Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Mbona unajichanganya unaposema Mungu ni roho , halafu unasema Yesu ni mungu.
Hivi uliwahi kuiona roho ?
MAJINI unayoswali nayo ni ROHO,

Kwani majini hayaonekani yakiamua kuonekana?

Anyway Mungu ni ROHO.

Mtu pia ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
MAJINI unayoswali nayo ni ROHO,

Kwani majini hayaonekani yakiamua kuonekana?

Anyway Mungu ni ROHO.

Mtu pia ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen

Wapi Yesu alisema maneno hayo ?
Hiyo Roho uliiona wapi ?
 
Swali la 1. majini ni nini?


Kwanza kabisa yatupasa kuelewa nini maana ya neno jini, Neno jini linatokana na neno la kiarabu Jinn (djinn au Jinnee). Na lina maana ya kitu kisichoonekana au kilichofichika. (Mapepo).





Tafsiri kutoka kamusi za kiingereza zinaeleza hivi maana ya neno jini:


A: a spirit, often appearing in human form, that when summoned by a person carries out the wishes of the summoner.





B: any spirit; demon or ghost.




C: any of a class of spirits, lower than the angels, capable of appearing in human and animal forms and influencing humankind for either good or evil.



D: A supernatural creature who does one's bidding when summoned.




kwa hali hiyo basi, Majini ni miongoni mwa viumbe alivyo viumba M'Mungu kama tulivyoumbwa Binadam, Malaika, Wanyama na viumbe vingine tusivyo vijuwa, wakiwemo wadudu wa aina mbali mbali.




Matumaini kuwa mpaka hapo dada yetu pamoja na wasomaji wengine wa makala haya watakuwa wamelewa nini maana ya neno jini.

Swali la 2. Majini na waislam wana uhusiano gani katika ulimwengu wa roho?



Jibu:


Kwenye ulimwengu wa kiroho si kwa waislamu tu ambao wanahusishwa na kuwepo kwa majini,

Tukiangalia vitabu vya ulimwengu wa Dini, kama vile Uhindu (Vedas, Puranas), Ukristo (Bible),

Uyahudi (Talmud) nk. Tukichungulia Biblia ya wakristo tunakuta bwana yesu akiyakemea mapepo yaliyokuwa yakikaa ndani ya vichwa vya watu.

Haya ni majini ambayo yanasumbuwa watu na kufanya ukorofi kama walivyo baadhi ya binadamu wenye tabia chafu za kukaa vichochoroni na kukaba watu nyakati za usiku na wakati mwingine mchana kweupe.

Kwenye Biblia Majini au Mapepo asili yao ni Malaika. Baada ya kuasi amri ya M'Mungu wakafukuzwa wao pamoja na kiongozi wao Lucifer (Ibilisi). Kwa Jinsi hiyo Malaika wabaya huitwa kwa jina la Pepo.



Angalia baadhi ya aya kutoka kwenye Biblia:

Genesis 6 :2&4


...that the sons of God saw the daughters of men that they were fair; and they took them wives of all that they chose...The Nephilim were in the earth in those days, and also after that, when the sons of God came unto the daughters of men, and they bare children to them: the same were the mighty men that were of old, the men of renown.American Standard Version that the sons of God, looking at the women, saw how beautiful they were and married as many of them as they chose....The Nephilim were on earth in those days (and even afterwards), when the sons of God resorted to the women, and had children by them. These were the heroes of the days gone by, men of renown

From Jerusalem Bible (catholic).

some of supernatural beings* saw that these girls were beauutiful, so they took the ones they liked... In those days and even later, there were giants on the earth who were descendants of human women and the supernatural beings. They were the great heroes and famous men of long ago.*supernatural beings; or son of gods; or sons of God

From the Good News Bible


the sons of God saw that the doughters of men were beautiful, and they married any of them they chose....The Nephilim were on earth in those days -and also afterward- when the sons of God went to the doughters of men, and had children by them. These were the heroes of the old, men of renown

From King James Version


Pia waweza kupitia kwenye kitabu cha… Isaiah 14:12-15, Job 1: 6 and 2:1 kumb 18:10-11



Kuna majina mengi tu yanayo tumika kumaanisha neno jini, mfano mapepo (pepo), demons, Lucifer, Ghost na jamaa zangu wa kule Commoro visiwa vya ngazija wao wanawajuwa kwa jina la Kibuki.

