Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Nampenda sana Nyalandu kikubwa alinde heshima yake!
 
Nyalamdu nitamsikiliza no mwasiasa pekee Wa upinzani aliyekuwa yukp vizuri kila eneo kuanzia exposure ya kisiasa ya ndani na nje mwenye pesa mwenye wafadhili na aliyesaidia sana kote kasaidia watanzania wengi na kasaidia sana nchi kiuchumi kuleta watalii toka marekani

Anapenda siasa safi chafu haziwezi.Chadema kundi lililokuwa linamjua vizuri no kamati kuu ya Chadema .Kwenye kura Lisu waliimpa chini kwenye kura.Baraza kuu ndio wakampa Lisu .Lisu alitojea tu kugombea toka ubelgiji hakujuana na wapiga kura wengi kama Nyalandu sababu Nyalandu hakutegemea media alianza kampeni mapema kujitambulisha mijini na vijijini nchi nzima akitumia mwanya Wa kutafuta wadhamini na alijubalika sababu walimwona physically akiwa na mabasi na convoy kote yenye nembo zake

Nyalandu alijikita kwenye Sera sio personality kama Lisu ambaye kilichomleta toka ubelgiji alikuja kutafuta tu platform ya kutukana Magufuli

Nyalandu hajawahi tukana MTU yeyote kwenye siasa zake toka yuko CCM hadi Chadema. Ana madhaifu yake lakini kwenye siasa safi yuko vizuri ni mjenga hoja mzuri mno .Angegombea uraisi Chadema asingepata vikura kiduchu milioni Moja alizopata Lisu

Nitamsikiliza najua ana hoja Duni Haji aliongea sentensi fupi alipoondoka Chadema ambayo ili I cost Chadema na kuijenga ACT wazalendo alisema tatito LA Chadema kila MTU ana sharubu!!!

Maalim Seif na kundi lake wakaamua kutimukia ACT wazalendo chama kidogo kuliko kwenda Chadema

Nyalandu alikuwa presidential Material ila Chadema wakamuona bwege wakampa mpiga miyowe mtukana Magufuli Lisu

Poleni Chadema kuondokewa na mwanasiasa mahiri na mwenye pesa na ushawishi
 
Kwa nini hayo madhaifu asingewaambia hao CHADEMA kabla ya kutoka huko ili kuwapa mbinu za kuwakabili wapinzani wao, mpaka asubir abadili Chama zen ayaanike hadharani?? Yatasaidia nini?

Asituchoshe!
He is a failed politician
 
Ufipa wana mhaho sasa hivi, NYALANDU anataka kuinyea kambi. Ila mbowe ni sikio la kufa, halisikii dawa. Aache kuchukua oil chafu, mwisho wa siku anachafuka na yeye
Kama ni oil chafu mbona wakirudi huko mnawapokeaga tena kwa mbwembwe na makamera kibao. Kataeni kuwapokea ndo tutajua ni oil chafu.
 
Kabla ya kuongelea hayo atueleze kilichomtoa CCM na kuhamia Chadema.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Saa ngapi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Nyalandu hana sifa ya kuongea na Taifa,kama kibano kimemzidi ameamua kurudi alikotoka,awe mpole akalambe miguu ya viongozi wapya,historia yake imefutika imebaki hadithi za kusimulia
Ni ukweli uliowazi ameshindwa kuimba wimbo wa bwana ugenini.Wimbo wa ccm unajulikana.wizi, ubabe na rushwa.
 
Nyalamdu nitamsikiliza no mwasiasa pekee Wa upinzani aliyekuwa yukp vizuri kila eneo kuanzia exposure ya kisiasa ya ndani na nje mwenye pesa mwenye wafadhili na aliyesaidia sana kote kasaidia watanzania wengi na kasaidia sana nchi kiuchumi kuleta watalii toka marekani

Anapenda siasa safi chafu haziwezi.Chadema kundi lililokuwa linamjua vizuri no kamati kuu ya Chadema .Kwenye kura Lisu waliimpa chini kwenye kura.Baraza kuu ndio wakampa Lisu .Lisu alitojea tu kugombea toka ubelgiji hakujuana na wapiga kura wengi kama Nyalandu sababu Nyalandu hakutegemea media alianza kampeni mapema kujitambulisha mijini na vijijini nchi nzima akitumia mwanya Wa kutafuta wadhamini na alijubalika sababu walimwona physically akiwa na mabasi na convoy kote yenye nembo zake

Nyalandu alijikita kwenye Sera sio personality kama Lisu ambaye kilichomleta toka ubelgiji alikuja kutafuta tu platform ya kutukana Magufuli

Nyalandu hajawahi tukana MTU yeyote kwenye siasa zake toka yuko CCM hadi Chadema. Ana madhaifu yake lakini kwenye siasa safi yuko vizuri ni mjenga hoja mzuri mno .Angegombea uraisi Chadema asingepata vikura kiduchu milioni Moja alizopata Lisu

Nitamsikiliza najua ana hoja Duni Haji aliongea sentensi fupi alipoondoka Chadema ambayo ili I cost Chadema na kuijenga ACT wazalendo alisema tatito LA Chadema kila MTU ana sharubu!!!

