Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Anarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?

Akipatikana na hatia ni miaka 30, its over yet, Sabaya ataendelea kukaa jela mpaka siku ya hukumu kesi yake haina dhamana.
Mlisema alikua anawabaka, mpelekeeni sasa hivi kwa hiari.

Mafi yako
 
Jaji aliyekuwa akisikiliza rufaa hiyo, Ezedekia Kisanya amesema kulikuwa na mkanganyiko kwenye mwenendo wa usikilizwaji wa kesi hiyo ikiwemo kutofautiana kwa mashahidi na kuufanya ushahidi kuwa batili.
Kwamba pamoja tuhuma zote ameachiwa huru 😂😂😂😂😂

Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
 
Mkuu ndiyo sheria ilivyo. Hata scopion alimtoboa toboa macho yule jamaa lakini alishinda kesi.

Mbowe alishtakiwa kwa ugaidi lakini ameshinda kesi.

So keep cool bro. endelea kujenga taifa kwa kutoa tozo na kodi ili wakubwa wale na kunywa. Leo mafuta 3400 Tz.

Achana na hawa waliolewa madaraka. Feed your family kama bado unanguvu
Ewaaaaah [emoji1787][emoji1787]
.
Sabaya anarudi kasongo kama Mtuhumiwa na Sio Kama Mfungwa.
.
Jaji Kisanya Kanifuraisha Sana Leo.
.
Brain man adv. Mauna na Adv. Magafu Wanai-enjoy Sana Leo Hapa Arusha [emoji2]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.



View attachment 2213907

Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.



View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022


Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Kuna mtu nilimwambia mda sanaa akanibishia, nimeelewa kile kijiwe sio level yangu
 
Kama gaidi katoka iweje kwa anayefanya uvamizi 😁😁
 
safi sana haki imepatakana, dogo alikuwa anaonewa tuu, yaani ma - CCM yamtume kufanya mauaji alafu hayo hayo mwisho wa siku yamtoe kafara, hapana, hapana. ila hili la Sabaya liwe fundisho kwa vijana wengine walio na kiherehe here kama Sabaya…...
 
Wazungu huwa wanamsemo mmoja kuwa Negroes hawawezi kujiongoza wenyewe

Nimeanza kuwaamini.
 
Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
Bavicha mlisema sabaya alikua anawabaka, haya mpelekeeni tena hayo masaburi kwa hiari yenu.
 
[emoji81][emoji81][emoji81]sijui nimechekea nini
 
Once a system always a system.

Haya tushikeni majembe tukalime.
 
Ataleta u king kong gani sasa?

Sasa atatulia kula maisha kma mwenzie makonda, huku nyie mkiendelea kuoandishiwa bei za mafuta hadi mkome
Ukiachana na mabishano yetu haya trust me, mi na wewe wote hakuna anaye wish awe na moment kama ya makonda anayopitia saizi

Sina hakika ila nafikiri nafasi yako hii uliyonayo wewe ambayo inakuweka katika furaha na amani , mwenzako huko anaikeshea kwa kuomba na kusali aje kuipata
 
Back
Top Bottom