Wamasai wao wanawajuwa kwa jina tofauti. Wapo baadhi ya watu wanawaita kimakosa kwa jina la shetani.

Wanashindwa kuelewa kuwa neno shetani ni sifa mbaya, sifa ambayo hata binadamu anapoonekana kuwa ni mwenye kufanya vitendo viovu huitwa kwa jina la shetani.

Angalia pia Mark 16:9 Pia rejea Genesis 6:2&4, Job 1: 6 na Job 2:1 kumb 18:10-11

Kwa mujibu wa biblia bwana yesu anawaagiza wanafunzi wake watawanyike ulimwenguni wakahubiri Injili kwa viumbe wote. Kwa matumaini kwamba na mapepo wamo, maana nao ni viumbe. Mark16:15-16



Kwenye ulimwengu wa imani ya kuamini dini, majini nayo yana imani tofauti tofauti kama vile tulivyo sisi binadamu. Kuna majini yenye kuamini Uislam, Ukristo, Uhindu, Upagani, na hata dini ambazo tunaziita za jadi.

Na kuna yale majini yasioamini kuwepo kwa M'Mungu.
Haya Majini uliyoandika hapa, uliyaona wapi?

Kuna mtu anakuandikia sometimes?
 
Haya Majini uliyoandika hapa, uliyaona wapi?

Kuna mtu anakuandikia sometimes?

Unakuwa husomi post ninazokuandikia
Otherwise usingalijibu hivi ulivyojibu

Kwanza kabisa yatupasa kuelewa nini maana ya neno jini,

Neno jini linatokana na neno la kiarabu Jinn (djinn au Jinnee).

Na lina maana ya kitu kisichoonekana au kilichofichika. (Mapepo).

Biblia inasema Mungu ni Spirit. Spirit haionekani.
Yesu kaonekana, hawezi kuwa spirit, Si Mungu hajakuwa Mungu wala hatokuwa Mungu.
 
Unakuwa husomi post ninazokuandikia
Otherwise usingalijibu hivi ulivyojibu

Kwanza kabisa yatupasa kuelewa nini maana ya neno jini,

Neno jini linatokana na neno la kiarabu Jinn (djinn au Jinnee).

Na lina maana ya kitu kisichoonekana au kilichofichika. (Mapepo).

Biblia inasema Mungu ni Spirit. Spirit haionekani.
Yesu kaonekana, hawezi kuwa spirit, Si Mungu hajakuwa Mungu wala hatokuwa Mungu.
Nimepata maono juu Yako GAVANA.

Nimeona Bahari imetapika samaki mkubwa, Mimi katika maono hayo niliona ni fursa kwangu, nikasogea kwenda kumchukua samaki aliyekuwa kwenye maji mafupi.

Nilipofika karibu, kumbe samaki yule hakuwa hai, Bali amekwisha kufa,Hivyo nikagairi kumchukia samaki huyo maana haikuwa riziki.

(Luka 5:10). Yesu anamwambia Petro, tangu sasa, utakuwa mvuvi wa watu.

So kulingana na maono hayo,

Hii ndiyo comment yangu ya mwisho kwako, sababu wewe Si Kondoo, Bali mbwa mwitu.
 
Nimepata maono juu Yako GAVANA.

Nimeona Bahari imetapika samaki mkubwa, Mimi katika maono hayo niliona ni fursa kwangu, nikasogea kwenda kumchukua samaki aliyekuwa kwenye maji mafupi.

Nilipofika karibu, kumbe samaki yule hakuwa hai, Bali amekwisha kufa,Hivyo nikagairi kumchukia samaki huyo maana haikuwa riziki.

(Luka 5:10). Yesu anamwambia Petro, tangu sasa, utakuwa mvuvi wa watu.

So kulingana na maono hayo,

Hii ndiyo comment yangu ya mwisho kwako, sababu wewe Si Kondoo, Bali mbwa mwitu.

