Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Mtamfanya nini? Mbona wahuni na vibaka kibao wapo mtaani?Kwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
Mbona Mbowe yuko salama.Kwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
Umenuna?Upuuzi mtupu
Hakuna kesi hapo, acha ujuhaHuu ni mpango si bure. Ilithibitishwa mahakamani pasina shaka kuwa pale dukani alikuwa na silaha inakuwaje sasa? Tunaomba uamuzi huo umwagwe hapa tuujadili kama tulivyojadili ule S.H.Amon juu ya kiwanja Kariakoo.