Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mmhhh, hukumu ya rufaa ilipangwa kabla ya mafuta kupanda, wala haina mahusiano na mjadala wa bei ya mafuta. Haya maneno ndio ccm huyatumia kujifanya ni wajanja kumbe upuuzi mtupu.Serikali ya CCM ni wajanja sana. Yaani wameona watu wanapiga kelele kuhusu mafuta kupanda. Tayari wanaleta drama nyingine ya kuwapumbaza wananchi ili wasahau ya Mafuta. Kudadeki this time lazima tuite maji mmmaaa