Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Walawi ni agano la kale au jipya?
Agano jipya tunafundishwa zaidi kumwachia Mungu, hatujawahi kupewa mamlaka ya kuua.

Halafu tatizo mabasha hawajulikani kivile, mnawaonea tu mashoga wanaoingiliwa. Mtoto amekuwa abused tangu mdogo na ndugu yake, kiongozi wa dini, mwalimu...akiwa mkubwa umuonee kwa kutaka kumuua huoni kama unakosea? Basi watenda dhambi wote wauwawe kwanini tukomae na washoga peke yao?
Unafikii unawasumbuaa tyuuh hawa watu, khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijawahi kuona jambazi akijinadi kwamba kavamia sehemu kaiba na kuua. Ila hakika ruben kasema wazi kwamba anafukuliwa na basha wake kamtaja lakini anadunda tu.
Ndo utambue kwamba hawa watu wana kinga ya juu kabisa kupigizana nao kelele ni kupoteza muda.
Kila mtu apambane na malezi ya watoto wake.
Ongezaaaa sautiiii dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kifungu cha154 Cha kanuni ya adhabu kinaeleza wazi juu ya kosa Hilo hatuhitaji kutunga sheria ndiyo maana Mtwara wiki iliyopita Mtu kala Mvua 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnadanganyikaaa nyie, na mnakubaliii lol.
 
Nachukia sana ushoga ila kuua hapana wana hali ya kuwa na amani pia.ila akishiriki kushawishi wengine hususan watoto sio tu auawe achinjwe
Ndo na mie huwa nasimamia hapaaa, shogaa akisumbua watu kutaka mahusiano nae na hawataki ashughurukiwe, kuna mashoga hawana shobo na mtu, wako buzzy na life lao. Sasa wauawe kisa nn?? Lol
 
Hawa watu wanaongea kisiasa saan. Hajaulizwa kama shoga anatakiwa kuuawa. Ameulizwa habari ama vitendo vya kishoga hapo maana yake ameunga mkono ushoga. Hakuna nchi dunia nzima inayokubali mtu auawe kwa vile ni shoga. Wanachopigania wazungu ni kwamba ushoga utambuliwe na vitendo hivi vifanyike hadharan yaan waruhusiwe kufunga ndoa, kuonekana hadharan km mke na mme
Ndyooo wamechoka uchumba sugu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waache waoaneee
 
Mnaacha kuhangaika na wezi serikalini mhangaika na mtu mmojammoja,mi hata nimuone shoga yule pale ,sinto thubutu kumfanya lolote,maana hana madhara kwangu,ni yeye na family yake na mungu wake,kama anachofanya ni chukizo sana ,ni kazi ya mungu kumuua siyo mimi,kumuua ni kumfanya mungu aliyemuacha kuwa hana akili zaidi yako,sitaki kuingilia kazi za mungu,mimi mwenyewe nina madhambi yangu pia na siyo msafi,usiniambie kuwa dhambi ya ushoga ni kubwa kuliko dhambi ya uaji
Wanafiki hawataki kusikia hili. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo muandishi wa habari ana uwezo mdogo wakumuhoji Rema na ameonekan directly kama amehoja jambo kwa mzuka fulan ndio maan amekosa specific answer
 
Inaozaje? Are you damn Serious?

Kwenye jamii kuna watoto, watoto ambao hawajui wao wanatakiwa kuwa nani na kufanya nini njia pekee ya kugundua hayo ni kupitia kuangalia na kujifunza kwa kuiga kutoka kwa watu wazima, watu wazima hao wakiwemo mafala wanaoachwa huru mitaani bila kufanywa chochote kukomesha tabia mbovu.

Tumia SIMPLE LOGIC.
Wee Una wazimu nn? Hao watoto wako jukumu ni lako kulea, sasa watu wa mtaani inahusu nn hapaa??
 
Ndo maana nimesema, suluhisho ni kufirana chumbani ili watoto wasione.

La pili ni kwamba, serikali haiwezi kutunga sheria ya kuwapangia watu mavazi ya kuvaa.

Ukiona dume limevaa sketi fumba macho jifiche ili usione.

Hakikisha pia watoto wako wa kiume hawavai sketi au magauni.
Case kwishaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I was Right.

Najadiliana na muabudu nyota na mwezi, na muungu mke Diana.

Uko gerezani, Aliyeanzisha katolicano ndo huyo huyo Aliyeanzisha Uislamini,

Amewachanganyia mafile mnafakamia bila kujua.

