Mahakama imemwachia huru Sabaya ambaye ametufanyia uovu mkubwa ikiwapo kutunyang’anya fedha kwa mabilioni. Hatujaridhika na uamuzi huu na tutamhukumu Sabaya kwa sheria zetu katika mahakama zetu zilizotapakaa nchi nzima.
Aisee
 
Hopefully amenyooka kisawaswa, hawez jiingiza kweny uvunjaji wa sheria tena!!!
 
Mahakama imemwachia huru Sabaya ambaye ametufanyia uovu mkubwa ikiwapo kutunyang’anya fedha kwa mabilioni. Hatujaridhika na uamuzi huu na tutamhukumu Sabaya kwa sheria zetu katika mahakama zetu zilizotapakaa nchi nzima.
Nyie ni watu mliokia mnakwepa Kodi, mkataka afatane na ninyi kuwaibia wananchi wanyonge, mkashindwa mkamtengenezea chain ya RUSHWA kwenye kuhakikisha mnamkomesha, leo yupo free ktk namna ambayo hamkutegemea, kumbukeni mwanasiasa na yeye hiyo ndiyo kazi na tegemeeni Kuna siku atarejea kwenye system tena yamkini ktk mamlaka makubwa tu, mtakimbilia wapi? Kesi yake mliibumba
 
Hizo mahakama za mitandaoni sidhani kama zitaweza kumletea athari yeyote ni za kujifurahisha tu, huko mtaani watu wanahukumiana hata kwa kuiba kuiba buku tu ila sio kutoa hukumu kwa mafisadi au waharibu wakubwa.
 
Katiba mpya sio suluhisho, suluhisho is mind your own business, lea watoto, mche Mungu, ngoja siku ziishe uende kwa Baba.
Hata mm Nina hiyo mentality lkni at the end of the day watakufuata tu hata kama umejitenga nao.government overreach is all encompassing,as long you live in the same country,they will come for you if not affect the way you live.
 
Ok
 
Hata mm Nina hiyo mentality lkni at the end of the day watakufuata tu hata kama umejitenga nao.government overreach is all encompassing,as long you live in the same country,they will come for you if not affect the way you live.

Solution yake: "Mche Mungu, the only powerful organ over any oppression is God himself" - solution tayari, achana na unafki wa hawa watu kabisa.
 
Walisema wanamuweka ndani kwaajili ya usalama wake.

Na wameamua kumtoa nje?🤔
 
Hakuwa na hatia au kumbukumbu zako zipo makalioni!
Makalio ya Sugu alipokuwa Jela

Kumbe hata huelewi Rufaa ilisikilizwa na kuamliwa lini

Nyie Bavicha ni weupe saba ndio sababu Nondo ya ACT Wazalendo inawasugueni Kweli kweli
 
Makalio ya Sugu alipokuwa Jela

Kumbe hata huelewi Rufaa ilisikilizwa na kuamliwa lini

Nyie Bavicha ni weupe saba ndio sababu Nondo ya ACT Wazalendo inawasugueni Kweli kweli
Soma vizuri ulichoandika mav wewe
 
Huyu kaachiwa ili kuzima mvumo wa moto wa ripoti ya CAG...Sidhani kama ni coincidence

Ila yote unayoyasema ni kweli tupu. The whole country is rotten to the core...hakuna mfumo au taasisi hata moja inayoendeshwa kwa weledi, haki na uhuru!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…