Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Hivi kwanini watu wanaona hili ni jambo la ajabu? Ina maana hamuoni kinachoendelea!

DPP alikataa ''Bashite'' asishtakiwe, jambo nadra sana kutokea . Hamkujiuliza tu

''Bashite'' na Sabaya ni Team JPM, huwezi kumwacha Bashite ukamuadhibu Sabaya

Ukifanya hivyo mmoja atamwagwa 'mpunga'

Hawa vijana wana mengi vifuani mwao!

JokaKuu Pascal Mayalla

..yatupasa kuangalia Jaji amesema nini ktk hukumu yake.

..taarifa za awali zinaonyesha kwamba Sabaya ameshinda rufaa on technicalities.

..kulingana na gazeti la Mwananchi Jaji amekubali kwamba Sabaya alipora, asichokubaliana nacho ni matumizi ya silaha.

..Tukio baya lilitokea. Na Sabaya alikuwepo eneo la tukio, na wapo waliomuona akitenda. Sasa kwanini Jaji amemuachia?
 
Ccm ni wajanja hawalingani kabisa na chama la magaidi lile!

Vipi kwanza mbona sisikii kelele za katiba mpya? Au mwamba alirambishwa nini siku ile pale ikulu kwa hangaya?

Au mmemuachia maria space tu?

Alilambishwa 🍯, unataka umsikie Mbowe tu ndio ujue katiba mpya inadaiwa?
 
Hivi kwanini watu wanaona hili ni jambo la ajabu? Ina maana hamuoni kinachoendelea!

DPP alikataa ''Bashite'' asishtakiwe, jambo nadra sana kutokea . Hamkujiuliza tu

''Bashite'' na Sabaya ni Team..., huwezi kumwacha Bashite ukamuadhibu Sabaya

Ukifanya hivyo mmoja atamwagwa 'mpunga'

Hawa vijana wana mengi vifuani mwao!

JokaKuu Pascal Mayalla
Noted[emoji848]
 
Kama una maelezo ya kutosha uyatoe ,uwe clear. Kwamba kaenda nyumbani?
Ndio....tena na mashtaka kafutiwa yaani hakuwahi kufungwa jela hivyo ana haki ya kugombea ngazi yoyote ya uongozi au kuteuliwa ngazi yoyote ile ya uongozi.

Mpo visokolo kwinyo?
 
Sabaya usiombe msamaha mwanangu , hawa wanaokwambia hv walikusagia kunguni kinyama na thread zao zimo humu ....!!! Ila ulimtafuna Nandy kibabe Sana 😄
 
Nitamshangaa Sabaya akiomba msamaha kwa hukumu hizi za mahakama zetu. Kama mtu amepatikana na ushahidi wa yale aliyoyatenda na bado anaachiwa, atakuwa ni zuzu kama ataomba msamaha. Labda ccm itoke madarakani ndio ataomba msamaha.
 
Sabaya usiombe msamaha mwanangu , hawa wanaokwambia hv walikusagia kunguni kinyama na thread zao zimo humu ....!!! Ila ulimtafuna Nandy kibabe Sana [emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ILA HAPO KWA NANDY SIO KWELI JAMAA HAKUFANIKIWA KUMTAFUNA, NASIKIA KUNA DIWANI ALIWAHI KUFIKA AKAHARIBU MCHONGO.
 
Amshukuru majura magafu mzee wakesi Tata na mkewe alikua anamegwa na nani miaka ya hivi karibuni akiwa ndani
 
Back
Top Bottom