Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Na video alizokua anawabaka vijana wa chadema nazo zipo?Ambayo haina uthibitisho ,sabaya alipiga mtu na kitako cha smg pale cocoriko na video zipo police
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na video alizokua anawabaka vijana wa chadema nazo zipo?Ambayo haina uthibitisho ,sabaya alipiga mtu na kitako cha smg pale cocoriko na video zipo police
Yaani serikali ya CCM inamfanyia kesi ya kisiasa mwana CCM??Ilikuwa kesi ya kisiasa.
Mahakama imemkuta na hatia. Unataka nisikilize nn tena?Ulisikiliza kesi ?????
Hata yule gaidi walimfaudu.Hata hivyo amechakazwa marinda kiasi cha kutosha, hongera yao waliomfaudu.
Amerudishwa kisongoAtakuja sawa mtaaani ila ataishi kama digi digi yule mwengine wa Daslam.
Ardhi hii ba ndugu inapaswa uikanyage kwa adabu,sana.
Ipo siku utaogopa hata vishindo vya miguu yako mwenyewe.
Nimecheka, nimecheka sana, tena nimecheka sanaKama mie ndio sabaya nikitoka tu pale getini napiga Risasi mbili hewani..taah! taah!
Yaani serikali ya CCM inamfanyia kesi ya kisiasa mwana CCM??Kesi ya kisiasa hii
Kisongo wanayoa viduku?Amerudishwa kisongo
Anaenda kuukoga tena.Nyie si ndio mlisema sabaya alikua anawabaka? Haya mpelekeeni kwa hiari yenu
Ww ni mmoja wa waliobakwa na sabaya?Mchongo tuu,wanafungwaga maskini na wasio na connection Serikalini.
Mpelekeeni tena, nyie wenyewe ndio mlisema anawabakaAnaenda kuukoga tena.
Fitina za wahuni na gaidi.Yaani serikali ya CCM inamfanyia kesi ya kisiasa mwana CCM??
Kesi ya uhujumu uchumi kifungo chake hakizidi miaka mitano kama sijakosea.Kwa Sabaya kupangua hii kesi ni ushindi mkubwa sana kwake hata kama ya uhujumu uchumi atashindwa.Kumbe hiyo miaka aliyopangua leo ni kama bonaza afu hiyo 30 ambayo bado ni kama jackpot
Nyapala leo anamtayarishia pilau baada ya kushinda rufaa lakini baadaye kama kawaida.Mpelekeeni tena, nyie wenyewe ndio mlisema anawabaka