Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja
Hakika leo ni Leo ni sherehe kubwa sana kwangu. Tunamshukuru Mungu na pia Rais Hassan kwa namna ya kipekee , Asante sana yote ni Maisha Asante sana 🙏🙏🙏
 
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.

View attachment 2577142

Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.

Chanzo: Jambo TV
Kuna kitu kajifunza huko gerezani mtawala ni mwanadamu usimtegemee bali mtegemee Mungu pekee.
 
Duh, at last.
Lesson learnt the hard way.

Viongozi wengine mjifunze... power is no permanent and is always shifting... just eat your cake and behave.

Ule ujinga aliokuwa anaf1anya nadhan amepata fundisho maisha yake yote.

But... one thing.

Sheria ni za watu masikini?

Ukate watu masikio na miguu, upige watu, upore mali za watu na bado unaambiwa upo huru....
Sabaya hajashitakiwa kwa kukata watu masikio na miguu, kama hayo yapo, aweza kushitakiwa upya.
Walalamikaji wakijitokeza atawajibishwa kama kawaida.
 
Bado Safari ni ndefu sana kama taifa katika mifumo ya haki na sheria. Aliyepatikana na kesi ya ugaidi na mahakama aliachiwa huru. Huyu naye baada ya kuhukumiwa miaka 30 jela naye kaachiwa huru. Nchi ya hovyo sana hii.
 
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.

View attachment 2577142

Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.

Chanzo: Jambo TV
Hili ni kosa kubwa sana
 
Back
Top Bottom