Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Shahidi wake yuko kaburini ili ushahidi usiendelee kumdhalilisha mwendazake huko kaburini Serikali imeona ni vyema Sabaya awe huru ili kuweka mambo sawa.
 
Hana ujanja wa kumbaka Pambalu, kama ni mjanja kweli aje sasa hivi wakati hana backup ya vyombo vya dola, uone kama hatapata ujauzito wiki ya kwanza tu.
Sabaya ameshawahi kutiwa hatiani na kufungwa hivyo amepoteza sifa ya kuwa kiongozi wa umma.
 
Hana ujanja wa kumbaka Pambalu, kama ni mjanja kweli aje sasa hivi wakati hana backup ya vyombo vya dola, uone kama hatapata ujauzito wiki ya kwanza tu.
Pambalu,malisa na yericko ndio walisema. Ww Kama hukubakwa basi pengine zamu yako haikufika au pengine haupo Bavicha.
 
Hivi kwanini watu wanaona hili ni jambo la ajabu? Ina maana hamuoni kinachoendelea!

DPP alikataa ''Bashite'' asishtakiwe, jambo nadra sana kutokea . Hamkujiuliza tu

''Bashite'' na Sabaya ni Team..., huwezi kumwacha Bashite ukamuadhibu Sabaya

Ukifanya hivyo mmoja atamwagwa 'mpunga'

Hawa vijana wana mengi vifuani mwao!

JokaKuu Pascal Mayalla

Mbona hapo awali alitiwa hatiani na kufungwa ?...Ina maana una mashaka na Uhuru wa mahakama na maamuzi yake.(kumbuka ni mhimili huru).
Nguruvi3
JokaKuu
 
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Hii inaonyesha ni jinsi gani ambayo hakuna justice Tanzania. Yaani ni watu tu wanaamua huyu hivi huyu vile.
 
Nitamshangaa Sabaya akiomba msamaha kwa hukumu hizi za mahakama zetu. Kama mtu amepatikana na ushahidi wa yale aliyoyatenda na bado anaachiwa, atakuwa ni zuzu kama ataomba msamaha. Labda ccm itoke madarakani ndio ataomba msamaha.
Ushahidi gani tena? Mbona hamkwenda mahakamani kuthibitisha sabaya aliwabaka?
 
Ushahidi gani tena? Mbona hamkwenda mahakamani kuthibitisha sabaya aliwabaka?
Hao wajinga sana hawana ushahidi ushahidi wenyewe wa kuunga unga tu! Yani hakimu mwana chama CHADEMA ndo alitoa hukumu hiyo ya kijinga! Hongera sana Sabaya!
 
Habari Wanajukwaa;
Kama tunavyo fahamu leo Mahakama kuu Mkoani Arusha imempa ushindi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya hai, Lengai Ole Sabaya, dhidi ya Jamhuri katika kesi yake ya unyang'anyi wa kutumia silaha aliyokuwa amehukumiwa miaka 30 Jela.
Sabaya ameshinda rufaa hii bila ya kuwepo hashtags, harakati au kelele zozote katika mitandao ya Kijamii kama Twitter, Instagram au Facebook. Hii nitofauti na kesi kadhaa za Watu maarufu zilizofanana na hizo kama kesi ya Mh. Mbowe, Kutopea kwa Azori Gwanda, Kutekwa na kupigwa kwa Mdude Chadema na n.k
Katika kesi kama ya Mh. Mbowe, kunako mtandao wa Twitter kulichafukwa na hashtag za #MboweSiGaidi na nyingine kama hizo ila kwa Sabaya ameshinda hii rufaa kimya kimya bila longo longo.

Mimi nimejifunza kuwa siyo kila kelele inayopigwa kwenye mitandao ya Kijamii inaweza leta mabadiliko, kwa Maana Mh. Mbowe alitoka kwa amri ya DPP na siyo kwa hashtags za Twitter. Pia nimejifunza kuna Mawakili wako smart sana katika kuhudumia Wateja wao bila ya mbwebwe kama wale Mawakili maarufu waliokuwa wanasimamia kesi ya Mh Mbowe!

We umejifunza nini kwenye rufaa ya hii kesi?
 
Back
Top Bottom