Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
bora angenyamaza tu
 
Nyalandu Hana jipya.Ccm aliondoka kumkimbia jpm.Huo ndo ukweli.Mengine Ni uwongo mtupu.Wapinzani Wana mapungufu yao, Ila kikubwa wanakwamishwa kwa chama dola ccm na kukosekana kwa tume huru.Yaliyofanyika uchaguzi mkuu mwaka Jana yanajulikana.Mnyonge mnyongeni, haki zake mpeni
Waliondoka waliokuwa magwiji imara kama kina Slaa, Mdee nk na haikuyumba aje kuwa huyu wa kuja? Bila shaka hawezi kuwa na jipya la kusema
 
Apuuzwe.....mtu yeyote anaehama chama kisha aseme vibaya kule alikotoka..hasa wa nchi hii ni wa kupuuzwa
Njaa mbaya...mameno aliyoyasema Dr.Slaa (mihogo) kwamba kuhusu choo sebureni..sasa hivi anatamani ayafute...!!
 
Hebu acha upumbavu wako wewe!!! Hivi umewahi kuhoji kuhusu playing field in political arena? Is it the same to both parties. Acha kujitoa ufahamu kuhusu huyo mganga njaa. Eti hakuna upinzani wa kweli nchini wakati huo huo maccm yanahofia kuwepo kwa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Kama ni kweli basi hii yathibitiisha yale niyasemayo siku zote kwamba Tanzania hakuna upinzani wa kweli.

Tume huru si sababu ya upinzani kushindwa kuidhibiti CCM.

Upinzani wahitaji sera na siasa za kipekee kabisa kuzikonga nyoyo za watanzania.

Kwa mfano, jana wapinzani wamepewa dhahabu kwenye sahani waitumie lakini sidhani kama wameiona dhahabiu hiyo na kuipokea.
 
Waliondoka waliokuwa magwiji imara kama kina Slaa, Mdee nk na haikuyumba aje kuwa huyu wa kuja? Bila shaka hawezi kuwa na jipya la kusema
Huyu mpiga scrub atajiharibia tu!! Ni kheri abakie kimya.
 
Kwa nini hayo madhaifu asingewaambia hao CHADEMA kabla ya kutoka huko ili kuwapa mbinu za kuwakabili wapinzani wao, mpaka asubir abadili Chama zen ayaanike hadharani?? Yatasaidia nini?

Asituchoshe!
Busara ni kitu adimu sana haswa kwa wanasiasa wengi nchini kwetu.
 
Nyalandu Hana jipya.Ccm aliondoka kumkimbia jpm.Huo ndo ukweli.Mengine Ni uwongo mtupu.Wapinzani Wana mapungufu yao, Ila kikubwa wanakwamishwa kwa chama dola ccm na kukosekana kwa tume huru.Yaliyofanyika uchaguzi mkuu mwaka Jana yanajulikana.Mnyonge mnyongeni, haki zake mpeni
Huu ndiyo ukweli wenyewe, mengine ni siasa chafu tu. Hili hata CCM wanaompokea "mwana mpotevu" Nyalandu wanalijua, labda tu wale ambao akili haziwatoshi kuijua siasa.
 
Leo nimemkubuka faru john
giphy.gif
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Akieleza hayo ss watanzania tutapata faida gan?
 
Waliondoka waliokuwa magwiji imara kama kina Slaa, Mdee nk na haikuyumba aje kuwa huyu wa kuja? Bila shaka hawezi kuwa na jipya la kusema
Huyu malaya hana jipya, aendelee kugonganisha vi weita vya hoteli yake vinavyokunywa sumu kila mara kwa kumgombea boss wao.
 
Nasikia atawananga sana lakini CDM kwao itakuwa ngumu hata kujibu kwani Nasari alisema jamaa ni jizi na Chadema walimkalia kooni kama luba, baadae akaamia kwao wakamsafisha kwa kusema Nyalandu ni mtu safi tusubiri kesho watakula matapishi au watajipakaza mdomoni.
..na ccm nao walisema ni nyalandu ni mwizi sasa amerudi kwao/ nyumbani, je, ccm wataanza kazi ya kumsafisha?
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Hawa mashoga wa clouds kwa nini wasingeli balance kwa kumuita mtu wa cdm ajibu hoja za jangili nyurandu?
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Eti nguli wa siasa, duh fani imevamia
Kwani watalam wenuewe wanasemaje
 
Tushawajua kuwa hao jamaa wanaendeleza aliyo kuwa anayapendelea jiwe
Hasa kale ka mama ka kwenye kipindi cha magazeti, kenye sauti kavu, kama ya wanaowinga ndege kwenye shamba la mpunga.
 
Ccm hawapaswi kumuamini Huyu hata kidogo, labda kama kwenda kwake cdm ilikuwa ni mission
 
Back
Top Bottom