Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Unaendeshwa na Roho ya Mpinga Kristo.

Huwezi kumkataa mtume Paul na ukasema unaamini BIBLIA.

Ungekuwa una Roho mtakatifu ndani Yako, ungemuuliza na angekufafanulia usichokielewa kuhusu waraka wa Paulo.

Roho ya mpinga kristo imeandika biblia ipi ??

1. Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile? Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu? Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?

2. Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine? Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?

3. Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?

4. Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi?

5. Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


6. Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?

7. Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
 
Yesu mwenyewe anawambia wanafunzi wake.

(Mathew 28:19.)

Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho mtakatifu.

(Mark 16:15).

Akawaambia enendeni ULIMWENGUNI mwote mkaihubiri INJILI Kwa Kila kiumbe.

Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa.

Ndugu GAVANA, unaendeshwa na Roho ya Mpinga kristo.

TUBU, usipotubu utahukumiwa.

Amen


Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15.

Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?

Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.

La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu.

Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.
 
Yesu mwenyewe anawambia wanafunzi wake.

(Mathew 28:19.)

Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho mtakatifu.

(Mark 16:15).

Akawaambia enendeni ULIMWENGUNI mwote mkaihubiri INJILI Kwa Kila kiumbe.

Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa.

Ndugu GAVANA, unaendeshwa na Roho ya Mpinga kristo.

TUBU, usipotubu utahukumiwa.

Amen


Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.

William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo Harper's Bible Commentary anasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.

Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."


Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:


Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko; na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Thenashara; baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala; badaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8


Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.

Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.

Hivyo ndivyo tunavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
Amesema Craveri katika Maisha ya Yesu(The Life of Jesus )

"Paulo alijihakikishia mwenyewe kuwa ijapokuwa Yesu ni kweli alikufa, lazima awe amefufuka, akiuwacha mwili wake wa kidunia nyuma ili avae mwili wa 'kiroho'.

Paulo alichanganya mawazo yake mwenyewe ya kikafiri kafiri na ya Yesu kuwa na maisha mapya kwamba ni malipo yake kwa mema yake, pamoja na imani ya Kiyahudi ya kuwajibika mapatano na Yehova (Mungu) na agano la pili.

Kwa hivyo Paulo akafunza kuwa ndiyo haya khasa yaliyokuwa ni kazi ya Yesu, na hicho ndicho cheo chake machoni mwa Mungu: kafara ya nafsi yake kwa utakatifu wake na kutokuwa na dhambi kwake ili afutie kwa pamoja makosa ya wote."

Ikiwa basi msingi wa hadithi nzima ya kufufuka Yesu hadi ya ubora wake ni kuwa ni ya shaka shaka - licha ya kuwa ni wazi kuwa ni ya uwongo - hapana njia ya kuamini ya Kuwa Yesu wakati wo wote katika historia aliwahi kuamrisha watu "Enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu," kwa sababu haya hakuyasema ila baada ya huko kunakoambiwa ni kufufuka.


Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na The British and Foreign Bible Society 1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asili.

Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.


Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.

Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.

Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asili yo yote ya kweli.
 
Yesu mwenyewe anawambia wanafunzi wake.

(Mathew 28:19.)

Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho mtakatifu.

(Mark 16:15).

Akawaambia enendeni ULIMWENGUNI mwote mkaihubiri INJILI Kwa Kila kiumbe.

Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa.

Ndugu GAVANA, unaendeshwa na Roho ya Mpinga kristo.

TUBU, usipotubu utahukumiwa.

Amen


The Shem Tov Hebrew Matthew Gospel is a manuscript that was preserved by the Jews from the earlier centuries. In the Shem Tov manuscripts, the text at Matthew 28: 19 does not contain the Trinitarian formula for baptism.

The Bible Catechism: Meaning for Man’s Existence: The New Revised Vatican 11 Bible and Life Today Edition, the Catholic Church declares that the baptismal formula changed from the name of Jesus to the name of the Father, the Son and the Holy Ghost in the fourth century. In the first 300 years Christians were baptised in the name of Jesus.

