinga?
 
Alikuwepo Kalemani akabadilishwa kimizengwe wakaletwa watu siyo wajuzi yule mandondo na marope wakaharibu kabisa
Hakuna cha nani wala nani. Mashirika yote ya umma toka awamu ya kwanza hayana ufanisi. Unafikiri kwanini yalibinafsishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…