Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Lema ameyasema hayo katika Mkutano wa kupinga Mkataba wa Bandari unaofanyika leo tar 23/7/2023 Temeke, ambapo amesema, Waarabu wanaangalia miaka 100 - 200 mbele wajukuu zao wataishije wabunge wenu wanaangalia 2025 watapata wapi pesa ya uchaguzi.
Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.
Lema ameongeza kuwa Waarabu wanaona uchumi wao unakwenda mwisho waanza kutafuta uchumi duniani kwaajili ya vizazi vinavyokuja mbunge wako anaiba kura akaingie bungeni badala ya kufanya tathimini ya miaka 100 mbele anakuja kumfanya muarabu wewe kuwa mbadala wa uchumi wake na mtoto wako aendelee kuwa dereva bodaboda.
Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.
Lema ameongeza kuwa Waarabu wanaona uchumi wao unakwenda mwisho waanza kutafuta uchumi duniani kwaajili ya vizazi vinavyokuja mbunge wako anaiba kura akaingie bungeni badala ya kufanya tathimini ya miaka 100 mbele anakuja kumfanya muarabu wewe kuwa mbadala wa uchumi wake na mtoto wako aendelee kuwa dereva bodaboda.