Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

S

Sawa Mkuu Wangu...

Yatadhihirika tu,kuwa hayo Ni Maigizo...

Hizo ni SETUPS TU ili Nganga Itimie...

Zile BARUA Za Hague SI ndio Preamble....
Hayo mambo ya barua ya nini kama haki ya watu haichezewi ?!. Mara ni kanda maalumu ya fujo. Lakini udhamini umeenda bila vurugu iweje hai kwa Sabaya ?!. Mmefanya siasa miaka mitano mfululizo hukuona fujo za wana Cdm . Wao kutafuta tu wadhamini hamtaki ?!
 
Kweli !?..na DC analindwa na mabeberu.?..huu Ni ujinga ,haya mawazo kuwa mabeberu wanaichukia nchi yetu Ni upumbavu!
Hivi sio wao ndio tunasema wameitangaza Tz kuwa Uchumi wake unapaa, mbona hatukutaa !
Dhana ya Ubeberu ilikuwa inatumika na nchi za Kijamaa ,kushambulia Nchi za Magharibi...tuliimbishwa wimbo huu bila kutafakari!
Hivi hujui kuwa kabla ya February 1990 Makaburu walikuwa Mabeberu....baaada ya hapo wakawa Wawekezaji!?
Hata aliye ufufua huu msemo/Dhana ukimwambia andika sentensi 2 kuhusu maana ya Ubeberu hawezi na haelewi!
Ccm mpya wajinga sana
 
Nimejibu Hapo Juu....

Hao ni VIBARAKALA waliotumwa kumchafua Sabaya na Serikali yaani Ni sawa na kipindi kile US ilipoandaa yenyewe shambulizi Kwa Meli Yake Iliokuwa GUANTANAMO halafu AKASINGIZIWA Marehemu Fidel Castro na Cuba....
Hilo Ni igizo Mkuu wangu....it's blatant Deception...
But ikumbukwe kuwa OCD nae anahusika kwenye hilo tukio
 
WEWE NDO sabaya Eti unaandika utumbo gani Vijana wa Lumumba wajinga sana !.Hasara amekula mzazi wako
Mimi SI Sabaya na Kama Ni Utumbo Andaa Ndizi Ujinome...

Nimekuwekea Majina Ya Mabeberu Wanaowasukuma..unanishambulia Mimi Mkuu?!!

Kalaghabaho Mkuu Wangu,Ukipata Ndizi Mshale itakuwa mwake👍👍
 
Mapapa kvp akati mmoja wa hao vijana ameshasema kuwa, walitumwa na DC pamoja na OCD na waliahidiwa kulipwa elfu 20 kila mtu...

NB:Yani mtu unaamua kurisk maisha yako kisa elfu 20 kwelii
Na huenda hata wasilipwe wakadhulumiwa wapuuzi Sana hawa vijana wenzetu.
 
The Weapons From Brussels Have Been Aimed To Disintegrate The Awesome Nation......

Achana na Yule Smith,Wale Mazwazwa Watatu,Arvinder Deepel,Marcus McManon Na Mchora VIBARAKALA wa Afrika Kwa Zama Hizi Bwana Johñson Stielenger Walimsaidia Sana Jamaa Yetu Pale Brussels.....

I Smell Something Savage Being Orchestrated Behind Those Letters Written To Tanzania......

MABEBERU ni watu wabaya Sana......Tanzania Ni kisiwa Cha Amani...Msumbiji Kimewaka....Wale Magaidi Waliofurumushwa Kule Kibiti Na Kujikita Mosimboa Da Praia Jimboni Cabo Delgado,Masalia Yao Yameanza Kuichafua Serikali Ya CCM ionekane inawashambulia WAPINZANI...Yaani totally ridiculous!!!

Hiki Ni KIPINDI Cha kushikana Kama TAIFA,wabaya wetu wanataka kutuchangia then BARUA ILIYOANDIKWA ITIMIE.....

Kataa Vurugu
Kataa Propaganda Chafu
Kataa Hila Za MABEBERU
Kataa Mipango Ya Kuichoma Nchi Yako Pendwa
Usikubali Kuingizwa Mtegoni na wanasiasa wachumia tumbo
Hatuna Pa Kukimbilia.

