Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very interesting.....Kwamba pamoja tuhuma zote ameachiwa huru 😂😂😂😂😂
Ndiyo maana yake..MKUU UNAMAANISHA MBOWE NA KESI YAKE YA UGAIDI!!?
Mkuu umesema "Tuhuma" huenda hakukua na vivid evidence,mambo ya sheria yana taratibu zake,sema watu wanachukulia issue za kisheria kwa ushabiki tu.Kwamba pamoja tuhuma zote ameachiwa huru 😂😂😂😂😂
Duh.Lema hakutabiri??
🤣Alivyachiwa gaidi hayakuwa mambo ya kijinga kabisa?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ndiyo, Kuna mtu alituhumiwa kuchoma vituo vya mafuta na ku block barabara na kufadhili ugaidi ili nchi isitawalike. Pamoja na tuhuma zote lakini aliachiwa huru.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba pamoja tuhuma zote ameachiwa huru [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tusubiri, Sasa hivi anamuandalia chai mume wakeLema hakutabiri??
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio ndioKama mie ndio sabaya nikitoka tu pale getini napiga Risasi mbili hewani..taah! taah!
Dua la kuku.Kamwe hatayafurahia maisha
Kuna mahakama za mtaani
Judge ni nani
Mahakama zimejaa rushwa