Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Huyu script yake imeshaandikwa ila wanampa adabu kidogo kosa lake kuingiza taasisi kubwa ya Rais katika mambo ya kijinga angebeba msalaba tu mwenyewe ila kumtaja kuwa nimetumwa ndio wakampa adabu ila kisiasa hakuna tena maana baada ya huku hata yule lisemaji la Yanga zamani sijui sasa hivi mkuu wa wilaya wa wapi kimyaaa kama hayupo. Msg sent and delivered
 
Nilikuwa nashangaa CCM na tabia yao ya kulindana ikawaje wakamtosa huyu jambazi, kumbe mpango ulikuwa umeshaandaliwa, akae gerezani kidogo then aachiwe kwa kukata rufaa.

Naamini Makonda huko alipo atakuwa ameshusha pumzi ndefu sana kwa huu uamuzi wa mahakama leo.

Hii nchi chini ya utawala wa CCM na pasipo Katiba Mpya...... ni kama tuko utumwani.
 
Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.

Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Mara Buku awe huko ndani, uraiani itakuwa ni hatari sana kwake, watu wana machungu nae sana, na sasa hana kinga sijui itakuwaje huku uraiani walahi!!!
 
Huu ni mpango si bure. Ilithibitishwa mahakamani pasina shaka kuwa pale dukani alikuwa na silaha inakuwaje sasa? Tunaomba uamuzi huo umwagwe hapa tuujadili kama tulivyojadili ule S.H.Amon juu ya kiwanja Kariakoo.
We have no such nonsense tyme bro
 
Back
Top Bottom