Mungu Wetu Atatushindia Hila Mbaya Na Husuda Zinazotoka Nje Ya Taifa Letu Adhimu,Aaaamin Aaaamin Aaaamin.
Nakunga mkono mkuu huu ni mda wa kushikamana tusiseme vijana wamehogwa wala nini. kipindi hiki ndo kipindi cha watu kuchomwa sindano za sumu na zenye maumivu makali.
Africa hakuna upinzani wa kweli hata kidogo, vyama vingi vya upinzani huwa vina pata Good support kutoka kwa MABEBERU na muda mwingine wapinzani kutumia ufinyu wa mawazo ya wananchi kama mtaji wa kuonekana kuwa wanaonewa na serikali iliyo madarakani
Tushikamane wote kwa pamoja kulijenga taifa letu. Wagombea wote watowe hoja za kujenga na si kubomowa, penye kukosowa wakosowe na kusema nini kifanyike kuepuka hayo makosa penye kupongeza papongezwe na si kutukanana majukwani.
 
Lissu na zitto Ni wapinzani
Kazi Yap ni kupinga
Unataka wafanye kzi gani tofauti na hiyo?
Wakianza kuunga mkono tutawauliza kuna haja gani ya wao kuwa wapinzani?
Fikiri, sehemu zote walikopita hakukuwa na mapanga na marungu ila wakayabeba hai? Kwann? Njia ya mwongo in fupi, kama wanahubirj raisi hajafanya kitu na vitu vinaonekana kuanzisha vita si suluhu. Tuwe makini na hii amani.
Una uhakika walikuwa na hizo silaha au umekaririshwa na hao jamaa zako?

Hata kama ni kweli walikuwa na hizo silaha kama unavyodai, je kilikuwa na shida gani kutoa ripoti polisi ndio washughulikie hilo suala?

Sasa hao vijana walipoanza kurusha mawe, je hao mnaodai walikuja na mapanga sijui vipi wangejibu mapigo unadhani hali ingekuwaje?

Utu uzima ni kutumia akili yako kupambanua mambo sio kuamini kila unaloambiwa. Hivi kweli kama hao watu walikuja na hizo silaha na lengo ilikuwa kuzitumia kufanya fujo kama ulivyoaminishwa, kitu kimewazuia wasizitumie?
 
Unaanza Kuupinga Mradi halafu Mabwana Wa Nje Wanaongezea Frequency Ya Kupinga...huku Wakiwa Ni marafiki Kindakindaki Wa CHAMA CHENU....then Unapata bahati Mbaya Unapelekwa Karibu na Huko....Bado Wanaendelea Kuupinga Mradi....Unapona na Kuanza Kuzunguka Kwao na KUENDELEA KUUPINGA NA WAO WANAKUSAIDIA KUONGEZA frequency.....

Mmmh smth FISHING......
Ndio uende kuwakataa kwenye sanduku la kura!
 
Nakunga mkono mkuu huu ni mda wa kushikamana tusiseme vijana wamehogwa wala nini. kipindi hiki ndo kipindi cha watu kuchomwa sindano za sumu na zenye maumivu makali.
Africa hakuna upinzani wa kweli hata kidogo, vyama vingi vya upinzani huwa vina pata Good support kutoka kwa MABEBERU na muda mwingine wapinzani kutumia ufinyu wa mawazo ya wananchi kama mtaji wa kuonekana kuwa wanaonewa na serikali iliyo madarakani
Tushikamane wote kwa pamoja kulijenga taifa letu. Wagombea wote watowe hoja za kujenga na si kubomowa, penye kukosowa wakosowe na kusema nini kifanyike kuepuka hayo makosa penye kupongeza papongezwe na si kutukanana majukwani.
👍👍👍👍👍👍
 
Mbowe naye alifanyiwa hivihivi tena mbele ya vyombo vya dola lakini hata sisimizi hakukamatwa kwa tukio hilo pamoja na tukio kufanyika mbele ya vyombo vya dola ambavyo vinakibali cha kisheria kukamata makosa yanayofanyika mbele yao.

