Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Serikali kwa mara nyingine ijitathmiini katika uwezo wa Idara na Taasisi zake kutayarisha kesi na mashahidi kwani zimefeli hivyo kushindwa ku-i-move Mahakama Kuu kuwa kulikuwa na kesi ya kusikilizwa kwa kutumia mizania ya kisheria.


Je tatizo ni kukosekana wanasheria wa serikali walioiva ? Je mfumo haki jinai (criminal justice system) yaani Polisi, TAKUKURU, DPP na Mahakama za chini zinakosa rasilimali watu wabobevu wa kuchunguza, kuandaa na kusikiliza tuhuma / kesi toka mwanzo wa mchakato mzima wa kutoa haki Au kesi hii ilikuwa kuna shindikizo?
Solution ni KATIBA MPYA, Madaraka ya Rais yakipunguzwa, CCM ikifa. Mahakama zitakuwa huru, hatutashuhudia uhuni huu.
 
Akiachiwa gaidi ndio zipo huru
Umewahi kuona nikisifia mahakama kwa kuachiwa kwa Mbowe? Kama mahakama ingekuwa huru ingemuachia toka siku ya kwanza. Fahamu Mbowe hajaachiwa na mahakama, bali DPP alisema hana nia ya kuendelea na kesi. Kitendo cha mahakama kundelea na ile kesi kwa ushahidi ule ni wazi hakuna mahakama, bali majengo ya mahakama yanayoongozwa na makada wa ccm.
 
Wewe mjinga mahakma ni huru kwenu tu! Juzi hapa makengeza kaachiwa mkaanza kushangilia! Punguza wenge mpuzi wewe!
SPANA ziko pale pale, mnahamisha goli tumestuka. Serikali iwajibishwe Kwa kupanda Bei bidhaa, uo upuz haujatosha kuhamishia hoja za msingi ktk Taifa.
 
SPANA ziko pale pale, mnahamisha goli tumestuka. Serikali iwajibishwe Kwa kupanda Bei bidhaa, uo upuz haujatosha kuhamishia hoja za msingi ktk Taifa.
Wewe ungejua mimi hii serkali ilojaa vilaza siishabikii usingebweka hapa! Mimi na serkali hii wapi na wapi? Ujinga Huwa sipendi wabongo tumezoea majungu sana na kukihesabia haki kama walivyo CHADEMA wao ni malaika hawana dhambi dhambi za wengine!
 
Serikali kwa mara nyingine ijitathmiini katika uwezo wa Idara na Taasisi zake kutayarisha kesi na mashahidi kwani zimefeli hivyo kushindwa ku-i-move Mahakama Kuu kuwa kulikuwa na kesi ya kusikilizwa kwa kutumia mizania ya kisheria.


Je tatizo ni kukosekana wanasheria wa serikali walioiva ? Je mfumo haki jinai (criminal justice system) yaani Polisi, TAKUKURU, DPP na Mahakama za chini zinakosa rasilimali watu wabobevu wa kuchunguza, kuandaa na kusikiliza tuhuma / kesi toka mwanzo wa mchakato mzima wa kutoa haki Au kesi hii ilikuwa kuna shindikizo?
Taasisi za serikali na serikali yenyewe zina upande katika mashitaka yoyote.
Hata kabla ya kushitaki lazima kuwe na nia ya kushitaki (intention to prosecute).
Wengi wanafanya jinai na hawatakiwi.
Haki hutolewa pale tu ambapo mkondo wa sheria (mahakama) unapokuwa safi bila mawaa yoyote (the streams of justice should be pure and clean).
Hali hii haipo Tanzania (kumb. maneno kama mahakama ya mchongo, jaji wa mchongo).
Siyo sifa njema kwa taifa la Tanzania.
Haki siyo tu itendeke, bali pia ionekane ikitendeka.
 
Wewe ungejua mimi hii serkali ilojaa vilaza siishabikii usingebweka hapa! Mimi na serkali hii wapi na wapi? Ujinga Huwa sipendi wabongo tumezoea majungu sana na kukihesabia haki kama walivyo CHADEMA wao ni malaika hawana dhambi dhambi za wengine!
Dai KATIBA mpya, tunao ndugu wengi sana gerezani wasio na hatia hawaachiwi huru na wengine hawapelekwi ht mahakamani
 
Mwache aje uraiani akutane na torati za mtaa, huku kila mtu nigger akijitusu kuleta u king kong wakati hana cheo ataona kumbe wakati yuko jela alikuwa ana enjoy kuliko huku

Ni kama makonda wanavyosema anateseka uraiani kuliko sabaya, sasa sabaya akisikia hii atakuwa mtulivu sana
Acha story za vijiweni wewe makonda anateseka wapi..peleka pua yako uone kama amekaa kinyonge
 
Jambazi limerejea uraiani, sasa hivi ni wananchi tu kulishughulikia
 
Mahakama zetu tunaziamini.....kwani hata Mh.Mbowe aliachiwa huru na mahakama hizihizi.....

