Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Huwa wanaufanya wakiwa na madaraka, unamuona Bashite anavyolalamika..! Kapoteza marafiki wote ikiwemo Le mbebeziLakini atajifunza sidhani kama akirudi mtaani ataendeleza ubandindu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanaufanya wakiwa na madaraka, unamuona Bashite anavyolalamika..! Kapoteza marafiki wote ikiwemo Le mbebeziLakini atajifunza sidhani kama akirudi mtaani ataendeleza ubandindu
Duuh kweli maajabu kama ya mechi real madrid vs man cityView attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
kwa hiyo hakimu ambaye hakufanya kazi kiweledi atafutwa kazi au atapeta kama kawaida...Ole Sabaya Ameshinda Rufaa Yake Dhidi ya Jamhuri.
.
Jaji Wa Mahakama Kuu anashangaa aina ya Hukumu iliyoandikwa na Mhe. Odira ambyo ilikuwa haina Hata Legal Citation Wala Case Authorities za Kujenga hoja yake Dhidi ya Hukumu yake.
.
Jaji anasema Hukumu yoyote Ambayo Haina Case Authorities au Legal Citation Hyo Sio Hukumu Bali ni Mawazo binafsi ya Mwandika Hukumu.
.
Asante Sana adv. Majura Magafu Kwa Ushindi Huu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
From Uk?Maamuzi ya Mahakama yaheshimiwe.
Sema maana ya SII hasa imetenda kazi yake.Katika hali isiyo ya kawaida, vijana wa Ufipa wameanza kuwa na hofu kubwa baada ya sabaya kurudi uraiani.
Inaelezwa kuwa hawajui cha kufanya hadi sasa, ikumbukwe sabaya ndio alikua kiboko yao kwenye siasa zao za majitaka.
Sabaya alileta usawa wa kisiasa kwenye ngome zao Arusha na Moshi, hivyo kuwa mwiba mchungu hadi kwa mwenyekiti wa kudumu.
Sabaya ni mtu safi, na mahakama imethibitish. Lakini sabaya sio mtu safi kwa wanasiasa wa Ufipa waliojaaa uongo, uzushi, na ubabaishaji wa kila aina.
Hivyo ni vizuri wakaelewa huu utakua mwisho wa uongo na uzushi wao baada ya Jemedari Sabaya kurudi uraiani.
Na hakika mahakama zipo huru kabisa na zimefanya kazi yake vizuri.
#SSH 2025# KAZI IENDELEEEEE#
Haiko huru-ndo maana hata GAIDI aliachiwa kimichongo tu.View attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Sema ya SII hasa yaheshimikeFrom Uk?
Manka umenuna sana ee?Leo utampa utampanulia sana mguumoja dirishani mwingine mlangoni
Hayo ya kwakoSema ya SII hasa yaheshimike
Champion wenu wa uvccm amerudiMama anaupiga mwingi sana. 😂😂