Lema: Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja figo zenu zitasainiwa kuuzwa China

Lema: Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja figo zenu zitasainiwa kuuzwa China

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Lema ameyasema hayo katika Mkutano wa kupinga Mkataba wa Bandari unaofanyika leo tar 23/7/2023 Temeke, ambapo amesema, Waarabu wanaangalia miaka 100 - 200 mbele wajukuu zao wataishije wabunge wenu wanaangalia 2025 watapata wapi pesa ya uchaguzi.

Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.

Lema ameongeza kuwa Waarabu wanaona uchumi wao unakwenda mwisho waanza kutafuta uchumi duniani kwaajili ya vizazi vinavyokuja mbunge wako anaiba kura akaingie bungeni badala ya kufanya tathimini ya miaka 100 mbele anakuja kumfanya muarabu wewe kuwa mbadala wa uchumi wake na mtoto wako aendelee kuwa dereva bodaboda.
 
Lema ameyasema hayo katika Mkutano wa kupinga Mkataba wa Bandari unaofanyika leo tar 23/7/2023 Temeke, ambapo amesema, Waarabu wanaangalia miaka 100 - 200 mbele wajukuu zao wataishije wabunge wenu wanaangalia 2025 watapata wapi pesa ya uchaguzi.

Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.
Maendeleo hayana vyama
 
To be honest wanasiasa aina ya Lema na Lissu nawapenda sana... yaani wanapeleka ujumbe kwa wahusika bila kupepesa wala kupamba pamba kauli safi sana....

Hizi nondo zinazopelekwa kwa Samia sidhani kama atapaka hina leo!!
 
Serikali haina mamlaka yakuniuza mimi maana ni mwili wangu labda niwape kwa mkataba fulani unadhani maisha nikuwezwa tu . Serikali imewekwa viongozi kuisimamia serikali sio watu umeona , akija kwangu hana haki ujue hilo
 
Serikali haina mamlaka yakuniuza mimi maana ni mwili wangu labda niwape kwa mkataba fulani unadhani maisha nikuwezwa tu . Serikali imewekwa viongozi kuisimamia serikali sio watu umeona , akija kwangu hana haki ujue hilo
Unauzwa tu wala usijitie ujasiri
 
Maisha na maendeleo ya Mtanganyika hawaijali, katiba imewapa ulaji kuleni mnenepe mkajenge magorofa, walimu waendelee kuishi kama mashetani ni wajinga sana, hivi inakuaje wasomi tena level ya degree hawajitambui wala hawajui haki zao?

Ukiwa mwalimu Tanganyika nakupa maua yako....... pokea tu aise! walimu ni wajinga nchi hii, kuna kada zingine Tanganyika ni mabomu tu ndio wamejazana huko aise.
 
Lema ameyasema hayo katika Mkutano wa kupinga Mkataba wa Bandari unaofanyika leo tar 23/7/2023 Temeke, ambapo amesema, Waarabu wanaangalia miaka 100 - 200 mbele wajukuu zao wataishije wabunge wenu wanaangalia 2025 watapata wapi pesa ya uchaguzi.

Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.

Lema ameongeza kuwa Waarabu wanaona uchumi wao unakwenda mwisho waanza kutafuta uchumi duniani kwaajili ya vizazi vinavyokuja mbunge wako anaiba kura akaingie bungeni badala ya kufanya tathimini ya miaka 100 mbele anakuja kumfanya muarabu wewe kuwa mbadala wa uchumi wake na mtoto wako aendelee kuwa dereva bodaboda.
Bandari na ardhi vikiisha
 
Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja bado kidogo figo zenu zitasainiwa kuuza china.
Hii ndiyo shida kubwa saana kwa kweli.sijui nani atatutoa kwnye janga hili.weakness ya mwanadamu iko hapa.yani ukitoa hoja mtu atakwambia naona unataka kiti hiki nilichokalia ,unataka kumpindua kiungozi wetu nk
 
To be honest wanasiasa aina ya Lema na Lissu nawapenda sana... yaani wanapeleka ujumbe kwa wahusika bila kupepesa wala kupamba pamba kauli safi sana....

