Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe alikutwa na kesi ya kujibu, ipo siku jamhuri tunaweza kuendelea na kesiMahakama zetu tunaziamini.....kwani hata Mh.Mbowe aliachiwa huru na mahakama hizihizi.....
#Siempre JMT[emoji120]
nimekuelewaLazima mambo yawe [emoji3539][emoji3539][emoji3539][emoji3539]
Najua mnajua nina maana gani..
Huna cha kumfanya.Mara Buku awe huko ndani, uraiani itakuwa ni hatari sana kwake, watu wana machungu nae sana, na sasa hana kinga sijui itakuwaje huku uraiani walahi!!!
Kunywa sumu ufeMambo ya kijinga kabisa
Wanamuogopa sabaya hao, Sasa hivi watakua wanapishana tu chooni kwa kihoroMtaani anakuja, na hauna chakumfanya.
Lini alikua na hofu? Si mlipeleka kesi mahakamani, vipi inaendaje?Hii habari huenda ikampa unafuu Bashite na akapunguza hofu!
Kwa sababu wanachi ni wapumbavuCCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Mtajinyonga Mwaka huuSawa hata akiachiwa huru Bado yupo na kesi nyingine sita ikiwemo ya kukata watu masikio
Umenuna?HAIFUTIKI......
Vipi umenuna?Lakini atajifunza sidhani kama akirudi mtaani ataendeleza ubandindu
Ilikuwa kesi ya kisiasa.Ole Sabaya Ameshinda Rufaa Yake Dhidi ya Jamhuri.
.
Jaji Wa Mahakama Kuu anashangaa aina ya Hukumu iliyoandikwa na Mhe. Odira ambyo ilikuwa haina Hata Legal Citation Wala Case Authorities za Kujenga hoja yake Dhidi ya Hukumu yake.
.
Jaji anasema Hukumu yoyote Ambayo Haina Case Authorities au Legal Citation Hyo Sio Hukumu Bali ni Mawazo binafsi ya Mwandika Hukumu.
.
Asante Sana adv. Majura Magafu Kwa Ushindi Huu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mama ameupiga mwingi ee?Maweeee na maushahidi yote yale
Mkuu mimi nimetoa maoni kama mimi tu,sipo kwenye huo ushabiki wa kisiasa wala sina team.Lini alikua na hofu? Si mlipeleka kesi mahakamani, vipi inaendaje?
Kama 'gaidi' kaachiwa basi na 'jambazi'aachiwe..Lazima mambo yawe ⚖️⚖️⚖️⚖️
Najua mnajua nina maana gani..