Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia


DAWA NI KUANDAMANA MPKA KUITOA HII SEREKALI MADARAKANI

NA SIYO KULIALIA.

AMANI HAIJI ILA KWA NCHA YA UPANGA
 
Lema analeta mipasho badala ya siasa. Sasa "First born", sijui "onyo". What is this nonsense?

Lete hoja za katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, maendeleo ya wananchi au hata positivity.

Lema anapenda personal confrontations zisizo na kichwa wala miguu.

Kama una mpango wa kumdhuru January tumeishamark kauli yako!
 
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.

Ayubu 14:1
 
Kiswahili kipp bayana kabisa sasa kama kiswahili tu kinawashinda nawaza tu hicho kingereza
 
Lemma mambo ya kutoa onyo yamepitwa na wakati wewe ruka naye fasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…