Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Unaanzia wapi kumfatilia mtu kama le mutuz na mange kwa mfano??? Unajifunza nini kupitia watu hao!!!!
 
Huwezi kuwa litoto la kulelewa na mama wa kambo wewe loh!!!!!!!!! mtoto unavizia hadi man,dogo khaa!!!!!
Mama leo shuleni kuna kitu nimekula tumbo limeuma,nimeambiwa na mwl nije nyumbani unipe "maziwa",naomba nitulie mamaaa,ili nitoe sumu...ila watu wasione...
 
Mama leo shuleni kuna kitu nimekula tumbo limeuma,nimeambiwa na mwl nije nyumbani unipe "maziwa",naomba nitulie mamaaa,ili nitoe sumu...ila watu wasione...


Leo mzee hajaacha hela ya kula ivo usinisemeshe kabisa.

Hahahahaha!!!!!!!!!!!!!! Umenikumbusha LITTLE MAN
 
Leo mzee hajaacha hela ya kula ivo usinisemeshe kabisa.

Hahahahaha!!!!!!!!!!!!!! Umenikumbusha LITTLE MAN
Please check pm nimekutumia attachment ya cheque,kabla hujatoa nijulishe nijue unaenda bank gani.Nimekutumia pia free voucher ya Nakumaat.
 
Please check pm nimekutumia attachment ya cheque,kabla hujatoa nijulishe nijue unaenda bank gani.Nimekutumia pia free voucher ya Nakumaat.

Tatizo cheque yako tsh umeiba kwa baba, hv hapa baba ako kisha nipa cheque ya $.

Hizo hela zako kanunue visheti
 
mwanzilishi wa mada,hata wewe akili yako ni kama ya LEMUTUZ. Picha za yeye na mademu muda wote zimekufikisha mbali? Ptuuuuuuu...........
 
Katika maisha unaweza kumdhamini sana mtu alafu kumbe ni wale wale. Unaweza dhamini kitu ila kumbe kinaweza baada ya muda kikawa kinapoteza umaana kabisa.

Le mutuz ni kati ya vitu hivyo kwangu. Huyu bosi anablog yake ambayo kwa muda mrefu nimeitumia kupata taarifa zuri sana za nchi yakiwemo matukio yanayotokea punde.

Nilimpenda zaidi alipotua pale leaders club 15/07/2015 ambapo aliambatana na mkuu wa wilaya kuzungumzia swala la ajira ambapo alizungumza mambo ya msingi sana kwa taifa. Blog yake imekuwa kwa siku nyingi msaada kwangu katika kupata taarifa.

Kwa siku za hivi karibuni blog hiyo inaandika habari nyingi sana za siasa tena kwa kuelemea chama tawala na kuponda vyama vingine. Pia habari nyingine za matukio hazipo kabisa. Nimeendelea kuwa na kiu ya kupata habari nilizozizoea lakini nimekosa. Kiulweli sina namba yake ya simu ili nimpigie nimweleze haya.

Ndio maana nasema ukimwona le mutuz popote mwambie namuaga sitotumia tena blog yake.

- Yaani page moja na nusu tayari viewers 3,500 thanks guy ndio maana ya big Celebrity, nipo busy sana no time for this uchaguzi ukiisha tutaonana tena ila not now kwa herini guys!!

Le Mutuz
 
- Yaani page moja na nusu tayari viewers 3,500 thanks guy ndio maana ya big Celebrity, nipo busy sana no time for this uchaguzi ukiisha tutaonana tena ila not now kwa herini guys!!

Le Mutuz

Msalimie Slaa
 
Mange Kimambi kwenye blogu yake ya U turn amewataja wauuza madawa ya kulevya wakubwa hapa Dar.

Miongoni mwa aliyewataja Ni mfadhili mkubwa WA Le Mutuz. Bwana huyu ambaye Mutuz hupenda kumuita Le Super Billionaire ndiye walikuwa wafungue nae radio na tv station.

Siku ya nne Leo mgombea ubunge huyo aliyeshindwa hajakanusha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom