Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jipya litoke wapi?Chaa! Atakuwa na jipya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipya litoke wapi?Chaa! Atakuwa na jipya?
Sana sana atalalamika alivyo shindwa kukidhi vigezo vya kuutaka wenyekiti wa cdm ili akamilishe misheni za ccm kuiuza cdm.Chaa! Atakuwa na jipya?
Corona ina balaaaUfipa wana mhaho sasa hivi, NYALANDU anataka kuinyea kambi. Ila mbowe ni sikio la kufa, halisikii dawa. Aache kuchukua oil chafu, mwisho wa siku anachafuka na yeye
Corona haiangalii usoni wala kuogopa cheo cha mtuUfipa wana mhaho sasa hivi, NYALANDU anataka kuinyea kambi. Ila mbowe ni sikio la kufa, halisikii dawa. Aache kuchukua oil chafu, mwisho wa siku anachafuka na yeye
Kwahiyo akiwa Mbowe ndiyo mjomba wenu atakata rufaa?Aisee ngoja tuonee.
Si ajabu. Mbowe again on air..!
Kama alivyo kuwa dhaifu jiwe hadi ulafanyika ufisadi wa kihistoria hapa nchini.Amedai Chadema ni dhaifu sana!
Amesha sahau jinsi alivyokuwa anasafiri na warembo kwenda nchi za nje kwa gharama za ofisi yake.Ni oora agekaa kimya kulinda heshima yake, lakini kubwabwaja ni ishara ya kuonyesha ni jinsi gai usaliti wake unamtesa! Msaliti i msaliti tu hata angejisafisha na kuchafua wengie kwa kiasi gani!
Labda ataelezea mikakati yake na JK ya kuendelea pale walipoishia katika uuzaji wa Twiga na pembe za ndovu,naona JK alimpokea kwa bashasha akijua kuwa timu imekamilika kwani ni Nyalandu ndiye analijua vizuri soko la Twiga hai na pembe za ndovu.Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.
Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.
Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.
Kazi Iendelee!
Tushawajua kuwa hao jamaa wanaendeleza aliyo kuwa anayapendelea jiweClouds bado wanatekeleza scope ya kaz ya 600M walizopewa na Kigwa kupitia MNR
Mkuu, Kama una puuza umuhimu wa tume huru we hujitambui.Pole Sana.Unataka wapinzani waingie msituni??? Huo Sio uzalendo kwa taifa mkuuKama ni kweli basi hii yathibitiisha yale niyasemayo siku zote kwamba Tanzania hakuna upinzani wa kweli.
Tume huru si sababu ya upinzani kushindwa kuidhibiti CCM.
Upinzani wahitaji sera na siasa za kipekee kabisa kuzikonga nyoyo za watanzania.
Kwa mfano, jana wapinzani wamepewa dhahabu kwenye sahani waitumie lakini sidhani kama wameiona dhahabiu hiyo na kuipokea.
Skuizi kila mtu anaongea na taifa wala hakuna chochoteAliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.
Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.
Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.
Kazi Iendelee!
Mazingira ya kuwepo tume huru sidhani kama yameandaliwa.Mkuu, Kama una puuza umuhimu wa tume huru we hujitambui.Pole Sana.Unataka wapinzani waingie msituni??? Huo Sio uzalendo kwa taifa mkuu
Mimi nimetoa kama prediction.Kwahiyo akiwa Mbowe ndiyo mjomba wenu atakata rufaa?
Hana jipya ,tunashukuru KWA mchango wake mdogo aliota, so atulie huko alikoenda, yachadema au ya wapinzani hayamhusu KWA Sasa vinginevyo akatubu pia maana binadam KWA mfano wa mungu kua moto KWA baridi ni dhambi,na KWA hulka Kama hii, angekua nayo Jesus wanadam tusingekombolewa,Sasa mwanadam unaefanya hivi upo nafasi gani? Tamaa na mapambo ya dunia yanatuondolea ubinadam ,kujiamin katika kile unachokiamini,Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.
Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.
Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.
Kazi Iendelee!
Wachana na habari za Mbowe maana hutomuweza kama alimshindwa jiwe.Mimi nimetoa kama prediction.
Kwamba atazungumziwa kwa hio sijui ni press.
Hayo mengine unayajua wewe..?
Wala mimi sishindani nae..!Wachana na habari za Mbowe maana hutomuweza kama alimshindwa jiwe.