Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Ni oora agekaa kimya kulinda heshima yake, lakini kubwabwaja ni ishara ya kuonyesha ni jinsi gai usaliti wake unamtesa! Msaliti i msaliti tu hata angejisafisha na kuchafua wengie kwa kiasi gani!
Nyalandu alikuwa ni maiigizo mwanzo mwisho - kama ana hata chembe ya kutaka alinde heshima yake ni vyema akae kinywa kuliko kufungua mdomo wake na kuidhilisha Dunia kitu ambacho Watanzania wengi tulikuwa tuna mu-suspect kwa muda mrefu, kwamba: hana msimamo - namely i.e is a seasoned flip flopper - hapo anacho tafuta ni kujaribu kumchota akili Rais wetu, ili amuone ni mwana mpotevu ambaye amehamuwa kwa hiari yake kurudi CCM,kumbe lengo lake ni kufukuzia teuzi aidha ya uwaziri au ubalozi, hana kingine anacho kimbilia zaidi ya vyeo Serikalini, basi.

Tega sikio kesho msikikizeni k atakavyo kiponda chama cha Chadema as if he was never part and parcel of it, atakisingizia tuhuma chungu mzima za kutunga/buni tu atakolezea kwa kutolea mifano ya Mh.Sumaye,Mh. Lowasa na Mh.Slaa kwamba waliondoka Chadema kutokana na chama kuendeshwa kama mali ya ukoo - huo ni uzushi of course wenye lengo la kutaka kufurahisha waadishi wa habari! Ataongezea tena kwa kusema kwamba waheshimiwa walio tajwa hapo juu walikata shauri kubwaga manyanga baada ya Mbowe kuwazidi kete na kutaka kug'ang'ania madarakani - Mbowe alitambuwa tokeao mwanzo kwamba wengi wao waliingia Chadema at the eleventh hour kwa lengo la kutafuta vyeo na kikubwa zaidi kukihujumu CHADEMA na kumalizia kwa kumumaliza Mbowe kisiasa,lakini baada ya Mbowe kawashtukia ndio kuwazidi kete ndio wanamuona mbaya na hafai kuwa kiongozi wa chama cha UPINZANI!!
 
Mwanasiasa mahiri anaongozwa na ajenda za kimsingi na sio siasa za matukio.....

Ni kweli, hivyo ndio inavyotakiwa iwe, ila watanzania 80%+ ya wapiga kura hawachagui kwa kuangalia sera, bali ushabiki, rushwa, vitisho na mazoea. Ukisema mtu anasema amechaguliwa kwa sera zake, basi ujue ni porojo kama porojo nyingine. Mfano ule uchaguzi wa kihayawani uliopita, unaweza kusema ilikuwa ni kwa ajili ya sera? Na kwa bahati Precidence aliyetengeneza Magufuli ya kushinda uchaguzi kwa kuunajisi, itachukua muda kuondoka maana ccm imeshapoteza ushawishi kwa umma, na haiko tayari kuachia madaraka kidemokrasia.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelea

Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Mwanaume ukidondokwa taulo mbele ya Mama Mkwe ni vyema kuchutama kuliko kuendelea kusimama eti unajitetea sababu za taulo kudondoka. shame on him.
 
Kama ni oil chafu mbona wakirudi huko mnawapokeaga tena kwa mbwembwe na makamera kibao. Kataeni kuwapokea ndo tutajua ni oil chafu.
Nani anafaidika na kuhamahama huko?? Chama kipi kinapata hasara?
 
Ufipa wana mhaho sasa hivi, NYALANDU anataka kuinyea kambi. Ila mbowe ni sikio la kufa, halisikii dawa. Aache kuchukua oil chafu, mwisho wa siku anachafuka na yeye
Huu ni mtazamo dhaifu sana, siasa ni mchezo sawa na michezo mingine, huwezi kuzuia mwanachama kujiunga wala kuondoka
 
Kwani kachokozwa?? Mbona Chadema hata hawamsemi? Kwa nini asikae kimya tu!!!
 
Apuuzwe.....mtu yeyote anaehama chama kisha aseme vibaya kule alikotoka..hasa wa nchi hii ni wa kupuuzwa
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Jamaa kalala njaa siku moja tu hoi.....mpiga scrub na zege wapi na wapi...

Tunamwomba aweke akiba ya maneno!! Maana madai yake yote yaliyomfanya aikimbie CCM wakati huo sasa yametimizwa!!
 
Back
Top Bottom