Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Spinning ya kisen*ge sana hii ..
Kwahiyo wanataka tuache kujadili mafuta tufate huu umbeya ?
Daaah sawa mmeshika mpini
 
Duu! japo sifurahii Sabaya afungwe miaka 30, lakini kwa mtazamo wangu ni bora wamfunge hata miaka michache wanaweza kumuongezea usalama dhidi ya maadui zake kuliko kinyume chake! Kwa unyama alowafanyia watu wengi kuna uwezekano watu wakaamua kufanya nae plea bargaining kwa kivyao!
Hamna lolote!

Makonda huyo hapo anadunda!
 
Huwa wanaufanya wakiwa na madaraka, unamuona Bashite anavyolalamika..! Kapoteza marafiki wote ikiwemo Le mbebezi
Mwache aje uraiani akutane na torati za mtaa, huku kila mtu nigger akijitusu kuleta u king kong wakati hana cheo ataona kumbe wakati yuko jela alikuwa ana enjoy kuliko huku

Ni kama makonda wanavyosema anateseka uraiani kuliko sabaya, sasa sabaya akisikia hii atakuwa mtulivu sana
 
Mwache aje uraiani akutane na torati za mtaa, huku kila mtu nigger akijitusu kuleta u king kong wakati hana cheo ataona kumbe wakati yuko jela alikuwa ana enjoy kuliko huku

Ni kama makonda wanavyosema anateseka uraiani kuliko sabaya, sasa sabaya akisikia hii atakuwa mtulivu sana
Ataleta u king kong gani sasa?

Sasa atatulia kula maisha kma mwenzie makonda, huku nyie mkiendelea kuoandishiwa bei za mafuta hadi mkome
 
Hofu! Hawezi fanya chochote kabisaaa muda huu.Kwanza hana madaraka na akileta ujinga atapigwa chuma hutaamini.Tena mwonteni asithubutu kufanya utemi popote pale
 
Wakuu Nawakumbusha Kwamba Sabaya anapelekwa Kasongo Leo Kama Mahabusu Na Sio Mfungwa Tena.
.
Maana Kesi iliyomfunga Kama Mfungwa Imekuwà quashed out na HC
.
Ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi Ambayo Judgment yake ni Mwezi Huu Kama Sijakosea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here

Mkuu ndiyo sheria ilivyo. Hata scopion alimtoboa toboa macho yule jamaa lakini alishinda kesi.

Mbowe alishtakiwa kwa ugaidi lakini ameshinda kesi.

So keep cool bro. endelea kujenga taifa kwa kutoa tozo na kodi ili wakubwa wale na kunywa. Leo mafuta 3400 Tz.

Achana na hawa waliolewa madaraka. Feed your family kama bado unanguvu
 
Anarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?

Akipatikana na hatia ni miaka 30, its over yet, Sabaya ataendelea kukaa jela mpaka siku ya hukumu kesi yake haina dhamana.
Kumbe hiyo miaka aliyopangua leo ni kama bonaza afu hiyo 30 ambayo bado ni kama jackpot
 
Back
Top Bottom