Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwaambia watu wamuombe Mungu imekuwa kosa?Lema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Amejuaje kwamba wakiomba kwa siku 7 ndio Mungu ataipigania nchi??Kuwaambia watu wamuombe Mungu imekuwa kosa?
Kwa nini asijiombe yeye mwenyewe kwa maana anatumziwa familia?Kuwaambia watu wamuombe Mungu imekuwa kosa?
Kama kuna viongozi wanaoharibu hii SACCOS ni huyu jamaaa aiseeLema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Hujawahi kuwa na akili nakupuuza jumla.Kwa nini asijiombe yeye mwenyewe kwa maana anatumziwa familia?
Kama ameshachoshwa na siada akae pembeni, siyo kutaka kugeuza jukwaa la kisiasa kuwa la kidini. Ametaka siada, amepewa rihaa, atimize majukumu na wajibu wake wa kisiasaLema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Kwa maana situnziwi familia kama Lema ,tatizo ni la kwako usitaka kujua ukweli.Hujawahi kuwa na akili nakupuuza jumla.
Lema alijazwa upepo kwenye mitandao kuwa yeye ni nabii na kwa maana hana uwezo wa kufikiri kisawasawa(no elimu dunia) ndio kila mara anajifanya mtu wa mungu wengine sisi sio 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Maombi yamewashinda waisrael mpk wanatumia mtutu kupambana na Hamas na Hezbollah, itakuwa Lema??
Matatizo ya kisiasa hutatatuliwa kisiasa na siyo kwa maombi.
Kuna nchi nyingi sana zinatawaliwa kidikteta miaka nenda rudi. Lema anataka kusema kuwa nchi hizo hawana Mungu isipokuwa Tanzania ??
Lema ni mpuuzi hawezi badilika ,embu fikiria familia yake inatunzwa na yeye bado anazo nguvu za kufanya kazi hata ya kuendesha mkokoteni ila hataki ,kutwa nzima anashinda kwenye mitandao baba mtu mzima 🙆♂️🙆♂️🙆♂️wewe ulitaka awe nani?
Maza ako mwenyewe anatamani angezaa na Lema badala ya dingi ako ili ukoo wenu upate watu wenye akiliLema ni mpuuzi hawezi badilika ,embu fikiria familia yake inatunzwa na yeye bado anazo nguvu za kufanya kazi hata ya kuendesha mkokoteni ila hataki ,kutwa nzima anashinda kwenye mitandao baba mtu mzima 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Anaboa sana.Lema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Yeye mwenyewe ana historia ya ujambazi atatuambia nn watoto wa NguleloLema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
OkUstadh, asome albadiri