U know what babu malizia[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]View attachment 580244
- Kazi imeshaanza tayari ni kaazi juu ya kaazi, yaani Bampa to Bampa hahahahahaha ajira kwa vijana wadogo kama huyu ndio maana ya AKILI KUBWAZZZ yaani uzitumie kwa faida yako na usaidie na wengine hahahahaha U know!!
le Mutuz
U know what babu malizia[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
the great
Ha ha niliona headline tweeter hata Hashim Rungwe kamuandika Mwenyekiti wa Chama cha Ovyo ovyo siwez kuunguza Mb zangu kuangalia upuuzi
Le baharia sijui alisomea wapi uandishi aiseeHa ha niliona headline tweeter hata Hashim Rungwe kamuandika Mwenyekiti wa Chama cha Ovyo ovyo siwez kuunguza Mb zangu kuangalia upuuzi
Anampenda sana bashite,angekua na uwezo angemgawia angalau cheti kimoja cha degree zake kati ya zile 5 alizonazo including criminologyKuangalia habari za huyu 0 brain ni kuunguza mb tu.. hiyo online tv utakuta ni ya bashite na imefunguliwa kwa ajili ya kazi za bashite hhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisomea Antwerp Belgium ha ha ha ana degree 3 nadhan moja ni hiyo
Ujinga anaofanya ata alie na diploma awez kufanyaAlisomea Antwerp Belgium ha ha ha ana degree 3 nadhan moja ni hiyo
Ujinga anaofanya ata alie na diploma awez kufanya
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Hivi babu Le mutuz ni kweli ndo unajiita king of tz social media kwa kupost hii ndo habari itakayokufanya mtu aweke tangazo kwenye Blog yako?
mkuu unaharibu career za watu Plzz Step a side
le mutuz tv ina promo kubwa kuliko uhalisia... joti ana online tv lakini haina mbwembwe hivi, hata millard ayo pia au shigongo