Wewe mtu mweusi una akili gani ya kujifananisha na hao wazungu ?Mbona ulaya hakuna Maisha Magumu na hawana rasilimali Kama sisi Tz , Ccm ni chama Cha watu wajinga unabidi kumpa tu Akili ya Kujitambua kwanza maana haina Maana mtu atoke chuo aje kuwa bodaboda if yes mbona watoto wao hawafanyi hizo Kazi ? Nchi inabidi kuwa na Usawa .
Mimi niko mtandaoni Kila siku kwasababu nina bando. Wewe unaingia kwa kubeep halafu unaleta mdomo the! PUMBAVU!!Wewe ndio mshamba kama na wewe ni mwalimu bas kunatatizo kubwa ndio maana juz bodaboda kule Arusha wamewazarau kwa kusema wanawazid kweli nimeamin wanawazid na mtaendelea kuzeeka hivyohivyo na ujinga wenu.
Ahahahahaha! Umenifurahisha kweri kweri!!!Mwalimu wangu hatuna neno kweri kweri kwenye kiswahili sanifu ila tuna kweli kweli. Usikasirike tunasaidiana
- Kama wanapiga Hela kwenye bodaboda,basi mtoto wa Majaliwa na Mwinyi waende nao wakapige hizo Hela.Hili nalo ni pumbavu! Yaani mtoto wa Rais au Waziri mkuu akaendeshe bodaboda amekosa nini? Mbona vijana wanaojiekewa wanapiga hela tu kwenye bodaboda? Lema aache upumbavu!
Wewe ndio unayo,We hio nafasi ya kuandikia watu vimemo unayo?
Narudia kusema nyie ni wajinga, weww ni mjinga,Acha ujinga wewe,na wewe peleka kimemo basi..
Hakuna hata siku Moja watu watafanana Kwa life standards maana wanatofauyiana vipawa,fursa, mazingira waliko nk
Hayo anayoongea Lema ni ujinga,yeye anaweza furahia mtoto wake awe Delivery boy au awe anatosha matako ya wazee wa Canada?
Nimesema wote? Naimbie kwa nini viongozi hawapellki watoto wao kusomea Ualimu? Si ni ajira? Shida nyie kuwaelimisha labda kwa fimboKwa hiyo wote tunatakiwa tufanye kazi Bot
Kazi zinatakiwa kuwa na utu na ziwe endelevu, niambie feature ya Bodaboda ni ipi? Wewe unaifanya?Kwa maana hiyo kazi zote ambazo hazifanywi na watoto wa vigogo zimelaaniwa
Wewe unafanya kazi gani?Mbona Lema anaongea ukweli wandugu, hata mimi siwezi kubali mtoto wangu awe dere
Kwahiyo wewe unaona boda boda ni kazi ya maana hiyo?
Lema aache dharau aisee ni ujinga kudharau kazi za watu
Mimi baba ntilie mkuu.Wewe unafanya kazi gani?
Wabish Hawa wanatia Kinyaa bod tangu lini ikawa kazi!! Walau kibarua saidia fundi....sio bodaKazi zinatakiwa kuwa na utu na ziwe endelevu, niambie feature ya Bodaboda ni ipi? Wewe unaifanya?
Ngoja tuone Hadi mwisho
Ikibidi Asema kabisa kwamba akiona mtoto wa hao aliowataja wanahudumia Gesti au mama Ntilie au saidia fundi ndio ataomba radhi
Hivi kumbe mke wa Heche anafundisha hapo Nyabulogoya?Hiyo hoja kama kweli ameitoa basi amedhihirisha yeye Lema ana upeo mdogo sana wa kufikiri. Lakini sishangai maana hata mwezake John Heche niliyesoma nae Shahada ya Elimu na mkewe ambaye ni Mwalimu pale Nyabulogoya Sekondari Kata ya Nyegezi Jijini Mwanza eti nae anauponda Ualimu kisa tu aliwahi kuwa Mbunge! Watu Hawa ni washamba kweri kweri!!
Kwa hiyo bodaboda anazeekea kwenye bodaboda au?Saidia fund baadae anakuwa fundi mkuu
Je! Amewaona watoto wa hao viongozi wakifanya kazi viwandani? Mfano: Amewaona wale watoto wanafanya kazi Kioo Limited, kiwanda cha saruji wazo au kiwanda chochote?Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Lema amesema endapo atamuona mtoto wa Waziri mkuu mh Majaliwa au mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo ataomba radhi...
Wewe na Lema ni wapumbavuNarudia kusema nyie ni wajinga, weww ni mjinga,
Aushaambiwa bodaboda sio kazi wewe kenge.Lema aache dharau aisee ni ujinga kudharau kazi za watu
Kwa hiyo bodaboda ndio suluhisho la matatizo ya masikini?Huku ndiko kunaitwa kujazana ujinga, haiwezekani watoto wote wazazi wao wakawa na Uwezo wa shule za medium!, ACHA KUJAZA WATU UPUMBAVU!,
Wameshaitana kama mchwa waje watafune ruzuku yao taratibu, pia mkikosa la kuongea si lazima uongee!
Jifunzeni hekima kutoka CCM.