Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Mnajishaua tu kama matambara ya deki, Mzee Magu anasubiri kuapishwa tu, hiyo midahalo Lissu afanye na akina Katambi siyo Magufuli maana huyo ni next lavel
Hana hoja huyo,Msaada wake ni Vyombo vya dola,bila hivyo ni mwepesi kuliko unyoya
 
Hii ni hatari kwa mstakabali wa Taifa,vipi upande wa pili wakiamua kujibu mashambulizi.

Wote kwa pamoja tukemee bila kujali vyama vyetu, maana hali ikibadilika haiangalii ulishiriki ama hukushiriki.
nadhan kule hai yule dc wamemvimbisha sana kichwa, alivuruga mkutano wa mbowe na leo karudia!


nashindwa kuwaelewa cdm, wanamwogopa au ? yule wadili nae kimafia tu mana nina uhakika halindwi na malaika........ liwe onyo kwa wengine
 
Tabu tayar zimeshaanza watanzania sijui tunafeli wapi mpaka MTU afe ndo tunaanza kutafuta mchawi
 
Rangi kamili ya jinsi uchaguzi uliosemwa na Rais pamoja na Waziri Mkuu kuwa utakuwa wa haki, huru, vyama vingi na kidemokrasia sasa umeanza kuonekana.
 
Hivi sasa ni kipindi cha kuhutunia au kuomba dhamana? Aliyeshambuliwa si yupo karantini au amemaliza?
 
Ole Sabaya anausaka Ukuu wa mkoa kwa nguvu kupita maelezo....idiot!
 
Kuna tetesi kuwa kuna mwenzenu mmoja kakumbana na hasira za wananchi katangulizwa, ndiyo muwache kimbelembele

Na huyo awe mfano kwa wengine...

Cha msingi huyo mhanga achunguzwe ijulikane katokea wapi na alikuwa na Nan wengine..
 
Mkuu amani ni jambo muhimu. Sisemi hao wawe waoga lakini kuna nmna bora zaidi ya kuchukia uonevu.

Kuvumilia pia ni namna nzuri ya kuilinda amani yetu.

Visasi havitatuacha salama.
 
Kinachonisikitisha ni kwamba tunaona maandamano yakitembea na Lissu pamoja na walinzi, hivi walishinda kweli kuwazuia au kuwapa kichapo hao walioleta vurugu??

Duuh kama ni hivi kweli kura zitalindwa?? Aibuu
 
Safari hii mmeshikwa pabaya,Huyu ndio Kiboko ya Jiwe,Mlishindwa kumuua sasa basi mtamtisha na nini tena.
Kushikwa pabaya kwa jambo lipi? Labda kama kwa huu ugaidi mlioanza kuufanya. Walioshindwa kumuua ni hao viongozi wenu wenyewe, na kwasbbu wanajua anapenda sifa ndo maana wamempoza kwa kumpa agombee urais.
 
Kinachonisikitisha ni kwamba tunaona maandamano yakitembea na Lissu pamoja na walinzi, hivi walishinda kweli kuwazuia au kuwapa kichapo hao walioleta vurugu??

Duuh kama ni hivi kweli kura zitalindwa?? Aibuu
Hii nchi imeingia kwenye siasa za kihuni na za hovyo sana.
 
Kinachonisikitisha ni kwamba tunaona maandamano yakitembea na Lissu pamoja na walinzi, hivi walishinda kweli kuwazuia au kuwapa kichapo hao walioleta vurugu??

Duuh kama ni hivi kweli kura zitalindwa?? Aibuu
Hamna walinzi pale mkuu!

Watu wenyewe ukiwaangalia midomo imekaukiana wana njaa hatari
 
Kinachonisikitisha ni kwamba tunaona maandamano yakitembea na Lissu pamoja na walinzi, hivi walishinda kweli kuwazuia au kuwapa kichapo hao walioleta vurugu??

Duuh kama ni hivi kweli kura zitalindwa?? Aibuu
Nimesoma sehemu kuwa Wananchi wamemuua mtu mmoja miongoni mwa Wasababishaji wa Vurugu...
 
Kushikwa pabaya kwa jambo lipi? Labda kama kwa huu ugaidi mlioanza kuufanya. Walioshindwa kumuua ni hao viongozi wenu wenyewe, na kwasbbu wanajua anapenda sifa ndo maana wamempoza kwa kumpa agombee urais.
Serikali yako ya CCM na vyombo vyoye vya ulinzi na usalama vinajua hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…