Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Yeye kuongea haina maana ndio ushahidi. Aonyeshe offer aliyopewa na hizo NGO za Marekani, na zithibitishwe kwamba ni za kweli na sio forgery.
Miaka ya nyuma alikuwa anaonekana sana kwenye maluninga akapotea naona sahv kaja kwa style hii
Any way anatafuta ugali[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.

Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.

Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Huyu Leila ni nani hasa?

Tunaweza kuwa tunapoteza kujadili kauli zisizo na maana kutoka kwa watu ambao haishangazi kutamka vile kutokana na uelewa wao mdogo au kutokana na unafiki wao.

Tutakuja kupoteza muda kujadili hata kauli za watu ambao ni mentally reterded au watu ambao siyo genuine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye kuongea haina maana ndio ushahidi. Ni tuhuma tu. Aonyeshe offer aliyopewa na hizo NGO za Marekani, na zithibitishwe kwamba ni za kweli na sio forgery.
Je hizo NGO hapa TZ zilitimuliwa??
Kama zpo ina maanisha nn?[emoji3][emoji3]
 
Huyu Leila ni nani hasa?

Tunaweza kuwa tunapoteza kujadili kauli zisizo na maana kutoka kwa watu ambao haishangazi kutamka vile kutokana na uelewa wao mdogo au kutokana na unafiki wao.

Tutakuja kupoteza muda kujadili hata kauli za watu ambao ni mentally reterded au watu ambao siyo genuine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi ashakuwaga mkurugenzi wa tamwa zamani
Alikuwa anazungumzia sana mambo ya wanawake
Ila alipotea.....ni juve sahv
Huyo ndy Leila sheikh nnaye mjua mimi

Ova
 
Wakishafanyiwa hiyo testing, kuna Mental Health Recovery Program? Na je, inalipiwa? Mimi nipo tayari kulipa kwaajili ya Bia Yetu na Jingalao, alimradi malipo yasizidi shilingi milioni 20 kwa wote wawili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo adhabu haisemi miaka 14?
Any way.
Ila nahisi umepata logic yangu ninayohtaji kujua....
Adhabu ni miaka 14....
Imekuwaje hawa wakapgwa miaka 5???
Ndo naona ukakasi wa sheria.

Tutatokomezaje sasa haya mambo?
Mwiaho tuendelee kuwasema Wamarekani kwamba ndo wanayaleta huku...ila wanaoyafanya tunawaonea huruma ilihali adhabu zko wazi[emoji3][emoji3][emoji3]
Bado sheria imempa nafasi Hakimu kumsikiliza mtuhumiwa utetezi wake ni tofauti na sheria inavyosema kuhusu makosa kama ya Murder ambapo ikithibitika kwamba mtuhumiwa aliua adhabu yake ni moja tu Kunyongwa hadi Kufa no other option.
 
Mwandishi wa habari na mtetezi wa masuala ya wanawake.
Ni mweupe au mweusi? Ana maoni gani kuhusu ile kauli ya mgombea kuwasikiliza zaidi wanawake weupe kuliko weusi.. Nyerere aliwahi kusema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, huyu mgombea alianza kuwabagua watu kwa vyama vyama na sasa ameleta rangi ya ngozi.
 
Ni mweupe au mweusi? Ana maoni gani kuhusu ile kauli ya mgombea kuwasikiliza zaidi wanawake weupe kuliko weusi.. Nyerere aliwahi kusema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, huyu mgombea alianza kuwabagua watu kwa vyama vyama na sasa ameleta rangi ya ngozi.
Kichwa ako.
 
Ona sasa...ndo maana nimekwambia kasome hiyo hukumu halafu...uje utwambie walitumia kifungu kipi

Unaniambia magazeti ya Tz...how?
Magazeti haya haya ya MUSIBA Na UZALENDO ndo unatwambia tusome?

Mm nmekuletea kifungu cha katiba yetu na adhabu kwa atakaekutwa na hatia...halafu unaruka ruka hapa...
Swali langu lilikuwa kama adhabu ni miaka 14 bila masharti mengine...imekuwaje hawa wakahukumiwa miak 5 au fain ya mil. 11????????
Ndo swali lang kubwa hapa
Basi kasome Tanzania daima

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa ccm zaidi kuliko muandishi wa habari.
Siku hizi ukisema ukweli, ukipingana na mataifa ya ulaya na kutanguliza uzalendo wanakuita mwana CCM
Kweli CCM kimekua chama bora💥👌

CCM endeleeni kukamatia hapohapo na msisahau kutoa maelekezo ya watanzania wapya wanaotaka kadi za chama
 
Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia CHADEMA na Lisu.

Yaani siamini CHADEMA hii hii ya mtaa wa ufipa pale Kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.
Mbn CCM imeshatuuza sana kwa mabeberu tumechoka ngoja tar28
 
Siku hizi ukisema ukweli, ukipingana na mataifa ya ulaya na kutanguliza uzalendo wanakuita mwana CCM
Kweli CCM kimekua chama bora💥👌

CCM endeleeni kukamatia hapohapo na msisahau kutoa maelekezo ya watanzania wapya wanaotaka kadi za chama

Kwa taarifa yako hata mtangazaji alimpuuza maana aliona bado yuko kwenye propaganda mode, huku kipindi hicho kikiangalia ukweli. Huyo dada alistahili kufanya mahojiano na TBC, channel 10 nk, maana huo utoto aliokuwa anaongea ndio una nafasi.
 
Kada wa CCM huyo. Kwa asiyemjua - hana tofauti na yule mwandishi aliyenyooshwa vilivyo na wale wajumbe pendwa.
 
Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?

Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Sio lazima mfanane mitazamo!
 
Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.

Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.

Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Yaani huyo mnayemwita Leila Sheikh hebu muulizeni mbona kwenye kutembeza bakuri la msaada Marekani hasemi wanavizabinazabina , Pimbi mkubwa huyo . Mwambieni Leila mwdka huu CCM hawaibi kura hata wafanyaje .
Screenshot_20201008-233829.png
Screenshot_20201008-005832.png
 
Back
Top Bottom