Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maweeee na maushahidi yote yale
Champion wenu wa uvccm amerudiMama anaupiga mwingi sana. 😂😂
Mbakaji wenu kaachiwa jiandaeniSikukuu kwa mataga leo
Sio ya kwenu,ila hapo mnakumbushwa TU kuwa Tanzania ni yetu site na hakuna mwenye umiliki nayo🤔Hayo ya kwako
Huyu sina noma naye kwasababu saizi hana makali ni kama makonda tunavyomuona akichezewa kende hadi na kina manaraVipi umenuna?
Akaisome Hukumu apate cha Kujifunzakwa hiyo hakimu ambaye hakufanya kazi kiweledi atafutwa kazi au atapeta kama kawaida...
Anarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?Lakini atajifunza sidhani kama akirudi mtaani ataendeleza ubandindu
Si mnasema aliwabaka?Sabaya ataendelea kukaa jela, ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi na akikutwa na hatia hukumu yake ni miaka 30.
Mkae kitako kwa kutulia, huu ni mtego wa panya, andaeni rufaa nyingine.
Kazi kweli kweliCCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Kwani kuna ubaya gani kufufuka?Nawe umefufuka,Sasa mlango umefunguliwa wa kutafuta wale waliomcharaza ntu masasi🤸
Mbona kama huyo Makonda kila siku huwa unalialia humu kwamba kwanini hakamatwi?Huyu sina noma naye kwasababu saizi hana makali ni kama makonda tunavyomuona akichezewa kende hadi na kina manara
Leo jaribu kuwa chungulia kwenye vijiwe vyao kama hutaona taga's wakipiga cheers 🏃Sikukuu kwa mataga leo