Ole Morwo
Senior Member
- Jul 24, 2021
- 121
- 205
Maneno ya kijipa moyo uyo Mungu ushawah muonaNi maswala ya sheria tu hapo,na kama sheria imepindishwa basi ajuwe kuna Mungu ambako hakuna kupindishwa kitu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya kijipa moyo uyo Mungu ushawah muonaNi maswala ya sheria tu hapo,na kama sheria imepindishwa basi ajuwe kuna Mungu ambako hakuna kupindishwa kitu...
Leo ufipa hakulalikiNonsense.
Hapana bado yupo kaongezewa miaka 100. Si ndio unataka?Hivi ameachiwa?
Hakuna wa kumbugudhi.Duu! japo sifurahii Sabaya afungwe miaka 30, lakini kwa mtazamo wangu ni bora wamfunge hata miaka michache wanaweza kumuongezea usalama dhidi ya maadui zake kuliko kinyume chake! Kwa unyama alowafanyia watu wengi kuna uwezekano watu wakaamua kufanya nae plea bargaining kwa kivyao!
Ndugu mm hata kumsogelea siwezi.Utamfanya nini?
Panya road tu wanawapeleka puta
Sawa mke wa sabaya mumeo anarudi leo muandalie kipochi manyoya hicho😊Jinyonge ufe!
Mungu ni mwema sana ,haki ya mtu haipotei, huyu alitolewa kafara sababu ya kutaka kumkomoa kisa Mr Culture akatumia urafiki wake na Born town kumlazimisha CEO.View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
View attachment 2213907
Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Au nasema uongo ndungu zangu!Hahahahah
Drama zinaendeleaaaaa
Nileteeeni Sabaya...Nileteeeni Sabaya...Nileteeeni Sabayaaaaaa
Kuna mtu amekukataza kujadili hayo mafuta?Spinning ya kisen*ge sana hii ..
Kwahiyo wanataka tuache kujadili mafuta tufate huu umbeya ?
Daaah sawa mmeshika mpini
Hawezi ishi ka digidigi atatembea kifua mbele mtaaAtakuja sawa mtaaani ila ataishi kama digi digi yule mwengine wa Daslam.
Ardhi hii ba ndugu inapaswa uikanyage kwa adabu,sana.
Ipo siku utaogopa hata vishindo vya miguu yako mwenyewe.
Kijana wa watu ameonewa sana, haki ya mtu haipotei.View attachment 2213874
Wakili wa upande wa utetezi Moses Mahuna akieleza kuhusu Sabaya na wenzake
kushinda rufaa yao na kuachiliwa huru katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
View attachment 2213907
Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Nyie si ndio mlisema sabaya alikua anawabaka?Sawa mke wa sabaya mumeo anarudi leo muandalie kipochi manyoya hicho[emoji4]
Kama mlisema alikua anawabaka, si ndio mtaendelea kumpa? Au?Msimsifie kama alitenda maovu ,kwani akirudi uraini inaweza kuwa hatari kwa maisha yake
Mbona Rugemarila aliachwa huru mkasifia kuwa Mama anaupiga mwingi ? Muache unafki sheria inapotenda haki yake [emoji28]Karudi uraiani? Amepata rufaa kwenye uhujumu uchumi? Ngoja niwaachie wenyewe.
TehtehKama mie ndio sabaya nikitoka tu pale getini napiga Risasi mbili hewani..taah! taah!
Ni roho mbaya tu za watu kutaka jamaa azidi kuteseka zaidi wakati mateso anayopitia saizi bado yamekuwa too heavy to handleMbona kama huyo Makonda kila siku huwa unalialia humu kwamba kwanini hakamatwi?
Ok, una noma na nani sasa maana unasema mama anaupiga mwingi, anafuta legacy, anawakomesha sukuma gang huku akiwafuta machozi machadema baada ya kuinewa sana kwa miaka 5?