Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Wewe ndio unapoteza muda praise team ya Lumumba.

Jambazi kuachiliwa sio ajabu ndio maana hata panya road wanatesa mitaani tu huko na hakuna chochote mlichowafanya.
Wakina nani wafanye? Si mnapumua baada ya kuinewa sana kwa miaka 5 au?
 
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
ARUDISHIWE NA UKUU WA WILAYA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
We thank the President for this monumental decision, thank you Madam Samia, what an mama this is, Ubarikiwe Rais
 
Mama kasema Uchaguzi ujao hakuna cha Ballot stuffing.

Ili tuwanyuke ninyi na Umoja Party yenu.
Kwa hiyo mama mwenye uchaguzi unao anataka kuwafanya ufipa na mr belgiji kuwa ikulu?
 
Serikali kwa mara nyingine ijitathmiini katika uwezo wa Idara na Taasisi zake kutayarisha kesi na mashahidi kwani zimefeli hivyo kushindwa ku-i-move Mahakama Kuu kuwa kulikuwa na kesi ya kusikilizwa kwa kutumia mizania ya kisheria.


Je tatizo ni kukosekana wanasheria wa serikali walioiva ? Je mfumo haki jinai (criminal justice system) yaani Polisi, TAKUKURU, DPP na Mahakama za chini zinakosa rasilimali watu wabobevu wa kuchunguza, kuandaa na kusikiliza tuhuma / kesi toka mwanzo wa mchakato mzima wa kutoa haki Au kesi hii ilikuwa kuna shindikizo?
Hizo IQ mkuu zikitumika kisiasa nitafute nikupongeze.


Kuna siku niliwaza sana nikafanya conclussion."Hii dunia tunapita tu jifurahishe mwenyewe"
 
Aliposema anasakamwa na makundi ya watu wanaotaka wamuue kwani hakua yeye aliyesema?
Hata Mbowe husema anasakamwa na makundi ya watu! Jr nae anaishi kwa tabu?
 
Kwa hiyo mama mwenye uchaguzi unao anataka kuwafanya ufipa na mr belgiji kuwa ikulu?
Mkojani amechoka na Masimango yenu nyie Polepole's Umoja Party keshaamua yeye abaki Afroshirazi na ninyi Tanu yenu halafu tuone😂
 
..nashangaa hii mada inajadiliwa bila kuwa na reference ya HUKUMU iliyosomwa mahakamani.

..nimesoma gazeti la Mwananchi na wanaripoti kwamba, Jaji amekubali kwamba Sabaya na wenzake wamepora, asichokubaliana nacho ni matumizi ya silaha.

..mpaka hapa nadhani ni mapema kusema Sabaya ameruka kihunzi hiki. Upo uwezekano wa serikali kukata rufaa.
Ni kweli kabisa Sabaya kaachiwa kwa tehnicality issues katika hukumu yake na si kwamba hakutenda vile vitendo lakini unaweza shikwa na mshangao Serikali itakapoamua kutokata rufaa.
 
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Huru wapi na bado ana kesi ya uhujumu uchumi....
 
Viongozi wanafiki na waongo! Faidini saana vya duniani, vya mbinguni vinawataka watenda mema na wasio na ila! mnawafunga watu jela kwa tamaa zenu na ili tu mpate umaarufu

Mnawafunga watu jela kisa mkate?
Asante na ubarikiwe Hakimu iwapo umesimama kwenye kweli!

Pole sana Sabaya, Mungu atakulipia ikiwa ni kweli hukuwa na hatia
 
Wakina nani wafanye? Si mnapumua baada ya kuinewa sana kwa miaka 5 au?
Sijawahi zuiwa kupumua.

Siku zote napumua tena vizuri na hiyo miaka 6 unayoisema sikuwa nikiishi banana republic.

Nachojua dikteta uchwara hayupo ila wapambe na makuwadi wake bado wapo mojawapo ni hilo jambazi la Hai.
 
Hivi kwanini watu wanaona hili ni jambo la ajabu? Ina maana hamuoni kinachoendelea!

DPP alikataa ''Bashite'' asishtakiwe, jambo nadra sana kutokea . Hamkujiuliza tu

''Bashite'' na Sabaya ni Team..., huwezi kumwacha Bashite ukamuadhibu Sabaya

Ukifanya hivyo mmoja atamwagwa 'mpunga'

Hawa vijana wana mengi vifuani mwao!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Nashauri Bw SABAYA atumie Ushindi wa Rufaa yake KUOKOKA KUMRUDIA MUNGU na KUWAOMBA MSAMAHA ALIOWAKOSEA AKIWA DC kwani ALITUMIA MADARAKA aliyokuwa nayo Kuumiza Watu na FAMILIA ZAO kwa KISINGIZIO CHA MAAGIZO KUTOKA JUU MAAGIZO ambayo HAYAKUMSAIDIA mpaka ikapelekea KUFUNGWA MIAKA 30 hao WATU WAPO na ATAKUTANA NAO MITAANI
SABAYA Anarudi URAIANI bila CHEO bila ULINZI zaidi ya Kujilinda Mwenyewe
1651837332507.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndio mlisema, Kama ww hukubakwa basi shukuru tu pengine zamu yako haikufika.
Muulize pambalu na wengine

Hana ujanja wa kumbaka Pambalu, kama ni mjanja kweli aje sasa hivi wakati hana backup ya vyombo vya dola, uone kama hatapata ujauzito wiki ya kwanza tu.
 
Back
Top Bottom