Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Zari unaambiwa ana wivu.Hiyo siku alivyoona wadada wa tz walivyo warembo akawa amenuna hata kupiga nao picha hataki.
Sasa ule ni muendelezo wa mood aliyokuwa nayo pia si unajua mambo ya mimba tena? Na hivi nasikia ni mtoto wa kike hatariiii...

Lazima awe nao aisee hasa mbele ya watoto wazuri wakali wivu hukwepeki.
Na mtu akiwa na ujauzito wa mtoto wa kike in nature huwa hapatani na wanawake kabisa sijui kwanini, na hao waliokua wanataka picha naye ni kumchosha tu bure na mimba yake bora aliwakomesha wabongo wasione kichaka basi ni shiiider.
 

- Saafi sana watu wamekalia ujinga ujinga eti Super Star ngoja sasa kina Zari wawe wanakuja wanapiga pesa ndio tutapata akili, kwamba Super Star hatakiwi kuonekana sana ndio maana wenyewe huwa wanajifungia Holywood wakitokea kila mtu analipa kuwaona, Super Star lazima awe na adabu na aheshimu U Star wake kama wewe mwenyewe hujithamini nani atakuthamini? please

- Tutakalia hivi hivi kubiashana kapata ngapi au hakupata ngapi, mpaka tutakajifunza!! Super Star hana Meneja wala Mwanasheria hahahahahah nyie mnafanya mzaha sana na haya mambo msiyoyajua

Le Mutuz
 

thank yuuuuuuuiuuuuuu
 
Last edited by a moderator:

thank yuuuu
 
Bwana malecela na steph curry nimewaelewa sanaaa kwa michango yenu kiukweli kama wanavyosema wasemaji"mostly of the people's used to blame others for they are own failure.Nadhani kila kitu kina misingi miiko yake usipojithaminisha watu kukuthamini inakuwa ngumu nadhani event hiyo uchukuliwe kama stepping stone kwa vijana wetu na si kuanza kupondana.
 

- Mkuu inachosha sana leo ni Mwaka 2015 tulitakiwa tuwe tumeshapita haya mambo ya kubishana wamepata ngapi au hawakupata ngapi au kwa nini wamepata na wengine hawawezi kupata, Zari is a smart Woman ambaye amekuwa akiitumia Social Media kujiweka tayari siku moja kuja kuvuta pesa kubwa WHY? Ni kwa sababu ana elimu so alianza kujipanga mapema na kuweka picha zilizotengenewa very carefully, zile picha zake za magari ya ajabu, ndani ya majumba ya ajabu leo Wabongo wote tunaamini Zari ni Super Bilionea tumejuaje kama sio Instagram yake tu now nani ana uhakika kama ni kweli? Ndio tujifunze what Social Media can and cannot do to you.

- Kwa muda mrefu amekuwa akitengeneza Image ambayo hata uwe vipi huwezi ku resist kutaka kumuona, so alipoingiana na Diamond ilikuwa ni the long awaited opportunity, kwenye maisha kuna kitu kinaitwa every dog has his day siku yake ilifikia baada ya kujitayarisha kwa muda mrefu sana, sasa sisi tumebakia kubishana ujinga ujinga eti angefanya mbongo tusingeenda ni kweli kwa sababu ni Mbong gani kuacha Diamond ambaye amejitofautisha na wengine na matabia ya kujinga jinga, Mkuu Dunia ya sasa bila elimu utapiga chini tu hata ukipata pesa vipi kama hukuajiri watu walioenda Shule kama alivyofanya Diamond utaishia kuwa kama Mr. Nice huyu kijana kwa macho yangu alishawahi kuja US nikiwa ninaishi kule akapokea USD $ 60,000 kwa macho yangu nikiwepo, leo umemuona anavyofanana ndio Super Star wa Tanzania,

- Sasa kama kawaida yetu tumebakia kurusha rusha maneno ya kitoto maana this is all we know best maneno maneno hewa, ndio kuwaponda ni muhimu sana wanapotokea wajinga wajinga wanaotaka kuwatetea wajinga wenzao, wasipoamka usingizini wataishia hivyo hivyo kulia lia tu!!

