Unakoseka kuwaita mabinti hao ni Wanawake kwa sababu usichana walishatolewa siku nyingi kutoka huko shule msingi, Vyuoni wanaingia kama wanamke asiyeolewa.
Kwanza kabisa wanawake wa Kibongo ni wavivu kupita maelezo kazi yao kubwa in kuonyesha waliovyo warembo hata kama si warembo, hawasomi kabixa, lazima wawe chakula cha wahadhili kwa mtindo huo.
Bado Nashaanga wanaume bado wanaoa wanawake hawa walioishi na wanaume kama kimada kwa zaidi ya miaka mitatu wakiwa vyuoni halafu wewe ndo unachukua na kuoa kwa mahari kubwa. Hii nafikiri haikubali kabixa, nyie wanaume acheni uzwazwa.
Kwanza kabisa wanawake wa Kibongo ni wavivu kupita maelezo kazi yao kubwa in kuonyesha waliovyo warembo hata kama si warembo, hawasomi kabixa, lazima wawe chakula cha wahadhili kwa mtindo huo.
Bado Nashaanga wanaume bado wanaoa wanawake hawa walioishi na wanaume kama kimada kwa zaidi ya miaka mitatu wakiwa vyuoni halafu wewe ndo unachukua na kuoa kwa mahari kubwa. Hii nafikiri haikubali kabixa, nyie wanaume acheni uzwazwa.