Miaka ya nyuma alikuwa anaonekana sana kwenye maluninga akapotea naona sahv kaja kwa style hiiYeye kuongea haina maana ndio ushahidi. Aonyeshe offer aliyopewa na hizo NGO za Marekani, na zithibitishwe kwamba ni za kweli na sio forgery.
Huyu Leila ni nani hasa?Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.
Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.
Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Je hizo NGO hapa TZ zilitimuliwa??Yeye kuongea haina maana ndio ushahidi. Ni tuhuma tu. Aonyeshe offer aliyopewa na hizo NGO za Marekani, na zithibitishwe kwamba ni za kweli na sio forgery.
Nahisi ashakuwaga mkurugenzi wa tamwa zamaniHuyu Leila ni nani hasa?
Tunaweza kuwa tunapoteza kujadili kauli zisizo na maana kutoka kwa watu ambao haishangazi kutamka vile kutokana na uelewa wao mdogo au kutokana na unafiki wao.
Tutakuja kupoteza muda kujadili hata kauli za watu ambao ni mentally reterded au watu ambao siyo genuine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sheria imempa nafasi Hakimu kumsikiliza mtuhumiwa utetezi wake ni tofauti na sheria inavyosema kuhusu makosa kama ya Murder ambapo ikithibitika kwamba mtuhumiwa aliua adhabu yake ni moja tu Kunyongwa hadi Kufa no other option.Hiyo adhabu haisemi miaka 14?
Any way.
Ila nahisi umepata logic yangu ninayohtaji kujua....
Adhabu ni miaka 14....
Imekuwaje hawa wakapgwa miaka 5???
Ndo naona ukakasi wa sheria.
Tutatokomezaje sasa haya mambo?
Mwiaho tuendelee kuwasema Wamarekani kwamba ndo wanayaleta huku...ila wanaoyafanya tunawaonea huruma ilihali adhabu zko wazi[emoji3][emoji3][emoji3]
Ni mweupe au mweusi? Ana maoni gani kuhusu ile kauli ya mgombea kuwasikiliza zaidi wanawake weupe kuliko weusi.. Nyerere aliwahi kusema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, huyu mgombea alianza kuwabagua watu kwa vyama vyama na sasa ameleta rangi ya ngozi.Mwandishi wa habari na mtetezi wa masuala ya wanawake.
Mkuu usihangaike na huyo Nyani Ngabu ni mshiriki mzuri hivyo atetea professional yake!
Kichwa ako.Ni mweupe au mweusi? Ana maoni gani kuhusu ile kauli ya mgombea kuwasikiliza zaidi wanawake weupe kuliko weusi.. Nyerere aliwahi kusema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, huyu mgombea alianza kuwabagua watu kwa vyama vyama na sasa ameleta rangi ya ngozi.
Basi kasome Tanzania daimaOna sasa...ndo maana nimekwambia kasome hiyo hukumu halafu...uje utwambie walitumia kifungu kipi
Unaniambia magazeti ya Tz...how?
Magazeti haya haya ya MUSIBA Na UZALENDO ndo unatwambia tusome?
Mm nmekuletea kifungu cha katiba yetu na adhabu kwa atakaekutwa na hatia...halafu unaruka ruka hapa...
Swali langu lilikuwa kama adhabu ni miaka 14 bila masharti mengine...imekuwaje hawa wakahukumiwa miak 5 au fain ya mil. 11????????
Ndo swali lang kubwa hapa
Siku hizi ukisema ukweli, ukipingana na mataifa ya ulaya na kutanguliza uzalendo wanakuita mwana CCMNimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa ccm zaidi kuliko muandishi wa habari.
Mbn CCM imeshatuuza sana kwa mabeberu tumechoka ngoja tar28Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia CHADEMA na Lisu.
Yaani siamini CHADEMA hii hii ya mtaa wa ufipa pale Kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.
Siku hizi ukisema ukweli, ukipingana na mataifa ya ulaya na kutanguliza uzalendo wanakuita mwana CCM
Kweli CCM kimekua chama bora💥👌
CCM endeleeni kukamatia hapohapo na msisahau kutoa maelekezo ya watanzania wapya wanaotaka kadi za chama
Mwandishi wa habari na mtetezi wa masuala ya wanawake.
Hafungwi,Akatetee mashangazi waliotaka kupigwa.
Sio lazima mfanane mitazamo!Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?
Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Yaani huyo mnayemwita Leila Sheikh hebu muulizeni mbona kwenye kutembeza bakuri la msaada Marekani hasemi wanavizabinazabina , Pimbi mkubwa huyo . Mwambieni Leila mwdka huu CCM hawaibi kura hata wafanyaje .Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.
Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.
Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.