James Moffett’s New Testament translation, footnote on page 64 in regards to Matthew 28: 19, reads: “It maybe that this formula, so far as the fullness of expression is concerned, is a reflection of the liturgical usage established later in the primitive community. It will be remembered that acts speaks of baptising in Jesus’s name Acts 1: 5”.

New Revised Standard Version in regards to Matthew 28: 19 states: “Modern critics claim this formula is falsely ascribed to Jesus and it represents later church tradition…”

According to Dr Peake in his Bible Commentary, 1919 page 723, “The command to baptise into the three fold name is a late doctrinal expansion…”

According to the Catholic Encyclopedia 11, page 263 “The baptismal formula was changed from the name of Jesus Christ to the words Father, Son and Holy Spirit…”. This is confirmed by the Catholic University of America in Washington D.C in 1923 in its New Testament studies number 5.

The Tyndale New Testament Commentary 1 on page 275 in regards to Matthew 28: 19 reads: “It is often affirmed that the words of Jesus in the name of the Father, and the Son, and of the Holy Ghost are not the Ipisissima Verba (exact words) of Jesus, but a later liturgical addition”.

The above leaves us in no doubt that there is an ongoing controversy regarding the correctness of Matthew 28: 19.

Did Jesus actually utter these words? Or was it something that scribes translating the Bible wittingly or unwittingly inserted in Matthew 28: 19? The blame is placed on Catholic translators, scribes and even early Church fathers.
 
Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15.

Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?

Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.

La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu.

Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.
Mpinga kristo wewe.

Unatumia akili zako za kuvukia Barabara kufungua codes za Mbinguni.

Unaongozwa na Ibilisi kupindisha maandiko.
 
The Shem Tov Hebrew Matthew Gospel is a manuscript that was preserved by the Jews from the earlier centuries. In the Shem Tov manuscripts, the text at Matthew 28: 19 does not contain the Trinitarian formula for baptism.

The Bible Catechism: Meaning for Man’s Existence: The New Revised Vatican 11 Bible and Life Today Edition, the Catholic Church declares that the baptismal formula changed from the name of Jesus to the name of the Father, the Son and the Holy Ghost in the fourth century. In the first 300 years Christians were baptised in the name of Jesus.

James Moffett’s New Testament translation, footnote on page 64 in regards to Matthew 28: 19, reads: “It maybe that this formula, so far as the fullness of expression is concerned, is a reflection of the liturgical usage established later in the primitive community. It will be remembered that acts speaks of baptising in Jesus’s name Acts 1: 5”.

New Revised Standard Version in regards to Matthew 28: 19 states: “Modern critics claim this formula is falsely ascribed to Jesus and it represents later church tradition…”

According to Dr Peake in his Bible Commentary, 1919 page 723, “The command to baptise into the three fold name is a late doctrinal expansion…”

According to the Catholic Encyclopedia 11, page 263 “The baptismal formula was changed from the name of Jesus Christ to the words Father, Son and Holy Spirit…”. This is confirmed by the Catholic University of America in Washington D.C in 1923 in its New Testament studies number 5.

The Tyndale New Testament Commentary 1 on page 275 in regards to Matthew 28: 19 reads: “It is often affirmed that the words of Jesus in the name of the Father, and the Son, and of the Holy Ghost are not the Ipisissima Verba (exact words) of Jesus, but a later liturgical addition”.

The above leaves us in no doubt that there is an ongoing controversy regarding the correctness of Matthew 28: 19.

Did Jesus actually utter these words? Or was it something that scribes translating the Bible wittingly or unwittingly inserted in Matthew 28: 19? The blame is placed on Catholic translators, scribes and even early Church fathers.
Mafarisayo na waandishi walitumia HEKIMA hiyo hiyo unayoitimia na wakamkataa Yesu na kumuua.

Alipofifuka wakaeneza uongo kuwa hakufufuka.

ROHO ya Mpinga Kristo inafanya KAZI ndani Yako.
 
Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.

William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo Harper's Bible Commentary anasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.

Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."


Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:


Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko; na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Thenashara; baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala; badaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8


Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.

Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.

Hivyo ndivyo tunavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
Amesema Craveri katika Maisha ya Yesu(The Life of Jesus )

"Paulo alijihakikishia mwenyewe kuwa ijapokuwa Yesu ni kweli alikufa, lazima awe amefufuka, akiuwacha mwili wake wa kidunia nyuma ili avae mwili wa 'kiroho'.

Paulo alichanganya mawazo yake mwenyewe ya kikafiri kafiri na ya Yesu kuwa na maisha mapya kwamba ni malipo yake kwa mema yake, pamoja na imani ya Kiyahudi ya kuwajibika mapatano na Yehova (Mungu) na agano la pili.

Kwa hivyo Paulo akafunza kuwa ndiyo haya khasa yaliyokuwa ni kazi ya Yesu, na hicho ndicho cheo chake machoni mwa Mungu: kafara ya nafsi yake kwa utakatifu wake na kutokuwa na dhambi kwake ili afutie kwa pamoja makosa ya wote."

Ikiwa basi msingi wa hadithi nzima ya kufufuka Yesu hadi ya ubora wake ni kuwa ni ya shaka shaka - licha ya kuwa ni wazi kuwa ni ya uwongo - hapana njia ya kuamini ya Kuwa Yesu wakati wo wote katika historia aliwahi kuamrisha watu "Enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu," kwa sababu haya hakuyasema ila baada ya huko kunakoambiwa ni kufufuka.


Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na The British and Foreign Bible Society 1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asili.

Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.


Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.

Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.

Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asili yo yote ya kweli.
Huna unalolijua.

Ilipoandikwa:

Enendeni mkabatize Kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu haikumaanisha utatu.

Jina la Baba ni lipi?

Jina la Mwana ni lipi?

Jina la Roho mtakatifu ni lipi?

Mlio mwilini ndo mnadhani Kuna tofauti.

Jina la Baba, ndilo la Mwana na ndilo la Roho mtakatifu.

Jina ni la YESU kristo. Yesu ndilo JINA la Mungu.

Ndilo JINA tulopewa WANADAMU lenye Kuokoa.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Mpinga kristo wewe.

Unatumia akili zako za kuvukia Barabara kufungua codes za Mbinguni.

Unaongozwa na Ibilisi kupindisha maandiko.


Basi hata kunionyesha nilikosea wapi ?? Twende kidogo kidogo

Mimi sijaandika biblia mpya
 
Mafarisayo na waandishi walitumia HEKIMA hiyo hiyo unayoitimia na wakamkataa Yesu na kumuua.

Alipofifuka wakaeneza uongo kuwa hakufufuka.

ROHO ya Mpinga Kristo inafanya KAZI ndani Yako.



 
Basi hata kunionyesha nilikosea wapi ?? Twende kidogo kidogo


(Kumbukumbu la Torati 4:2).

Msiliongeze neno niwaamurulo Wala msilipunguze, mpate kuzishikabAmri za BWANA, Mungu wenu niwaamuruzo.

(Ufunuo wa Yohana 22:19).

Na mtu yeyote akiondoa lo kote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwomdolea sehemu yake katika Ule mti wa Uzima, na katika Ule mji MTAKATIFU, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.

Unamuelezea Yesu aliyeandikwa katika BIBLIA na unaopingana na BIBLIA hiyo hiyo iliyoandika kuhusu kufufuka Kwa Yesu.

ROHO iliyo nyuma ya kupinga kufufuka Kwa Yesu ni ROHO ya Mpinga kristo. ROHO ya Masonry, Roho ya shetani.

Baba yenu ni Ibilisi Yuko Kuzimu makaonya wafu.

Yesu ninayemwamini Mimi Yu hai, Amefufuka na anaishi ndani yangu kupitia Roho wake MTAKATIFU.

Amen.
 

I was Right.

