OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
asingekufa ili ajutie akiwa hai. watu kama hawa kuna adhabu nyingi wanatakiwa kupigwa na adhabu wakiwa hai ili kuwa mfanoKifo kwa Magufuli ni adhabu tosha. Magufuli alikua laana ya Taifa yaani Shetani. Alikufa kama firauni viungo vya mwili waziiii. Yaani macho mdomo mpaka TIGU waaaziiii. Sasa kaliwa na funza hukoo. BLADFAKEN MWENDAZAKE.
kama ni kweli mke wake ni juha.Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." β; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Unaandika ukitokea wapi?Lema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." β; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Mmepoteza lengo na nchi imemshinda mama yenu anakaa kubambikiza watu kesi. Kama Mbowe kashiriki kuua viongozi basi tuna usalama wa hovyo sana kuwahi kutokea.Lema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Hoja hujibiwa kwa hoja na sio mihemko mkuu!Lema ni muhuni na Propagandist aliebobea. Ni miongoni mwa Magaidi. Alifaaa kujulishwa na Mboe.
Kwa hiyo unamsifu Mboe na Genge lake.!Mmepoteza lengo na nchi imemshinda mama yenu anakaa kubambikiza watu kesi. Kama Mbowe kashiriki kuua viongozi basi tuna usalama wa hovyo sana kuwahi kutokea.
Ni maoni yako. Sina uwezo wa kuyapinga.Hoja hujibiwa kwa hoja na sio mihemko mkuu!
Utakuwa wa ajabu kumsifu Shetani,.!Namsifu Shetani JPM. Mimi simjui Mboe
Kama ilivyo kwa mbowe sasa nae atawajibika siku si nyingi.Simply aliyemfanyia haya Lissu cha moto anakiona maana walioenda ilikua nikutekeleza order tu, mtoa order aliumwa kimya kimya wakaficha kama walivyowaficha washambuliaji wa Lissu, aliumwa mpaka akafa bila hata dua njema, hii inadhiirisha Mungu yupo na kila jema na baya tunalofanya litahesabiwa na kutunukiwa au kuadhibiwa chaguo ni letu.
Kumwamini Lema ni upungufu wa akiliLema kupitia space anasema
"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." β; Godbless Lema
Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.
Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Huyo Mama yenu nchi hii imeshamshinda.Utakuwa wa ajabu kumsifu Shetani,.!
Si mmeambiwa muende Burundi mbona hamuelewi.?Huyo Mama yenu nchi hii imeshamshinda.
ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½ππΎπΊπ½Nani amesema kifo cha mwendazake ndio kifo cha kila mtu?
kuporwa miaka yake iliosalia kutawala na Mwenyezi Mungu sio Adhabu tuu ni Adhabu kubwa sana kuliko hata alivyostahili.
JPM alisema kuwa atahakikisha watu wote wa mjini wanarudi vijini. Haya nani karudi kijijiniSi mmeambiwa muende Burundi mbona hamuelewi.?
Simjui huyo.Shetani JPM alisema kuwa atahakikisha watu wote wa mjini wanarudi vijini. Haya nani karudi kijijini
Hao legacy ya Mwendawazimu wnajiongeresha kama wamekatwa kichwa.Ili kudhihirisha kauli yako hii, tunaomba utupe ukweli wa nani aliondoa cctv camera kwenye nyumba za serikali? ili tuweze kumuaibisha Lema.