Maalim Seif na kundi lake wakaamua kutimukia ACT wazalendo chama kidogo kuliko kwenda Chadema

Nyalandu alikuwa presidential Material ila Chadema wakamuona bwege wakampa mpiga miyowe mtukana Magufuli Lisu

Poleni Chadema kuondokewa na mwanasiasa mahiri na mwenye pesa na ushawishi
Naona unarohoja tu kudadaeeeki kimpumu imehusika
 
Nyalamdu nitamsikiliza no mwasiasa pekee Wa upinzani aliyekuwa yukp vizuri kila eneo kuanzia exposure ya kisiasa ya ndani na nje mwenye pesa mwenye wafadhili na aliyesaidia sana kote kasaidia watanzania wengi na kasaidia sana nchi kiuchumi kuleta watalii toka marekani

Anapenda siasa safi chafu haziwezi.Chadema kundi lililokuwa linamjua vizuri no kamati kuu ya Chadema .Kwenye kura Lisu waliimpa chini kwenye kura.Baraza kuu ndio wakampa Lisu .Lisu alitojea tu kugombea toka ubelgiji hakujuana na wapiga kura wengi kama Nyalandu sababu Nyalandu hakutegemea media alianza kampeni mapema kujitambulisha mijini na vijijini nchi nzima akitumia mwanya Wa kutafuta wadhamini na alijubalika sababu walimwona physically akiwa na mabasi na convoy kote yenye nembo zake

Nyalandu alijikita kwenye Sera sio personality kama Lisu ambaye kilichomleta toka ubelgiji alikuja kutafuta tu platform ya kutukana Magufuli

Nyalandu hajawahi tukana MTU yeyote kwenye siasa zake toka yuko CCM hadi Chadema. Ana madhaifu yake lakini kwenye siasa safi yuko vizuri ni mjenga hoja mzuri mno .Angegombea uraisi Chadema asingepata vikura kiduchu milioni Moja alizopata Lisu

Nitamsikiliza najua ana hoja Duni Haji aliongea sentensi fupi alipoondoka Chadema ambayo ili I cost Chadema na kuijenga ACT wazalendo alisema tatito LA Chadema kila MTU ana sharubu!!!

Maalim Seif na kundi lake wakaamua kutimukia ACT wazalendo chama kidogo kuliko kwenda Chadema

Nyalandu alikuwa presidential Material ila Chadema wakamuona bwege wakampa mpiga miyowe mtukana Magufuli Lisu

Poleni Chadema kuondokewa na mwanasiasa mahiri na mwenye pesa na ushawishi
Kumlinganisha lissu na nyalandu kwa kujenga hoja ni uzuzu...nimekupuuza mkuu...
 
Ni oora agekaa kimya kulinda heshima yake, lakini kubwabwaja ni ishara ya kuonyesha ni jinsi gai usaliti wake unamtesa! Msaliti i msaliti tu hata angejisafisha na kuchafua wengie kwa kiasi gani!
Akiwa CCM ni mwanachama, kwenda Chadema, ni mwanachama ila kirudi CCM, Chadema anaitwa msaliti.

Háaaahaa hili jina la msaliti wataitwe wengi kama Chadema hakuna mabadiliko Chadema.
 
Kama ni kweli basi hii yathibitiisha yale niyasemayo siku zote kwamba Tanzania hakuna upinzani wa kweli.

Tume huru si sababu ya upinzani kushindwa kuidhibiti CCM.

Upinzani wahitaji sera na siasa za kipekee kabisa kuzikonga nyoyo za watanzania.

Kwa mfano, jana wapinzani wamepewa dhahabu kwenye sahani waitumie lakini sidhani kama wameiona dhahabiu hiyo na kuipokea.
Mwanasiasa mahiri anaongozwa na ajenda za kimsingi na sio siasa za matukio.....
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!

Kesho mbali aanze hata kwenye vipindi vya leo, na akiweza alale kabisa hapo studio. Ila ukweli ni kuwa yeye ni mchafu fullstop.
 
Back
Top Bottom