#Siempre JMT🙏

Mahakama zetu tunaziamini.....kwani hata Mh.Mbowe aliachiwa huru na mahakama hizihizi.....

#Siempre JMT🙏
Hapana, hatuziamini mahakama zetu. Tuinaziamini tu, zinapowaachia magaidi ya CHADEMA. Mtanzania mwingine yeyote akiachiwa kisheria huo ni mpango wa CCM na ni batili. Kweli kazi tunayo.
 
Hapana, hatuziamini mahakama zetu. Tuinaziamini tu, zinapowaachia magaidi ya CHADEMA. Mtanzania mwingine yeyote akiachiwa kisheria huo ni mpango wa CCM na ni batili. Kweli kazi tunayo.
Kumbe gaidi Mbowe aliachiwa na mahakama?
 
Habari Wanajukwaa;
Kama tunavyo fahamu leo Mahakama kuu Mkoani Arusha imempa ushindi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya hai, Lengai Ole Sabaya, dhidi ya Jamhuri katika kesi yake ya unyang'anyi wa kutumia silaha aliyokuwa amehukumiwa miaka 30 Jela.
Sabaya ameshinda rufaa hii bila ya kuwepo hashtags, harakati au kelele zozote katika mitandao ya Kijamii kama Twitter, Instagram au Facebook. Hii nitofauti na kesi kadhaa za Watu maarufu zilizofanana na hizo kama kesi ya Mh. Mbowe, Kutopea kwa Azori Gwanda, Kutekwa na kupigwa kwa Mdude Chadema na n.k
Katika kesi kama ya Mh. Mbowe, kunako mtandao wa Twitter kulichafukwa na hashtag za #MboweSiGaidi na nyingine kama hizo ila kwa Sabaya ameshinda hii rufaa kimya kimya bila longo longo.

Mimi nimejifunza kuwa siyo kila kelele inayopigwa kwenye mitandao ya Kijamii inaweza leta mabadiliko, kwa Maana Mh. Mbowe alitoka kwa amri ya DPP na siyo kwa hashtags za Twitter. Pia nimejifunza kuna Mawakili wako smart sana katika kuhudumia Wateja wao bila ya mbwebwe kama wale Mawakili maarufu waliokuwa wanasimamia kesi ya Mh Mbowe!

We umejifunza nini kwenye rufaa ya hii kesi?
Hapa inamaana ya kujifunza kuwa hakuna mwenye umiliki wa Tz na muhimu ni kulijenga taifa letu na SII kukomoana Kwa tofauti zetu za kiitikadi au mamlaka tulizonazo,na mtazamo wangu ni kuwa kituo kinachofuata ni kukamatwa waliommiminia mtu risasi mchana kweupe na kufikisha kwenye nmikono ya Sheria na pia kupatikana Kwa katiba mpya🤔.
 
Mbona hapo awali alitiwa hatiani na kufungwa ?...Ina maana una mashaka na Uhuru wa mahakama na maamuzi yake.(kumbuka ni mhimili huru).
JokaKuu
Hivi kuna mtu ana MASHAKA tena na mahakama zetu?
Jaji mkuu aliagiza hukumu zitazame mwelekeo wa ''mihimili mingine''

DPP aliokataa Bashite ashtakiwa ilieleza jambo kubwa sana! ni mara ngapi imetokea hiyo?
Mahakama iliposhindwa kumwita Bashite mahakamani ilieleza jambo kubwa sana! Hayo yangewezekana kwa mtu mwingine?

Sabaya aliwataja JPM, Mpango na Gavana wa BoT.

Unawakumbuka akina 'Bashite, Sabaya, 2Pole, Kingai, Happy'' !!
Huwezi kumuadhibu mmoja, hawa vijana wamebeba siri nzito sana vifuani mwao
 
Katiba mpya ndo solution, madaraka ya Rais ni makubwa mno, yapunguzwe. Tusihamishwe kirahsi kumjadili mtu mmoja, CCM wezi hawahesabiki sababu ya mfumo mbovu.
We lofa huna kingine cha kuandika nenda Kanye.
Maana una kimba huko limekubana linaitwa katiba.
Wahi kalinye
 
Back
Top Bottom