Mambo mengine tusiwe tuna ingiza kichwa kichwa.
Sabaya amekiri makosa yake yote aliyo kuwa ameshtakiwa nayo, hata lile la uhujumu uchumi na kuhoji genge la uhalifu. Maana yake Sabaya ni jambazi.
Hastahili kugombea nafasi yoyote ya kisiasa wala ya serikali.
Ana makosa ya kijinai. Huyo wakili ni mihemko tuu ..
 
WAKILI NJAA
 
Ndio kitu mnawaza tu yaani. Hata masaa 2 hajamaliza uraiani mnawaza kuchaguliwa kiongozi. Aisee mna shida Sana

Mtafutieni tiba kwanza
 
Huyo wakili hamtakii mema Sabaya.

Kama Sabaya ana fikra zimebaki akae mbali kabisa na siasa kwa sasa.

Ikiwa aliweka akiba ya alivyopora basi atulie na kujenga maisha yake nje ya siasa. Kinyume na hapo ataishia kaburini mapema mno.
 
Sabaya amekiri makosa mawili tu na adhabu yake ni milioni 5
 
Huyo wakili hamtakii mema Sabaya.

Kama Sabaya ana fikra zimebaki akae mbali kabisa na siasa kwa sasa.

Ikiwa aliweka akiba ya alivyopora basi atulie na kujenga maisha yake nje ya siasa. Kinyume na hapo ataishia kaburini mapema mno.
Mbona gaidi hakukaa mbali na siasa?
 
Kila mtu ana haki kuwa kiongozi, sasa huo uozo nani wa kumpa uongozi.
Mbakaji wa wanawake asahau tu kuteuliwa na Mama yetu Samia.
 
Angekua amekiri kwa nini kaachiwa? Acheni porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…