Ndiyo kwa maneno hayo, Yesu amekuwa spirit, haonekani , kwa hivyo umemfanya mungu?
 
Nimepata maono juu Yako GAVANA.

Nimeona Bahari imetapika samaki mkubwa, Mimi katika maono hayo niliona ni fursa kwangu, nikasogea kwenda kumchukua samaki aliyekuwa kwenye maji mafupi.

Nilipofika karibu, kumbe samaki yule hakuwa hai, Bali amekwisha kufa,Hivyo nikagairi kumchukia samaki huyo maana haikuwa riziki.

(Luka 5:10). Yesu anamwambia Petro, tangu sasa, utakuwa mvuvi wa watu.

So kulingana na maono hayo,

Hii ndiyo comment yangu ya mwisho kwako, sababu wewe Si Kondoo, Bali mbwa mwitu.

Maneno ya Bwana Yesu yako wazi

Anakwambia Yeye si Mungu

Yohana 20:17

Yesu akamwambia, “Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie,

‘Ninapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye ni Baba yenu,

kwa Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu.’ ”
 
Nimepata maono juu Yako GAVANA.

Nimeona Bahari imetapika samaki mkubwa, Mimi katika maono hayo niliona ni fursa kwangu, nikasogea kwenda kumchukua samaki aliyekuwa kwenye maji mafupi.

Nilipofika karibu, kumbe samaki yule hakuwa hai, Bali amekwisha kufa,Hivyo nikagairi kumchukia samaki huyo maana haikuwa riziki.

(Luka 5:10). Yesu anamwambia Petro, tangu sasa, utakuwa mvuvi wa watu.

So kulingana na maono hayo,

Hii ndiyo comment yangu ya mwisho kwako, sababu wewe Si Kondoo, Bali mbwa mwitu.

 
Tunawezaje kumchangia mbunge huyu pesa kdg Kwa HOJA nzuri alitoa bungeni leo?

Jenister Msavantavangu; Kuna NG'O chini ya wizara ya JAMII na Maendeleo
mbeya zinatoa mafunzo Kwa watoto wetu shule za boarding Kwa mwamvuli wa kufundisha ujasiriamali KUMBE ndani ya mafunzo wanagawa vilainishi na kuwafunza USHOGA.

In other words, Siririikali ndiyo inayogawa vilainishi na kufundisha watoto USHOGA via ng'o hizo.

Je ni Kweli wazazi tumeruhusu watoto wafundishwe Elimu hizi za kipepo?

Kupambana na USHOGA ni siririkali kufuta usajili Kwa ng'o hizo Ili zisifundishe watoto Kwa lazima.

Kwa NJE ni SAMAKI, bt ndani yake ni JOKA lenye vichwa vitatu.

Walaaniwe wote wanaoshiriki uozo huu Kwa Uzao wetu ujao.

Amen
 
MAJINI unayoswali nayo ni ROHO,

Kwani majini hayaonekani yakiamua kuonekana?

Anyway Mungu ni ROHO.

Mtu pia ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Majini hayapo
 
Tunawezaje kumchangia mbunge huyu pesa kdg Kwa HOJA nzuri alitoa bungeni leo?

Jenister Msavantavangu; Kuna NG'O chini ya wizara ya JAMII na Maendeleo
mbeya zinatoa mafunzo Kwa watoto wetu shule za boarding Kwa mwamvuli wa kufundisha ujasiriamali KUMBE ndani ya mafunzo wanagawa vilainishi na kuwafunza USHOGA.

In other words, Siririikali ndiyo inayogawa vilainishi na kufundisha watoto USHOGA via ng'o hizo.

Je ni Kweli wazazi tumeruhusu watoto wafundishwe Elimu hizi za kipepo?

Kupambana na USHOGA ni siririkali kufuta usajili Kwa ng'o hizo Ili zisifundishe watoto Kwa lazima.

Kwa NJE ni SAMAKI, bt ndani yake ni JOKA lenye vichwa vitatu.

Walaaniwe wote wanaoshiriki uozo huu Kwa Uzao wetu ujao.

Amen
Ushahidi uko wapi
 
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.

===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.

Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
Aende akayaseme hayo kwa mzee Museveni, auone moto wake.
 
Back
Top Bottom