"mikakati iliyofanyika"? mmhhh! haya, yangu macho!Haihtaji rocket science kujua wanataka nini kitokee
Haihtaji degree kujua mikakati yote hii iliyofanyika lengo lake nini.
Nyie mnaichukulia hiyo kauli juu juu, ila wajuvi wa mambo hii kauli imekuwepo kwa wanachama mfu siku nyingi. Yaani inaonekana ninyi chama mfu mnapanga kumuua rais wetu na ndiyo maana lazima mushugulikiwe, na rais hamuwezi kumuua kwa sababu analindwa na Mungu mkuu!Ninachojua ni kwamba kila nafsi itaonja mauti, either kwa kutabiriwa au bila kutabiriwa. Kwanini unakamata wanaotoa unabii? Yeye kaoneshwa mambo katika ulimwengu wa roho, kwamba uache kiburi cha uzima, majigambo, na kudhani wewe ni Mungu, vinginevyo utakufa kabla ya muda wako. Kama hutaki kufa kabla ya muda wako fanyia kazi hayo yaliyoelezwa. Jishushe, acha kiburi cha uzima, heshimu kila mtu, acha kujitwika mamlaka ya kiungu, usinyanyase wasio na hatia, usitafute sifa kwa kusema uongo, boresha maisha ya kiuchumi ya watu wako. Nabii hawa hauawi. Yeye kashatoa unabii wake. Kumfunga au kutomfunga haibadilishi unabii huo.!
Hapana Lema anamaanisha mipango wanayopanga wao chama mfu ya kumuua rais wetu, na ndiyo maana alijisahau akavujisha siriUjumbe wa kauli ya Lema mbona uko wazi....kwamba Rais asipobadilika atakufa, period!
Umofia kwenu Great Thinkers,
Wadau kuna thread nyingi zimeanzishwa kumhusu Mh. Lema, mbunge wa chama mfu chadema aliyepoteza umaarufu hapo jimboni kwake kwa kasi ya ajabu.
Hebu sasa tujadili jambo tofauti badala ya kumlaumu.
Ieleweka huu ni mtizamo tu baada ya kuunganisha matukio kadhaa wa kadhaa.
Nakumbuka baada ya Mh. Dkt Magufuli kushinda kiti cha urais, chama mfu chadema walitumia kila aina ya mbinu ili kuonesha ushindi haukuwa wa halali. Lakini mbinu hizo zilishindwa vibaya mno baada ya wananchi kuwapuuza. Wakaja na mbinu ya kumtisha rais ya kusema eti "hafiki 2020". Hiyo kauli iliongelewa na wafuasi wa hicho chama mfu, yaani hata ukitembelea moshi au ukikutana na mwana chama mfu ofisini atakuambia tu eti "hafiki 2020".
Sasa mimi nimekuwa nikijiuliza wanamaanisha nini kusema hivyo?
Mimi nafikiri huo ni mpango wa mauaji ya rais ulioratibiwa na chama mfu chadema, ila MH. LEMA ALIKATAA KUUNGANA NAO, akaamua kumwanga mbonga kutumia Mungu ili akikamatwa aende akauelezee na kuufichua huo mpango kwenye vyombo husika maana lasivyo wangeweza kummaliza chama chao mfu maana nao mambo hayo siyo haba kwa ushahidi wa matukio ya nyuma (wnagwe).
Sasa inawezekana Mh. Lema anakula kuku tu, ila kitakachofuata ni kamata kamata ya viongozi waandamizi wa chama mfu chadema na hatimaye kufutwa kwa chama mfu ktk ramani ya Tanzania.
Sababu nyingine ni kutokuruhusiwa kwa viongozi wa chamam mfu kuonana naye maana ni shahidi
Nini maoni yako mdau?
Nyie mnaichukulia hiyo kauli juu juu, ila wajuvi wa mambo hii kauli imekuwepo kwa wanachama mfu siku nyingi. Yaani inaonekana ninyi chama mfu mnapanga kumuua rais wetu na ndiyo maana lazima mushugulikiwe, na rais hamuwezi kumuua kwa sababu analindwa na Mungu mkuu!
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?
Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.
Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?
Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,
Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.
Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.
Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Watu mmekuwa waoga kupitiliza. Lema ameota, tofautiyake ye ameongea, tayari mshamwagika povu. Mbona T B Joshua anaonaga maono anasema na vitu vinatokea hamumsemi?
Acheni uoga wa kitoto. Kama ni ndoto ipeni mda kisha mpime. Isipotokea mpuuzeni. Si ni hivyo tu jamani. Kwani shule mnaendaga kufanya nini jamani? Aaaaaaaaarrrrrgggggghhhhhh......