Kilekile kimejirudia tena kwa mtindo uleule mbele ya vyombo vilevile vya dola vyenye wajibu wa kuzuia uhalifu kama huu lakini hakuna aliyekamatwa,kinachosubiriwa ni kuambiwa kuwa viachiwe vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake wakati vilikuwa na nafasi ya kuzuia tukio lisitokee na kukamata watuhumiwa hapohapo.

Kwa ukimya huu wa vyombo vya dola wakutokuwajibika kwa jambo ambalo siyo mara moja kutokea na linalowahusu viongozi wanaoipinga CCM moja kwa moja linatoa taswila kuwa wapangaji wa matukio haya ni wale wa chama tawala na chama chao na ndio wanaotaka kuifuta amani ya nchi hii.
 
Chama changu twendeni kwenye mikutano yetu na mapanga hutaona mpumbavu yeyote akileta upumbavu tatizo tunaenda kama kanisani, tuache mzaha hawa wakijani washageuka muumiani tuache malalamiko.
Huu ni muda wa jino Kwa jino ndo heshima itapatikana huu muda si wa kuambiana ati ukipigwa shavu la kulia mgeuzie la kushoto, akikupora ardhi mpe na ng'ombe Kwa kufanya hivyo wewe utaenda peponi huyo dhulmati atakwenda motoni.
Siku moja green guard wakija vamia mkutano wetu halafu angalau watano wakaondoka bila vichwa hutaona tena huu upuuzi
 
Mmefanya siasa kwa miaka mitano peke yenu hakuna aliyewafanyia fujo acheni na wenzenu wafanye siasa kama hammpendi mtu mkataeni kwenye uchaguzi na sio kumponda mawe.

Mnapofanya fujo mnamharibia mgombea wa CCM na si mgombea wa Chadema, watanzania ni wastaarabu na wapole kadri mnavyofanya fujo ndivyo mnavyojipunguzia kura za wastaarabu.



Ukweli hali hii inasikitisha sana.
Sasa kama walikuja kumsikiliza Lissu, wakaona hotuba yake ilikuwa tofauti na walivyo tegemea, na wanasema hao chadema walikuja na marungu, mawe na visu, je hayo mabango waliyoshika yaliandikwa baada ya vujo kuanza au kabla ya vujo?

Sabaya ni janga naatagharimu mahisha ya hao wananchi waliokubali kununuliwa kwa 20,000/=.

Kama Rais ndiye aliyemweka, basi ni vizuri kwa sasa afikirie tofauti, vinginevyo watu wataamini yanayosemwa kuwa Rais ndiye aliyemtuma kufanya hivyo.
 
Vijana waliopandikizwa wanaweza kufanya fujo mbele ya polisi na wakaachwa tu waendelee kuleta fujo? Hivyo ndivyo akili yako inakutuma?

Hao Polisi Wanaweza Pia Wakawa Na Malengo Tofauti ....

Usikariri Mzee...

Kalaghabaho
 
Ndio siasa,vumilieni!
Wakisema hamjafanya kitu ni kazi yenu kuwambia watu mmefanya, lakini pia watu wakiona mlichokifanya moja kwa moja watawapuuza wanaosema hamjafanya kitu maana tayari wanaona kwa macho yao.

Pia uvumilivu kwenye maneno ya kisiasa ni muhimu sana. Kama vile wenzenu wanavyowavumilia mnapowaita ni vibaraka wa mabeberu, mara sijui wametumwa kuja kuuza nchi yote wanayavumilia. Hivyo mnapaswa na nyie kuvumilia hivyo hivyo hata wakiwaita nyie ni madikteta vumilia ndio siasa tuliyoichagua.

Kikubwa ni kujitahidi kuwashawishi wapiga kura wasiwachague.

Kufanya fujo kwakweli hiyo sio afya hata kidogo maana upande wa pili wakiamua kujibu mapigo hakutakuwa na mshindi wote tutapoteza.

Tusikubali kuingia kwenye mtego huu. Tutaumia wengi hata wale tusiokuwa na upande wowote kwenye siasa.

Jamani tuipende nchi yetu, tuilinde, vyama hivi ni vya kupita tu lakini nchi yetu ni muhimu kuliko hivi vyama.
 
Back
Top Bottom