Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia ,Kwa kutumia akili zako finyu na kutumia BIBLIA hakukupi uwezo wa kufungua codes zake.
Mafarisayo na waandishi, waliquote maandiko zaidi Yako na hawakuelewa Siri za Mungu.
BIBLIA nzima Mwanzo Hadi Ufunuo zinaeleza habari za YESU.
Wewe kama huamini Kufa na kufufuka Kwa Yesu na kupaa Mbinguni na kumtokea Paulo live akiwa ktk form ya Mungu anayengara zaidi ya Jua,
Wewe ni Mpinga kristo.
Msubirini Masih Jadal ajitambulishe ndo mtamuamini.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
ROHO ya Mpinga kristo Iko kazini.Toleo la pili la tafsiri ya Agano Jipya (1971) limefaidika kwa tafiti za matini na isimu tangu lilipotolewa toleo la The Rivised Standard Version, kwanza lilitolewa mwaka 1946.
Kwa hiyo, baadhi ya vifungu vilivyofutwa zamani viliandikwa upya, na baadhi ya vifungu vilivyokubaliwa vilifutwa.
"Vifungu viwili, vya mwisho mrefu wa Marko (16:9-20) na kifungu cha mwanamke aliyekamatwa kwa uzinzi (Yohana
7:53 – 8:11), vilirejeshwa katika matini, zikitenganishwa kwa nafasi wazi na zikiambatana na nukuu za kauli taarifa...
Kukiwa na kuungwa mkono na miswada miwili, vifungu viwili, Luka 22:19b-20 na 24:51b, vilirejeshwa katika matini, na kifungu kimoja, Luka 22:43-44, kiliwekwa katika tanbihi, kama ni ibara katika Luka 12:39
Kibabe yaani 😂😂😂Case kwishaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sahihiKuwa shoga hakumuondolei mtu ubinadamu na haki zake. Hii mihemko ya kishambashamba haisaidii lolote.
ROHO ya Mpinga kristo Iko kazini.
Kama huamini juu ya kufufuka Kwa Yesu na kupaa Mbinguni, Unyakuo wa WATAKATIFU na kurudi Kwa Yesu kama Mungu mfalme mara ya pili kuuhukumu Ulimwengu juu ya DHAMBI,
U Mpinga kristo.
Mpinga kristo wewe.Niite unavyopenda lakini ukweli ndio huu , TRUTH WILL SET YOU FREE
Mt Paulo katika barua yake ya kwanza kuwapelekea Wakorintho aliandika:
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.
1 Wakorintho 15.15
Juu ya kuwa Paulo anaambiwa ya kuwa akiamini kuwa Masihi (yaani Kristo) na Mwenyezi Mungu ni kitu kimoja hapa anasema:
"Tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo."
Ikiwa Mungu kamfufua Kristo, hawawezi kuwa wote wawili hao ni mtu mmoja.
Mmoja alikuwa ni mtenda, mfufuaji, na wa pili alikuwa ni mtendwa, mfufuliwa.
Kama Kristo ni Mungu mwenye uwezo wa kufufua basi maelekeo ni kusema: "Kristo kajifufua", sio kafufuliwa. Mwenye kufufuliwa ni mfu asiyejiweza kitu.
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:
Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56
Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
Luka 22.42-43
Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu? Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa? Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:
- Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
- Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
- Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Baba ni mkuu kuliko mimi.
Yohana 14.28
Na mwishoni naye yupo mslabani:
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha?
Mathayo 27.46
Yafaa hapa tujiulize: Yesu akimlilia Mungu gani hapo msalabani ikiwa naye mwenyewe ni Mungu?
Au nini alikusudia aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"?
Maneno hayo kama yanaonyesha cho chote basi yanaonyesha unyenyekevu wa Yesu mbele ya Mungu wake.
La kustaajabisha ni kule kukata tamaa kwake na kuvunjika moyo. Huwaje mtu wa imani, licha ya nabii na mwana pekee wa Mungu, akate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu.
Ama kuwa Mungu akate tamaa na Mungu, na kumyayatikia: "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha", ni jambo ambalo halimkiniki kuwa.
Kwa uthibitisho ulio wazi Biblia inatwambia kuwa Yesu si Mungu, wala Mungu si Yesu.
Mpinga kristo wewe.
Unamtumikia baba Yako Ibilisi,
Baba wa uongo. Yesu Amefufuka, anaishi ndani Yetu kupitia Roho wake MTAKATIFU.
Yesu ni Mungu wa Walio hai, ALIUTOA uhai wake na kuruudisha Tena KTK Mwili maana HAPANA mtu angeweza kumuua Mungu.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Yesu aliwasomea Makuhani na waandishi TORATI hiyo hiyo na kuwaambia maandiko haya yametimia Leo, kuwa Mimi ndiye KRISTO Messiah.Mbona huweki ushahidi wa aya, unanipakazia tu?
Yesu aliwasomea Makuhani na waandishi TORATI hiyo hiyo na kuwaambia maandiko haya yametimia Leo, kuwa Mimi ndiye KRISTO Messiah.
Walivyomwangalia na kusema kristo Gani awe maskini wakaokota mawe wampige.
So kama Mungu mwenyewe Yesu Kristo alitoka Mbinguni akavaa mwili na watumishi wa Mungu wakati Ule hawakumkubali, iweje wewe mwana wa kuasi uelewe kirahisi?
