Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyachiwa gaidi hayakuwa mambo ya kijinga kabisa?Mambo ya kijinga kabisa
Kwahiyo mahakama hazitendi haki kuwaachia watuhumiwa? Chadema kwa kusahau!Haki mbinguni, duniani ni dhulumati.
Mafi yakoKamwe hatayafurahia maisha
Kuna mahakama za mtaani
Judge ni nani
Mahakama zimejaa rushwa
Wewe umeelewa nini kwenye ujumbe wangu? Halafu lini umeniona chadema?Kwahiyo mahakama hazitendi haki kuwaachia watuhumiwa? Chadema kwa kusahau!
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kesi za michongo hizo lazima waachiwe tuu, sijui nae ataenda ikulu kushukuru kama Lile gaidi?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Conspiracy theories.....CCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Mara Buku awe huko ndani, uraiani itakuwa ni hatari sana kwake, watu wana machungu nae sana, na sasa hana kinga sijui itakuwaje huku uraiani walahi!!!Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
We have no such nonsense tyme broHuu ni mpango si bure. Ilithibitishwa mahakamani pasina shaka kuwa pale dukani alikuwa na silaha inakuwaje sasa? Tunaomba uamuzi huo umwagwe hapa tuujadili kama tulivyojadili ule S.H.Amon juu ya kiwanja Kariakoo.
Kama gaidi mboqe yupo uraiani na anapeta, ndio kuwa kwa kijana mstaarabu SabayaMara Buku awe huko ndani, uraiani itakuwa ni hatari sana kwake, watu wana machungu nae sana, na sasa hana kinga sijui itakuwaje huku uraiani walahi!!!