Najadiliana na muabudu nyota na mwezi, na muungu mke Diana.

Uko gerezani, Aliyeanzisha katolicano ndo huyo huyo Aliyeanzisha Uislamini,

Amewachanganyia mafile mnafakamia bila kujua.

Viongozi wenu wameshaungana na huyo Aliyeanzisha dini zote.

Ni kwenu sasa kuamua mtoke huko au mje huku tulipo.

BIBLIA imeandikwa feki na Kitabu chenu vitaunganishwa na kitakuwa kitabu kimoja, mtaabudu siku moja na DINI moja, dini ya shetani.

USHOGA utahalalishwa, UOVU wote, utoaki mimba, mauaji yataruhusiwa nabibada za sanamu.

Tunza sana ulicho nacho, mwovu asijekunyanganya.
 
I was Right.

Najadiliana na muabudu nyota na mwezi, na muungu mke Diana.

Uko gerezani, Aliyeanzisha katolicano ndo huyo huyo Aliyeanzisha Uislamini,

Amewachanganyia mafile mnafakamia bila kujua.

Viongozi wenu wameshaungana na huyo Aliyeanzisha dini zote.

Ni kwenu sasa kuamua mtoke huko au mje huku tulipo.

BIBLIA imeandikwa feki na Kitabu chenu vitaunganishwa na kitakuwa kitabu kimoja, mtaabudu siku moja na DINI moja, dini ya shetani.

USHOGA utahalalishwa, UOVU wote, utoaki mimba, mauaji yataruhusiwa nabibada za sanamu.

Tunza sana ulicho nacho, mwovu asijekunyanganya.
Yani ulikua mkiristo mara umehama sasa huna dini au mimi ndio sijaelewa hii post yako ya sasa?
 
Yani ulikua mkiristo mara umehama sasa huna dini au mimi ndio sijaelewa hii post yako ya sasa?
Nina IMANI katika KRISTO Yesu.

Mimi Sina Imani ktk DINI zilizosajiliwa Kwa KAISARI.

Dini zote zilizosajiliwa Kwa KAISARI za kikristo na islame zimefungwa na kuwekewa limits,

Wamepewa MARUFUKU kumkemea KAISARI juu ya DHAMBI ndo maana utaona Leo ametoka Mwakyembe kudai alikuwa alijua Serikali ya US ilikuwa imeanzisha taasisi zinazopokea billions of money kufadhili USHOGA Nchi nzima.

Dini zote uzijuazo ziliufyata kuinyooshea kidole sirikali kuogopa kufutiwa usajili.

Yesu hakuja Duniani kuanzisha Dini Ili zisajiliwe kwenye taasisi za KAISARI.

Yesu alikuja Duniani kuhubiri Habari njema za ufalme wa Mungu,

Alikuja kukemea UOVU na USHETANI na alifanya KAZI hiyo Hadi akauwawa na mamlaka hizo hizo.

Leo unaona Eti Kuna urafiki kati ya KAISARI na DINI, unatoka wapi urafiki huo?

Urafiki huo upo sababu wanafichiana maovu,

KAISARI anawanyonya watu kwa Kodi na DINI zinawakamua watu sadaka while wanawaacha Yatima, wajane na maskini kuongezeka.

DINI ya Kweli ni kukemea RUSHWA waziwazi, kuwapa chakula wajane na yatima, kusaidia wasiojiweza na kuwatisha watu kukataa dhambi Kwa JINA la YESU.

Muda ndio huu, DINI zote zitakuwa chini ya shetani, bt Wenye Imani katika KRISTO Yesu watakusanyika Dunia nzima.

INJILI ya Ufalme wa Mungu duniani ya wenye IMANI katika Mungu, KRISTO Yesu watakusanyikia Tanzania na kutapakaa Dunia nzima wakihubiri INJILI ya siku za mwisho.

Baada ya INJILI hiyo kuhubiriwa, DINI moja itajikusanya Ili iwaue wenye Imani juu ya Mungu, YESU kristo na UNYAKUO utatokea Kwa WATAKATIFU.