Hizi nondo zinazopelekwa kwa Samia sidhani kama atapaka hina leo!!
Mtaujua vyema uwezo wa Kisiasa wa Samia akishastaafu kama ilivyokuwa kwa Jk, mlimuona fala, Dhaifu lakini baada ya kustaafu mkagundua alivyowachezesha kwny miaka yake 10 kwa kufanya kazi agenda zake bila ya kujijua


Rais Samia yupo kwny harakati za heka heka za kisiasa tangu Lema akiwa Kwny harakati zake za kabla ya Siasa na wakati huo Samia yupo Siasani

Huyu Mama ni mtulivu sana na atalimaliza suala la Bandari kisayansi sana na kila upande utajiona umeshinda
 
Aisee!Kuuza figo zetu tena?Yatupasa kukaa kwa tahadhari sana.
Hata makamu wa Rais, Dr. Mpango ametoa tahadhari kwa vijana kutouza figo zao. Biashara ya kuuza viungo vya binadamu, kama figo, ini na moyo, sasa hivi imeshamiri nchi za kiarabu.

Target kubwa imekuwa vijana wa kiafrika wanaodanganywa kuwa kuna kazi Uarabuni. Ukienda huko, unapewa kazi ya kujishikiza, unafanyiwa mbinu ili uugue. Unakimbizwa hospitali, unalazwa usingizi, unatolewa kiungo kinachotakiwa, kisha ndugu zako wanajulishwa kuwa umefariki wakati unapewa matibabu. Alitekupeleka analipwa ujira wake. Wanasema figo moja inauzwa dola 219,000.
 
Maisha na maendeleo ya Mtanganyika hawaijali, katiba imewapa ulaji kuleni mnenepe mkajenge magorofa, walimu waendelee kuishi kama mashetani ni wajinga sana, hivi inakuaje wasomi tena level ya degree hawajitambui wala hawajui haki zao?

Ukiwa mwalimu Tanganyika nakupa maua yako....... pokea tu aise! walimu ni wajinga nchi hii, kuna kada zingine Tanganyika ni mabomu tu ndio wamejazana huko aise.
Aisee nilijua Mpwayungu Village maana daahh.
Eti mtu ananunuliwa soda tu anawapa CCM kura zote ndani ya boksi
 
To be honest wanasiasa aina ya Lema na Lissu nawapenda sana... yaani wanapeleka ujumbe kwa wahusika bila kupepesa wala kupamba pamba kauli safi sana....

Hizi nondo zinazopelekwa kwa Samia sidhani kama atapaka hina leo!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani Lissu huwa anapiga spana sijawai ona
 
Maisha na maendeleo ya Mtanganyika hawaijali, katiba imewapa ulaji kuleni mnenepe mkajenge magorofa, walimu waendelee kuishi kama mashetani ni wajinga sana, hivi inakuaje wasomi tena level ya degree hawajitambui wala hawajui haki zao?

Ukiwa mwalimu Tanganyika nakupa maua yako....... pokea tu aise! walimu ni wajinga nchi hii, kuna kada zingine Tanganyika ni mabomu tu ndio wamejazana huko aise.
Sasa Ualimu umeingiaje
 
Mtaujua vyema uwezo wa Kisiasa wa Samia akishastaafu kama ilivyokuwa kwa Jk, mlimuona fala, Dhaifu lakini baada ya kustaafu mkagundua alivyowachezesha kwny miaka yake 10 kwa kufanya kazi agenda zake bila ya kujijua


Rais Samia yupo kwny harakati za heka heka za kisiasa tangu Lema akiwa Kwny harakati zake za kabla ya Siasa na wakati huo Samia yupo Siasani

Huyu Mama ni mtulivu sana na atalimaliza suala la Bandari kisayansi sana na kila upande utajiona umeshinda
polee
 
Back
Top Bottom