Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Hao wajinga sana hawana ushahidi ushahidi wenyewe wa kuunga unga tu! Yani hakimu mwana chama CHADEMA ndo alitoa hukumu hiyo ya kijinga! Hongera sana Sabaya!
KATIBA mpya ndo solution itakayoondoa UGONJWA mbaya unaoitwa CCM
 
Lengo ni kumtisha Lema asirudi Tanzania
Katiba mpya ndo solution, madaraka ya Rais ni makubwa mno, yapunguzwe. Tusihamishwe kirahsi kumjadili mtu mmoja, CCM wezi hawahesabiki sababu ya mfumo mbovu.
 
Sabaya ameshawahi kutiwa hatiani na kufungwa hivyo amepoteza sifa ya kuwa kiongozi wa umma.
Sheria za Tanzania ziko kwa ajili ya watu fulani, ukishakuwa kiongozi na kufanikisha unyama, huwezi kuzuiwa na sheria yoyote, ili mradi huna madhara kwa walioko madarakani.
 
Hivi mama sabaya hakumpigia simu samia kweli kumuomba msamaha huu
 
Wanapoza presha ya mafuta kupanda Bei Kwa kumuachia uyo muhuni. Bunge liiwajibishe SERIKALI na wizara. Wakishindwa wote watupishe.
Wewe mjinga mahakma ni huru kwenu tu! Juzi hapa makengeza kaachiwa mkaanza kushangilia! Punguza wenge mpuzi wewe!
 
Hivi mama sabaya hakumpigia simu samia kweli kumuomba msamaha huu
Samia ndo nani? Ye mwenye alilishwa matango pori tu anakurupuka kumfukuza sabaya ukuu wilaya! Kwa kifupi Samia anapenda kufanyia kazi majungu! Ndo maana anawaachia wizara ya nishati vilaza akina Makamba!
 
Back
Top Bottom