Mbona kuna source nyingine inasema huyo nyang'au hajaachiwa huru?
 
Mtu muovu anasamehewa ? Tunataka na watanzania wengine wenye kesi wakili makosa na kuachiwa mara moja tuache upendeleo hakika ccm wameriaribu taifa letu tunahitaji katiba mpya sasa inatosha
 
Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana


USSR Usiishie tuu kumpongeza, pia msihi ajifunze jinsi ya kuwa raia mwema, kutenda haki na kumuogopa Mungu..
 
Hili povu
 
Ameachiwa kwenye Makosa ya Uhujumu Uchumi, baada ya kukiri

Sabaya bado ana kesi ya Matumizi ya Silaha ambayo Serikali ilikata Rufaa
 
Sasa anaenda kuishi maporini maana akipita Bomang'ombe bila ulinzi atafanywa ng'ombe.
Makonda kafanywa nini mpaka leo licha ya kuwa mnamtuhumu kwa mengi?

Jifunzini kutambua nafasi zenu kwenye hii nchi, so kujifanya mashujaa nyuma ya Keyboard.
 
Mkiweka ligi ya kuwindana kitaa, amini kwamba kuna wengi aliowakosea ambao hawana uwezo wa match naye kijasusi na kiuchumi, hapo mnakuwa mnatengezeza kitu inaitwa "mwenye nguvu ammalize asiyenazo..
Kwahiyo unataka kusema kwamba Jambazi Sabaya alikuwa anapora na kuibia maskini? Unataka kusema rushwa ya million 90 aliyolazimisha kutoka kwa mtu anayeitwa Mrosso kama ilivyosomeka kwenye hati ya mashtaka ni pesa ya kutolewa na mtu asiye na nguvu ya pesa?

Sabaya alikuwa na nguvu kutoka kwa mtu ambaye hayupo tena. Tuombe hao aliowanyanyasa wasiamua kupanga njama za kuhangaika nae huko mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…