Bt kabla ya unyakuo, patakuwepo madhabahu ya Mungu Tanzania.

Mfalme wa WAFALME atatawala watu wake waliokusanyika Kutoka Duniani kote. Na Tanzania pekee ndo itakuwa na Amani wakati Dunia nzima ikipitia vita na majanga mbalimbali.

Israel ni Nchi ya AHADI.

Tanzania, NYIKANI ni Taifa la AGANO.

Asomaye na Afahamu.

Ameen.
 
Nina IMANI katika KRISTO Yesu.

Mimi Sina Imani ktk DINI zilizosajiliwa Kwa KAISARI.

Dini zote zilizosajiliwa Kwa KAISARI za kikristo na islame zimefungwa na kuwekewa limits,

Wamepewa MARUFUKU kumkemea KAISARI juu ya DHAMBI ndo maana utaona Leo ametoka Mwakyembe kudai alikuwa alijua Serikali ya US ilikuwa imeanzisha taasisi zinazopokea billions of money kufadhili USHOGA Nchi nzima.

Dini zote uzijuazo ziliufyata kuinyooshea kidole sirikali kuogopa kufutiwa usajili.

Yesu hakuja Duniani kuanzisha Dini Ili zisajiliwe kwenye taasisi za KAISARI.

Yesu alikuja Duniani kuhubiri Habari njema za ufalme wa Mungu,

Alikuja kukemea UOVU na USHETANI na alifanya KAZI hiyo Hadi akauwawa na mamlaka hizo hizo.

Leo unaona Eti Kuna urafiki kati ya KAISARI na DINI, unatoka wapi urafiki huo?

Urafiki huo upo sababu wanafichiana maovu,

KAISARI anawanyonya watu kwa Kodi na DINI zinawakamua watu sadaka while wanawaacha Yatima, wajane na maskini kuongezeka.

DINI ya Kweli ni kukemea RUSHWA waziwazi, kuwapa chakula wajane na yatima, kusaidia wasiojiweza na kuwatisha watu kukataa dhambi Kwa JINA la YESU.

Muda ndio huu, DINI zote zitakuwa chini ya shetani, bt Wenye Imani katika KRISTO Yesu watakusanyika Dunia nzima.

INJILI ya Ufalme wa Mungu duniani ya wenye IMANI katika Mungu, KRISTO Yesu watakusanyikia Tanzania na kutapakaa Dunia nzima wakihubiri INJILI ya siku za mwisho.

Baada ya INJILI hiyo kuhubiriwa, DINI moja itajikusanya Ili iwaue wenye Imani juu ya Mungu, YESU kristo na UNYAKUO utatokea Kwa WATAKATIFU.

Bt kabla ya unyakuo, patakuwepo madhabahu ya Mungu Tanzania.

Mfalme wa WAFALME atatawala watu wake waliokusanyika Kutoka Duniani kote. Na Tanzania pekee ndo itakuwa na Amani wakati Dunia nzima ikipitia vita na majanga mbalimbali.

Asomaye na Afahamu.

Ameen.
Maelezo mengi lakini hayana mantiki maana inaonesha hata swali hukulielewa vizuri.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam wakati huo ni kipenzi cha JPM Paul Makonda na of-course rais wa nchi ni yule mchukia mabeberu hayati JPM mwaka 2018 hiyo statement ilitolewa kuwa mashoga wana haki zao na ziheshimiwe kama ilivyo kwenye makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Watu weuweeeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walawi 20.13 kinasema Basha na Shoga wote wauawe wote wawili anayefanya na anayefanyiwa

Sisi Wakristo Tunamatatizo sana ninampango mbeleni nisipokuwa Othodox church [emoji547]️ nitakuwa Huko naona huko wanakwenda na Asili ya mafunzo ya Dini
Nenda hata sahivi, kwan nani anajarii wee vipiii khaaaah
 
Back
Top Bottom