Viongozi wenu wameshaungana na huyo Aliyeanzisha dini zote.

Ni kwenu sasa kuamua mtoke huko au mje huku tulipo.

BIBLIA imeandikwa feki na Kitabu chenu vitaunganishwa na kitakuwa kitabu kimoja, mtaabudu siku moja na DINI moja, dini ya shetani.

USHOGA utahalalishwa, UOVU wote, utoaki mimba, mauaji yataruhusiwa nabibada za sanamu.

Tunza sana ulicho nacho, mwovu asijekunyanganya.

Mbona kila wakati unashindwa kuweka ushahidi wa hayo maneno yako ??

Usiwe mkali hivyo , mimi nakuwekea kila kitu kwa ushahidi

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi ndio kabisa Paulo anaiangamiza sharia ya Mungu na kufanya vitendo kuwa havina maana yo yote.Chenye maana peke yake ni imani tu.


Basi, twaona ya kuwa wanadamu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.

Warumi 3.28

Kwa Paulo kuamini kuwa Yesu kafa msalabani na damu yake kuwa ni fidia kwa dhambi zetu ndio kwenye maana, sio kufuata sharia wala vitendo.

Kwake yeye ile Taurati, ambayo Yesu mwenyewe hakuja kuitengua bali kaja makusudi kuitimiza, ni kifungo na pingamizi.

Anawaambia Warumi:

Bali sasa tumefunguliwa katika torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani, ya andiko.


Warumi 7.6

Paulo anaiona Taurati ni kifungo, pingamizi, bali ni laana.

Hayo sio maoni ya Yesu ambaye amesema:

"Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka."

Je, kwa kuingia Paulo katika umoja wa Kikristo ndio tusema mbingu na nchi zimeondoka?

Au kwa kutundikwa Yesu msalabani (ikiwa kweli katundikwa) ndio tuseme mbingu na nchi zimeondoka?

Mbona mumeyasahau upesi maneno ya Yesu mwenyewe, na kuyasikiliza ya Paulo?

Kwa sababu yanakubaliana na matamanio yenu?
 
Yote alivyosema Yesu ni sahihi.

Yote alivyosema Paulo na mitume wengine ni sahihi na Kweli.

Uelewa wako ndio finyu. BIBLIA ni Moja, kuanzia mwanzo Hadi ufunuo ni NENO la Mungu na limethibitika na halipingani.

Yesu alikuja na kufufuka na alipaa Mbinguni alikokuwako mwanzo kabla ya kuvaa mwili.

Hayupo mwanadamu, Pepo au masonry wa kupunguza Wala kuliongeza neno la Mungu.

Andikeni kitabu chenu Cha kishetani Kwa USHETANI wenu lakini NENO la Mungu litabaki vile vile.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Mpinga kristo wewe.

Unatumia akili zako za kuvukia Barabara kufungua codes za Mbinguni.

Unaongozwa na Ibilisi kupindisha maandiko.


Nimepindisha wapi maandiko ?? Mbona husemi kitu ?? Kwa kukuwekea aya za biblia nimekuwa Mpinga Kristo ??


Kuna vifungu vingi katika Agano Jipya vinavyokana uunguwa Yesu. Kwa nfano, katika Mathayo 19:17, Yesu alimjibu yule
aliyemtambulisha yeye kama ni “Mwalimu mwema” kwa kusema

“Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja...” Kama Yesu amekataa kuitwa “mwema”
na ameeleza kuwa ni mungu pekee ndiye aliyemwema wa kweli, naye kwa uwazi kabisa ameashiria kuwa yeye si Mungu.

Katika Yohana 14:28, yesu alikuwa anasema:

“Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahia kwa sababu naenda kwa Baba; kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.”

Kwa kusema “Baba” ni mkuu kuliko yeye, Yesu amejitenganisha na Mungu.

Pia katika Yohana 20:17, Yesu alimwambia Mariam Magdalene awaambie wafuasi zake:

"Yesu akawaambia, Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”

Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Baba yangu na Baba yenu”amesisitiza zaidi, tofauti yake na Mungu.

Zaidi ya hayo, Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Mungu wake”, hakutoa nafasi kwa yoyote kudai kiujanja ujanja kuwa Yeye Yesu ndiye Mungu.