Le Mutuz
 
Big thanks malecela nimekuelewa nadhani elimu ya kujitambua ndio muhimu kuna watu wamesoma na tunaona elimu jinsi ambavyo haijawasaidia that's why watu husema unafanya kitu kama hujasoma it means elimu haikumkomboa mtu huyu.Na kuna watu wanatumia hupenda kuita common sense na waswahili husema akili ya kuzaliwa nadhani ni muendelezo wa dhana nzima ya kujitambua.Umetoa mfano sahihi wa mkenda alikuwa ni lulu na aka asisi mtindo wa TAKEU today hayupo imebaki enzi na enzi au chance sometime never come twice just once and for all.
Tukio kama hili ni somo kwa vijana wetu penye upande wa entertainment ila wenye akili fursa bado wanayo once again thanks brother.
 

- Sio kweli Elimu siku zote humsaidia binadam kujitambua ambalo ndio tatizo kubwa kwa hawa Wasanii wetu, naona unajaribu sana kusema usichotaka kukisema naiona nia yako very clear kwamba unajaribu kutetea mediocre what was the purpose of this thread kama sio kukataa ukweli kwamba Zari na watu wake made tons of money hata hii 1.8 Billion ni just an estimation bado naamini wamevuta pesa kubwa zaidi,

- Hivi umegundua kwamba nikiwa sipo huwa likitajwa jina langu kunakuwa na kelele nyingi hewa mpaka nikija then unaona zinavyoyeyuka, I mean wewe unajua ni watu wangapi wamelipia Shillingi Elfu tatu tatu? Halafu mtu anakurupuka tu na maneno maneno hewa ya kukataa unakataa unaktaa nini weka sasa FACST ZAKO hapa!!

Le Mutuz
 
Malecela sidhani kama unanitendea haki kusema nataka kutetea ila ungejaribu kuwaza kidogo watu wangapi unaowajua wewe na wana elimu na haikuwasaidia?take my words kuwa nawaangalia hawa vijana kwa mbali jinsi wasivyo kuwa na elimu ya kujitambua that's my point na sio kutetea coz wote tunajua umuhimu wa elimu but kama unayo na huitumii?au huna hata ya kuzaliwa ambayo nayo ni muhimu sana yaani uelewa wako unakuwa mkubwa katika kushika mambo mapema. Binafsi nimekuelewa na tupo pamoja .
 

- Well, ningekuelewa ungesema kuna msanii ana elimu lakini bado haijamsaidia, lakini you know that is not the ishu here ni kwamba tunaongelea Wasanii ambao hawana Education kabisa na ni almost wote so mfano wako haupo kwenye line ne this topic that is all my point!!

Le Mutuz
 
Ok kama tatizo la elimu nilivyotoa mfano sikutoa kwa ajili ya wasanii tu mfano wangu ulikuwa na mtazamo wa elimu kwa ujumla inavyoweza kumsaidia mtu.But so far nadhani nimekuelewa kwa hilo thanks for your time mr w.j malecela
 
Huyu Zari anawafanya watanzania wajinga wa kudanganywa hawaijui 1.8 Billion, wakifuatwa walipie kodi ya mapato wataruka mbali watasema wameingiza millioni 50,alianza uongo kwa kujitangaza na na kuyafanya magazeti ya tangaze na kukionyesha kitanda chake anachosema amekinunua USD 1 Million.
 
Hapa tunapoteza muda dai na zari wamepiga hela za kutosha iwe ni 1.8bilion au 1.8 milion ni zao wametumia akili zao na ss tutafute namna ya kupata kama wao
 

"Mind your language" umewahi kuitazama hii "comedy"?
 

Ambwene Yesaya - namwelewa sana huyu bwana!
 
Wale mafahari wawili waliowahi kutengeneza uzi mrefu humu mwanzoni mwa miezi February, Mjasiriamali William Malechela Le Mutuz na Mwanasheria Alberto Msando, kufuatia promoshen iliyotamba ya kampuni ya Coka cola yenye jina "share a coke" ya kuandika majina katika makopo, hatimaye wamepatana.

Katika kurasa zao za insta wametupia picha wakiwa pamoja huku wamefunga mikono style anayoipenda sana mkuu Le Big Show AKA Akili kubwa, huku kila mmoja akitupia ujumbe kuonesha yameisha.

Ikumbukwe kuwa wakati wa tifu hilo hata wachangiaji wengi humu walijikuta wakiwa makundi tofauti kila mmoja akiwa upande wa aliyeona ana hoja ya msingi katika suala lile.

Binafsi mimi nimewapongeza sana hawa jamaa kwa kuonesha ukomavu wa busara na wito wangu wooote mliokwaruzana kipindi kile tafadhali rejeaneni.

========

View attachment 250753
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…