MAPEPO, wachawi, na baba Yako Ibilisi wanamjua Yesu ni Mungu bt hawamwamini, hivyo hawatokubali nawe uijue Siri hiyo.
Maandiko unayoquote ni ya upande mmoja na ni Kweli sababu yanamweleza Yesu kama mwanadamu sababu alijishusha na kuwa kama mwanadamu.
Bt baba wa kimwili wa YESU Si Yusuph, Mary analijua Siri hiyo,
Nabii, Isaya alisema Siri hiyo pia kuwa, Tazama bikra atachukua mimba na atazaa mwana.
Mungu kuvaa mwili mashetani mnapinga kuwa Haiwezekani,
Bt shetani kuja ktk mwili Kila siku mnaona, anazaliwa mtoto mama anakutana na shetani ndotoni na anazaa mtoto nusu mtu nusu shetani, mnayaona hayo Kila mara ktk JAMII.
Bt Eti hamuamini kuwa Mungu anaweza kuja ktk mwili wa mwanadamu.
Uzao wa NYOKA ninyi, mnayajua ya chini, bt uweza wa Mungu ni juu ya yote, Hana mipaka.
Yote niliyoandika yamo katika BIBLIA hiyo hiyo unayoquote, ukipunguza na kuongeza maandiko utakavyo ukiongozwa na Roho ya Mpinga kristo, kujenga HOJA ya kumkataa Yesu na kufufuka kwake.Maelezo yako umeyatoa kitabu kipi ? Aya ipi ?
Well done.Wenzetu Uganda wananchi wameshaanza kuwasaka mashoga nyumba kwa nyumba.
View attachment 2569702
Askofu mjinga sana wewe.Well done.
Kuna wakati vichaa waliopata ukichaa Kwa bangi nk nk, walikuwa wanafungwa ktk miti, wanacharazwa mboko Hadi ukichaa unatoka,
Bt haikuwa ktk aina zote za ukichaa zizizotoka Kwa fimbo.
Bt ukichaa wa mtu kuamua kuwa shoga, akitandikwa ipasavyo viboko, ni hatua nzuri awali kuikomesha UOVU huo.
Akishatandikwa ndo mnatuletea tumuombeee, itasaidia sana.
Hizo HAKI za binafamu ndizo zimesababisha watoto Ulaya hawatandikwi viboko mashuleni, matokeo yake wanaiba bunduki za wazazi na kwenda kuua walimu wao.Askofu mjinga sana wewe.
Ushogaa umetagia na kukua huko kwa waislamu.Nafurahi sana nikiona mjadala mkubwa unaohusu ushoga leo hii imekuwa hoja ya kabisa.
Zamani wakristo wengi hapa kwetu walitumia nguvu kubwa kuaminisha jamii kuwa tatizo la ushoga ni la waarabu hivyo ni la Waislamu,lakini baada ya kanisa huko kwa wakubwa zao kubariki ushoga kimsingi wanakosa hoja na wakiona nchi ya Qatar, nchi ya kiarabu na kiisilamu ilivyopambana kuzuia ushoga ktk nchi yao wanaona haya wanabaki kupindisha maneno baada ya kubainika nani anaetaka ushoga duniani na dini gani inaupigia chapuo.
Sisi waafrika tuweke misimamo ya wazungu pembeni kwetu sisi hata waje watu waseme nini bado ushoga si utamaduni wetu tuukatae tuupige vita kabla hali haijawa mbaya zaidi ambayo itapunguza uwezo wetu wa kuzaana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibabe yaani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] sawa askofu.Hizo HAKI za binafamu ndizo zimesababisha watoto Ulaya hawatandikwi viboko mashuleni, matokeo yake wanaiba bunduki za wazazi na kwenda kuua walimu wao.
Serikali za mitaa Hadi miaka ya 1995 zilikuwa zinaruhusu ADHABU ya viboko Kwa watukutu kama mnaowaita PANYA road na wanaojifunza ujambazi.
Mtu anatandikwa hadharani mbele ya mamaake, mke nk na anapewa ADHABU Kali. Hauwawi,
Na hii ilisaidia sana kupunguza kujaa Kwa magereza.
Shoga na wafiraji kama wewe BICHWA wakitandikwa hadharani hawatorudia UOVU huo.
BICHWA kama unatenda UOVU kuingilia wanaume nyuma ya maumbile viboko ukitandikwa hadharani ni sawa kabisa.
Yote niliyoandika yamo katika BIBLIA hiyo hiyo unayoquote, ukipunguza na kuongeza maandiko utakavyo ukiongozwa na Roho ya Mpinga kristo, kujenga HOJA ya kumkataa Yesu na kufufuka kwake.
Siwezi kubishana nawe sababu unatumia akili Yako ya kibinadamu kufungua codes za BIBLIA ambazo ni za kiroho.
Ili uelewe NENO lililo katika BIBLIA, shart kwanza umwamini NENO, ambaye ndiye Mwana wa Mungu ktk mwili wa YESU kristo.
Bt sitodiriki kuanzisha ligi na Mpinga kristo,
Shetani ambaye ni baba Yako, anayajua sana BIBLIA na alimsomea Yesu vifungu vya BIBLIA hii hii Ili kujinufaisha binafsi Ili kumjaribu.
So upumbavu ni kudhani unaweza kumchunguza Na kumjua Mungu aliyeandikwa kwanye BIBLIA Kwa AKILI zako za Theology za kibinadamu bila msaada wa Roho mtakatifu.