Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

Amesema ameona MAONO, you must be out oof your senses!
 
Mapadrii wapi hao wa kumwambia yule mtu bado sijaona atakayeweza nyanyua mdomo wamseme
Njaa mbaya sana,ndo maana mi muda mwingine naona kwenda kanisan mizinguo tu viongoz wa dini wako kimaslahi sana
 
Halafu hichi ni kipindi cha kwaresma na jamaa anajiita mroman. Jaman mapdri acheni unafiki mwambieni ukwel

Kitu ambacho huwa hakisemwi na hao viongozi wa Dini pamoja na Wanaharakati ni kuwa "AMANI ni TUNDA la HAKI" hilo linapaswa kusemwa bila kumumunya maneno wala kupepesa macho! Unataka kudunisha amani wape Watu zilizo haki zao kwa wakati!
 
Tatizo Watanzani tumekuwa na uchama hadi myoyoni tunasahau ubinadam.
Hilo ni tatizo lililojengwa na viongozi wasio na nia ya uongozi bali wapo hapo kwa mambo yao binafsi binafsi. Kiongozi mzuri ni yule anayemuandaa mrithi wake ambaye ni kijana anayechipukia. Lakini kama ukiwajaza vijana chuki ukategenea, usitegeme viongozi bora siku za usoni,
 
Ndio sababu kaamua kuwateua MaRas MaDas na MaDed wa Chama tawala ili wakwamishe maendeleo majimbo ya Upinzani
 
Mna wakati mgumu sana upinzani safari hii msipo simama pamoja na kuweka tofauti zenu pembeni sijui hali itakuwaje
Utakuta jitu kama hili linanuka shida na dhiki. Hapa alipo yupo kituo cha feli kuvizia WiF ya coke ya bure
 
Kwa ubanguzi ulivyo kwa sasa kuna haja ya Mikoa minne kupata uhuru wake , ambayo ni KILIMANJARO ,MARA , MANYARA NA ARUSHA KWANI WANA PATO LA KUTOSHA NA AMBAZO HAZIISHI , KAMA VILE MILIMA MARU NA KILIMANJARO , MBUNGA NZURI NGORONGORO, MANYARA , SERENGETI , MADINI MENGI ,KM TANZANITE N.K
 
Lakini nasikia kuna chama kilitangaza kutoshirikiana na watu wote wa CCM, tena kilitangaza hadharani
 
Anataka yeye na yeye tu afanye wengine wote ni wasaliti mara zote yeye anasema anawatumilia wote lakini wengine wakiwatumikia wote hao ni wasaliti nakumbuka yule aliyesema hayo ni uhalisia wa tabia yake anajifunua kwa uma wake c umesikia siku hizi wanamsemo mpya CHAMA CHETU
 

Na ndo anazidi kupandikiza chuki miongoni mwetu...

Alafu urafiki wake na Kagame huenda ndo chanzo cha yote haya....Atakuwa ametumwa kulivuruga Taifa hili.
 
Kamanda nitampa jina mtoto wangu jina lako liishi ....bravo
 
Kwa kauli za mkulu kwa kweli lema yabidi aombwe radhi manake sio kwa kauli hii.Lema alipokuwa gerezani aliitaji faraja ya kila alieona anaweza kumfariji bila kujali itikadi udini ukabila au hata umri so watu kutishiwa na kuitwa usaliti hii si sawa nitaipinga daima nikiwa na pumzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…