Ingawa katika baadhi ya maandiko ya Paulo, yaliyochukuliwa na kanisa kuwa ni matakatifu, Yesu anaonyeshwa kuwa ni “mtu” ametofautiana na kutengana na Mungu.

Katika 1 Timotheo 2:5, Paulo anaandika

“Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu.”
 
Nafurahi sana nikiona mjadala mkubwa unaohusu ushoga leo hii imekuwa hoja ya kabisa.
Zamani wakristo wengi hapa kwetu walitumia nguvu kubwa kuaminisha jamii kuwa tatizo la ushoga ni la waarabu hivyo ni la Waislamu,lakini baada ya kanisa huko kwa wakubwa zao kubariki ushoga kimsingi wanakosa hoja na wakiona nchi ya Qatar, nchi ya kiarabu na kiisilamu ilivyopambana kuzuia ushoga ktk nchi yao wanaona haya wanabaki kupindisha maneno baada ya kubainika nani anaetaka ushoga duniani na dini gani inaupigia chapuo.
Sisi waafrika tuweke misimamo ya wazungu pembeni kwetu sisi hata waje watu waseme nini bado ushoga si utamaduni wetu tuukatae tuupige vita kabla hali haijawa mbaya zaidi ambayo itapunguza uwezo wetu wa kuzaana.
 
Nimepindisha wapi maandiko ?? Mbona husemi kitu ?? Kwa kukuwekea aya za biblia nimekuwa Mpinga Kristo ??


Kuna vifungu vingi katika Agano Jipya vinavyokana uunguwa Yesu. Kwa nfano, katika Mathayo 19:17, Yesu alimjibu yule
aliyemtambulisha yeye kama ni “Mwalimu mwema” kwa kusema

“Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja...” Kama Yesu amekataa kuitwa “mwema”
na ameeleza kuwa ni mungu pekee ndiye aliyemwema wa kweli, naye kwa uwazi kabisa ameashiria kuwa yeye si Mungu.

Katika Yohana 14:28, yesu alikuwa anasema:

“Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahia kwa sababu naenda kwa Baba; kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.”

Kwa kusema “Baba” ni mkuu kuliko yeye, Yesu amejitenganisha na Mungu.

Pia katika Yohana 20:17, Yesu alimwambia Mariam Magdalene awaambie wafuasi zake:

"Yesu akawaambia, Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”

Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Baba yangu na Baba yenu”amesisitiza zaidi, tofauti yake na Mungu.

Zaidi ya hayo, Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Mungu wake”, hakutoa nafasi kwa yoyote kudai kiujanja ujanja kuwa Yeye Yesu ndiye Mungu.

Ingawa katika baadhi ya maandiko ya Paulo, yaliyochukuliwa na kanisa kuwa ni matakatifu, Yesu anaonyeshwa kuwa ni “mtu” ametofautiana na kutengana na Mungu.

Katika 1 Timotheo 2:5, Paulo anaandika

“Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu.”
Narudia ,Kwa kutumia akili zako finyu na kutumia BIBLIA hakukupi uwezo wa kufungua codes zake.

Mafarisayo na waandishi, waliquote maandiko zaidi Yako na hawakuelewa Siri za Mungu.

BIBLIA nzima Mwanzo Hadi Ufunuo zinaeleza habari za YESU.

Wewe kama huamini Kufa na kufufuka Kwa Yesu na kupaa Mbinguni na kumtokea Paulo live akiwa ktk form ya Mungu anayengara zaidi ya Jua,

Wewe ni Mpinga kristo.

Msubirini Masih Jadal ajitambulishe ndo mtamuamini.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Yote alivyosema Yesu ni sahihi.

Yote alivyosema Paulo na mitume wengine ni sahihi na Kweli.

Uelewa wako ndio finyu. BIBLIA ni Moja, kuanzia mwanzo Hadi ufunuo ni NENO la Mungu na limethibitika na halipingani.

Yesu alikuja na kufufuka na alipaa Mbinguni alikokuwako mwanzo kabla ya kuvaa mwili.

Hayupo mwanadamu, Pepo au masonry wa kupunguza Wala kuliongeza neno la Mungu.

Andikeni kitabu chenu Cha kishetani Kwa USHETANI wenu lakini NENO la Mungu litabaki vile vile.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.

Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa 1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611...

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza...

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo
kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo
lilichapishwa mwaka 1901."

Katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, idadi kubwa ya mistari muhimu kutoka katika Toleo la King James Version ya Agano la Kale na Jipya, ambayo wasomi waliiona kuwa imeongezwa katika karne za baadaye, iliondoshwa kutoka katika matini na kuwekwa katika tanbihi.

