DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
OkWakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499