Kwa mfano, kifungu maarufu sana katika Injili ya Yohana 8:7 kinachohusu mzinzi aliyetakiwa kupigwa mawe.

Inasemakana Yesu amesema: "Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."

Tanbihi za Toleo la King Jemes (1952) zinaeleza "Mamlaka za kale mno zinaondosha aya za 7:53 – 8:11"

Kwa kuwa mswada namba 1209 wa Vatikani na mswada wa Sinaitic ya tangu karne ya nne haina aya kumi na
mbili hizo, wasomi wa Biblia wamefikia uamuzi wa kuwa maneno hayo hayatoki kwa Yesu.

Mfano mwingine ni kifungu kinachohusishwa na Yesu na kinachotumika kama ushahidi wa rejeo la Utatu katika Maandiko matakatifu.

Katika 1 Yohana 5:7, Inasemakana Yesu amesema: "Kuna watatu wanaoshuhudia huko mbinguni, Baba, Neno na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni mmoja"

Msomi maarufu sana wa Biblia, Benjamin Wilson, anaandika kuwa; maandiko haya yanayohusu "ushahidi wa mbinguni" hayamo katika mswada wowote wa Kigiriki ulioandikwa kabla ya karne ya kumi na tano! Kwa hiyo, katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, mstari huu umefutwa na kutolewa katika matini tena bila ya kuwekewa tanbihi.

Hata hivyo, ili kuwe na idadi ya mistari iliyosawa baina ya Toleo la Biblia la Revised Standard Version, na ile ya Toleo la Biblia la King James Version, warejeaji wameugawa mstari wa sita na kuwa mistari miwili.



REFERENCE;

The Holy Bible: Rivised Standard Version, p. iii-iv.
Ibid, p. iv.
Ibid, p. vi.
The Holy Bible: Rivised Standard Version, p. 96.
The Holy Bible: (King Jems Version
 
Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa 1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611...

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza...

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo
kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo
lilichapishwa mwaka 1901."

Katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, idadi kubwa ya mistari muhimu kutoka katika Toleo la King James Version ya Agano la Kale na Jipya, ambayo wasomi waliiona kuwa imeongezwa katika karne za baadaye, iliondoshwa kutoka katika matini na kuwekwa katika tanbihi.

Kwa mfano, kifungu maarufu sana katika Injili ya Yohana 8:7 kinachohusu mzinzi aliyetakiwa kupigwa mawe.

Inasemakana Yesu amesema: "Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."

Tanbihi za Toleo la King Jemes (1952) zinaeleza "Mamlaka za kale mno zinaondosha aya za 7:53 – 8:11"

Kwa kuwa mswada namba 1209 wa Vatikani na mswada wa Sinaitic ya tangu karne ya nne haina aya kumi na
mbili hizo, wasomi wa Biblia wamefikia uamuzi wa kuwa maneno hayo hayatoki kwa Yesu.

Mfano mwingine ni kifungu kinachohusishwa na Yesu na kinachotumika kama ushahidi wa rejeo la Utatu katika Maandiko matakatifu.

Katika 1 Yohana 5:7, Inasemakana Yesu amesema: "Kuna watatu wanaoshuhudia huko mbinguni, Baba, Neno na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni mmoja"

Msomi maarufu sana wa Biblia, Benjamin Wilson, anaandika kuwa; maandiko haya yanayohusu "ushahidi wa mbinguni" hayamo katika mswada wowote wa Kigiriki ulioandikwa kabla ya karne ya kumi na tano! Kwa hiyo, katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, mstari huu umefutwa na kutolewa katika matini tena bila ya kuwekewa tanbihi.

Hata hivyo, ili kuwe na idadi ya mistari iliyosawa baina ya Toleo la Biblia la Revised Standard Version, na ile ya Toleo la Biblia la King James Version, warejeaji wameugawa mstari wa sita na kuwa mistari miwili.
Nimesema subirini Popee awaletee kitabu chake Cha BIBLIA edited kitakachotumiwa na ninyi na DINI zote ndo mtakiamini.

Wana wa Uasi. Hata Yesu mafarisayo walimwuliza anatoka wapi na awape ushahidi.

Tunaye Roho mtakatifu ndani yetu anayelithibitisha NENO lake kuwa ni Kweli na HAKIKA.
 
Back
Top Bottom